Ukikutana na mbwa njiani

Katika vitu ambavyo mwanaume anatakiwa kuwa navyo makini na attention muda wote ni hivi ila sema ujuaji ndio unatuponza
 
kaka ndiyo umelijua leo? Pole ulidhani akishapumzika atasahau alikoanzia uhalifu hadi kubondwa hahahahahahah Pole
 
Mbwa kama dogi sio..mtie ngeu aendelee kuugulia mamivu mbele kwa mbele la sivyo utageuka kua mhanga atakuluma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…