GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
Wali maharage na Ugali ndiyo Staple Foods in Tanzania. Mbali na hapo ni watu wachache mno nchini Tanzania wenye uwezo wa kula mboga saba at whim.Sio kweli mzee.wali maharage ni chakula pendwa kwa watoto umri mdogo.
Chunguza hata vijana wanaobahatika kupata kazi ktk umri mdogo hiendelez mapenzi na wali,chipsi,nyama nk mpaka umri flani upite.
kwenye Siasa za Afrika hii law of diminishing haifanyi kazi kabisaLAW OF DIMINISHING RETURN:
(The more you Consume, the more you loose an appettite)
Haipungui, ila kinachotokea ni kwamba umetumia kiasi cha kutosha hicho chakula kwahiyo umekikinai.
Kikawaida ukiwa mdogo access ya baadhi ya vitu au vyakula upatikanaji wake unakuwa limited, ila unapokuwa mkubwa una access ya kula kitu unachokitaka kwa kipimo unachohitaji hivyo nafsi inakuwa kama imeridhika hivi na hauna ulimbukeni na hicho kitu au chakula.
Mifano:
1.Rejea ile kasi unayotumia kunywa glass ya kwanza ya maji unapokuwa na kiu ukilinganisha na glass zilizofuata. Je, kasi na hamu ya yale maji itabaki ileile uliyokuwa nayo kwenye glass ya kwanza?
2.Pia rejea ile pisi iliyokuwa inakutoa udenda kabla hujaipata na hamu unayokuwa nayo baada ya kuila zaidi ya mara tatu. Je, uchu unafanana na hapo awali?
Inawezekana kiasi fulani, ila naona umri nao umetembea sana maana kuna madogo hapa wanafurahi sana kula wali kila siku ila mimi hapana.Mnataka kujua sayansi nyuma ya hii dhana kwamba watu wamepoteza ladha ya wali kwa sababu ya umri? La hasha sio kwasababu ya umri. Sababu ya kisayansi ni hii:
Zile mbegu tamu za asili zenye ladha harufu nzuri zimepotea siku hizi kwani tumeletewa mbegu za kisasa kutoka Malaysia, India, etc zenye mazao mengi lakini bila ladha nzuri!
Nilikuwa sijui hiliMnataka kujua sayansi nyuma ya hii dhana kwamba watu wamepoteza ladha ya wali kwa sababu ya umri? La hasha sio kwasababu ya umri. Sababu ya kisayansi ni hii:
Zile mbegu tamu za asili zenye ladha harufu nzuri zimepotea siku hizi kwani tumeletewa mbegu za kisasa kutoka Malaysia, India, etc zenye mazao mengi lakini bila ladha nzuri!
Unachovuta acha mkuuHuko ndo kuiaga dunia siyo kama tulovyozoeshwa, eti mtu akitokwa na uhai ndo tunasema ameaga dunia.
Kuaga dunia ni gradual process, anaaza kupunguza baadhi vionjo ama kwa hiari ama kwa kulazimishwa. Utaacha mwenyewe au utambiwa acha hiki acha kile hasa vile ambavyo dunia inavipenda. Ukiona uko hiyo stage basi jua safari ya kuiaga dunia imeanza.
Nilikuwqga nasema siwezi enda mgahawani nikaagiza sembe ila siku hizi ndio nakulaNakumbuka nikiwa mdogo hadi miaka ya shuleni nilikua napenda sana wali maharake, pilau na vitu kama hivyo, ilikua wali na mimi, mimi na wali.
Cha kushangaza siku hizi ugali ndio umekua kama default food yangu, ugali nyama, samaki, dagaa ama mboga za majani, ndizi choma nyama, samaki. Maharage bado nakula bila shida ila wali umenishinda kabisa.
Nikafikiri ni mimi tu nakabiliana na hilo tatizo, jana nimekutana na classmate wangu akaniambia tatizo hilo hilo kwamba wali umemshinda kabisa sasa chakula chake kikuu ni ugali.
Wakuu kuna mtu anapitia changamoto kama hii ya kupoteza interest ya baadhi ya misosi aliyokua anaipenda?
Kiufupi umri unavyokwenda hamu ya kula chochote inapungua ,Kwa Sasa siwezi kukaa nikawaza sijala Biriyani siku nyingi hayo niliyawaza nikiwa naanza ajira na miaka 23Nakumbuka nikiwa mdogo hadi miaka ya shuleni nilikua napenda sana wali maharake, pilau na vitu kama hivyo, ilikua wali na mimi, mimi na wali.
Cha kushangaza siku hizi ugali ndio umekua kama default food yangu, ugali nyama, samaki, dagaa ama mboga za majani, ndizi choma nyama, samaki. Maharage bado nakula bila shida ila wali umenishinda kabisa.
Nikafikiri ni mimi tu nakabiliana na hilo tatizo, jana nimekutana na classmate wangu akaniambia tatizo hilo hilo kwamba wali umemshinda kabisa sasa chakula chake kikuu ni ugali.
Wakuu kuna mtu anapitia changamoto kama hii ya kupoteza interest ya baadhi ya misosi aliyokua anaipenda?