Ukikua kiumri taste ya baadhi ya aina ya chakula inapotea ama nini?

Sio kweli mzee.wali maharage ni chakula pendwa kwa watoto umri mdogo.

Chunguza hata vijana wanaobahatika kupata kazi ktk umri mdogo hiendelez mapenzi na wali,chipsi,nyama nk mpaka umri flani upite.
Wali maharage na Ugali ndiyo Staple Foods in Tanzania. Mbali na hapo ni watu wachache mno nchini Tanzania wenye uwezo wa kula mboga saba at whim.
 
Mm breakfast yangu ni viazi mviringo vya kukaanga na udambuudambu wenye kapilipili.aisee viazi vya uswazi kwa mama asha mchafu vya Mia Mia ni vitamu balaa.mm na bite jamii ya ngano ni Kama maji na mafuta
 
kwenye Siasa za Afrika hii law of diminishing haifanyi kazi kabisa
 
Inawezekana kiasi fulani, ila naona umri nao umetembea sana maana kuna madogo hapa wanafurahi sana kula wali kila siku ila mimi hapana.


Kingine mimi binafsi vile vyakula vya kweny masherehe ya ukumbini wanavyochanganya yaani kuna siku nilitapika labda nichukue matunda ,mboga haswa za majani ,nyama kavu ila za mchuzi ila harufu inanikera.


Kitu nakula sana ni biryani naweza kula mchana na usiku ila wali na pilau hapana kabisa...Ugali hata nile wiki mzima fresh bado nautamani.
 
Nilikuwa sijui hili
 
Mimi naona sio kwamba hamu ya baadhi ya chakula inaondoka bali sababu ni kwamba sasa hivi una mkwanja ,vyakula ambavyo baadhi mlikuwa mnakula siku moja moja sababu ya gharama kuwa kubwa, kwenye familia za wazazi wenu mlipokulia ,kwa sasa unakipato ambacho kina kufanya uwamue Leo ule nini ,saa ngapi ,sehemu gani ndio maana utaona kama hamu imepotea ya baadhi ya vyakula lakini sio.
 
Unachovuta acha mkuu
 
Nilikuwqga nasema siwezi enda mgahawani nikaagiza sembe ila siku hizi ndio nakula
 
Kiufupi umri unavyokwenda hamu ya kula chochote inapungua ,Kwa Sasa siwezi kukaa nikawaza sijala Biriyani siku nyingi hayo niliyawaza nikiwa naanza ajira na miaka 23
 
Wali za zamani ulikuwa huko poa, ukipikwa unanukia na una ladha wa sasa yamekuwa makapi hayanukii wala nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…