Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na bundle inakuwaje limekata kweli''Dear customer, your balance has been used up. Please, dial *148*30# for more services!''
Hii message ya kifala inaingia mfululizo wakati ndo kwanza nimejiunga bundle gb 1.2 na dk 10 zinaisha wiki ijayo!
Acheni ujinga!
Na lenyewe tutalizika si.muda liungane na boos wakeHeti hili shirika ndio serikali ya mwendazake ilikuwa inapanga litumiwe nchi nzima kama zile bombardiers mbovumbovu za ATCL
Kweli kifo kilitusaidia sana kumuondosha yule sanamu
Ndugu mteja, tumesikia malalamiko yenu na tunayafanyia kazi.Je, TTCL Customer Care mnaliona hili au mnapotezea tu?
Maana imebidi nirudi voda tu
Hao ni kama halotel tu1. Customer care kuchelewa kupokea simu ya yako au kutokupokea kabisa.
2. Meseji kutofika kwa wakati au kutofika kabisa au kutoenda na hata ikifika ulipoituma usipate delivery report au meseji unaweza ukatuma muda huu ikifika baada ya masaa kadhaa au hata kesho yake.
3. Customer care kuwa waongo na wababaishaji.
4. Ukikwangua vocha vibaya ukafuta namba za vocha usitegemee utapata msaada ndio inakuwa imetoka hiyo wakati kuna mitandao ukifanya kosa hili ukiwasomea tu serial number wanaretrieve namba za vocha faster.
5. Ukiuliza salio sasa majibu unaweza kuyapata muda huo huo au baada ya masaa kadhaa hata kama ni zaidi ya siku.
6. Kwenye T-pesa huko ndio usithubutu kuweka au kumtumia hela kwenye hiyo huduma unaweza ukalia.
7. Vocha za TTCL kuzikuta ni mtihani unaweza kuzunguka mji/kitongoji kizima kuzitafuta.
Kwa kero hizi huwa najiuliza hivi hili shirika linajua hata nini linafanya? Ni shirika linaloongoza kwa huduma mbovu sana na sioni hata lipo kwa ajili ya nini sasa kama hata huduma haliwezi kutoa huduma za uhakikia
Nilifanikiwa kukaa na line ya TTCL kwa muda wa wiki moja tu, nikatoa nikaanza kupigia guitar kanisani!
Ndugu mteja, tumesikia malalamiko yenu na tunayafanyia kazi.
Ntakutukana tusi zito bora unyamaze weweNdugu mteja, tumesikia malalamiko yenu na tunayafanyia kazi.
Uchafu x 200[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uchafu kabisa
Kwa wateja wa hivi, kweli customer care lazima awe na Hekima..., Sio kwamba nawatetea hawa jamaa, ila kuna vichwa ukikutana navyo utagundua kwamba aliyesema customer is always right hakuwa right....Ntakutukana tusi zito bora unyamaze wewe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ntakutukana tusi zito bora unyamaze wewe
Aisee punguza jazba basi.Ntakutukana tusi zito bora unyamaze wewe.Pumbavu