Ukikuta texts zake anatukana na alivyo ni tofauti. Ila ukija tena kutukuta utatushangaa...Sijui inakuaje hii

Ukikuta texts zake anatukana na alivyo ni tofauti. Ila ukija tena kutukuta utatushangaa...Sijui inakuaje hii

Si wewe unamchekeachekea huna msimamo.
Ndio maana anapata kujiamini sana na kukuendesha. Akikuhitaji ww unaenda.. ukimuhitaji ww anazingua.
Anataka yeye ndio akutawale. Tupa kule
Nina demu mmoja ni kama tumerogezeana. Nlianza kudate naye miaka mingi sana. Ana sura na umbo zuri.chura hips na kiuno kidogo.tatizo lake ni kuwa kichwani si mzuri sana ingawa ana diploma toka TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNT.

ni mswahili anaweza akaja kwenye game akiwa njiani mkatibuana akageuza akarudisha K home.ni kisirani sana. Anakuja kusema ooohh umechukua lodge mbali bajaji imenizungusha mi nmechoka.akikaa tena anapiga nakuja.

Sasa huwa tunaenda hivyo hivyo tunatibuana kinyama.atanitukana... unajifanya mzungu wakati we mbantu tu kama mimi....eti msomi kama ni hivyo kato....ne na wasomi wenzio.futa namba yangu.

Nami namwambia we tatizo lako mswahili.achana nami.tunaweza kaa hata miezi miwili.siku nipo tu naona texts yake. " Upo wapi nina nyege nataka tukato****ne"

Nami nikiona hiyo text basi nafanya utaratibu tunaenda tunagegedana...halafu atanisema weeee.... Nami namjibu kijeuri tunaagana au sometime tena tunatibuana kila mtu anashika hamsini zake.


Juz juz from nowhere kantumia texts ... " Nina nyege" nikamwambia "so what" akanambia "tafuta loom tukatom***ne" nikaona nimkere nikamwambia "kama ni loom tafuta wewe mimi naweza pata room tu" baada ya masaa mawili akanipigia simu niende lodge flan kweli nikamkuta tukakaamuana weeee.... Kila.mtu akashika hmsini zake.hatujatafutana tena mpaka leo.

Nasema huyu dada tumerogezeana au ni ujinga gani huu? Hata anajua nina date mtu mwingine ila anapotaka game anadai kibabe kama vile ni haki yake.

Sijui kama kuna mtu amewahi kuwa na uhusiano wa kipuuzi kama huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sielew bond yetu inatokana na nini...huwa nikiwaza sipati majibu. Na demi hajawah omba hata shilling na sometime nikimpa nauli ananambia ninayo ukitaka nipe siku nyingine mi siuzi k**a.

Kuna rafiki yangu yupo kwenye relationship ya aina hiyo. Walianza tangu tupo O level mpaka sasa hivi mshikaji ana familia na watoto watatu lakini hawajaachana.

Ni takribani miaka kumi na ushehe wapo wapo jamaa akitaka game anamuita anakuja wakitoka Hapo lazima wazinguane.

Anakuja ananionesha SMS za yule Dada ila bahati mbaya binti mpaka Leo hajaolewa na hana wivu kwa rafiki Yangu yeye anachitaji ni gegedo tu basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui hiyo ya nikimhitaji yeye anazingua umetoa wapi.mbona nmeandika kiswahili nacho hujaelewa? Ualimu mgumu sana. Ndo maana nsingeweza kuwa mwalimu.

Si wewe unamchekeachekea huna msimamo.
Ndio maana anapata kujiamini sana na kukuendesha. Akikuhitaji ww unaenda.. ukimuhitaji ww anazingua.
Anataka yeye ndio akutawale. Tupa kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Piaa unawezaje kupata Mzuka wa kusex na mtu mnatukanana na kuzinguana hasa mnapokutana kwenye sex..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15] yani me demu wa hivyo kimsingi namuogopaa naona hata Ngoma kukupa dak sifurii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23] nimecheka kweli. Mnaendana huyo usimuache
 
Ngoma anaweza kukupa hata demu anayekuita wewe mungu wake.acha tu huyu tunayegombana naye... Usikariri.
Piaa unawezaje kupata Mzuka wa kusex na mtu mnatukanana na kuzinguana hasa mnapokutana kwenye sex..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji15][emoji15] yani me demu wa hivyo kimsingi namuogopaa naona hata Ngoma kukupa dak sifurii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoma anaweza kukupa hata demu anayekuita wewe mungu wake.acha tu huyu tunayegombana naye... Usikariri.
Yeyotr anakupaa lakini elewa mazingiraa ya jamaa sasa Demu anamtumia tu msg twende tukatom...ne unadhani huwaga anakaa tu na nyege muda wote huo akisubiri kumwambia jamaa??? Kudate na mtu serious inapunguza chance ya kufokonyolewa na watu ovyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa ndio wale watu hawajui bahati zao
Ningekuwa na dem wa hivyo
Niingeomba kifo tu kwa mungu maana vingine vyote nishapata
Nina demu mmoja ni kama tumerogezeana. Nlianza kudate naye miaka mingi sana. Ana sura na umbo zuri.chura hips na kiuno kidogo.tatizo lake ni kuwa kichwani si mzuri sana ingawa ana diploma toka TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNT.

ni mswahili anaweza akaja kwenye game akiwa njiani mkatibuana akageuza akarudisha K home.ni kisirani sana. Anakuja kusema ooohh umechukua lodge mbali bajaji imenizungusha mi nmechoka.akikaa tena anapiga nakuja.

Sasa huwa tunaenda hivyo hivyo tunatibuana kinyama.atanitukana... unajifanya mzungu wakati we mbantu tu kama mimi....eti msomi kama ni hivyo kato....ne na wasomi wenzio.futa namba yangu.

Nami namwambia we tatizo lako mswahili.achana nami.tunaweza kaa hata miezi miwili.siku nipo tu naona texts yake. " Upo wapi nina nyege nataka tukato****ne"

Nami nikiona hiyo text basi nafanya utaratibu tunaenda tunagegedana...halafu atanisema weeee.... Nami namjibu kijeuri tunaagana au sometime tena tunatibuana kila mtu anashika hamsini zake.


Juz juz from nowhere kantumia texts ... " Nina nyege" nikamwambia "so what" akanambia "tafuta loom tukatom***ne" nikaona nimkere nikamwambia "kama ni loom tafuta wewe mimi naweza pata room tu" baada ya masaa mawili akanipigia simu niende lodge flan kweli nikamkuta tukakaamuana weeee.... Kila.mtu akashika hmsini zake.hatujatafutana tena mpaka leo.

Nasema huyu dada tumerogezeana au ni ujinga gani huu? Hata anajua nina date mtu mwingine ila anapotaka game anadai kibabe kama vile ni haki yake.

Sijui kama kuna mtu amewahi kuwa na uhusiano wa kipuuzi kama huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom