Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Nitamwambia aje na aliyepo pichani
Je ukienda kwenye a date na mtu ambaye mlikua mnachat tu na mkafika stage ya kulike each other, ukamuona yupo tofauti na kwenye picha zake je utafanyaje?
Utaondoka na kumpotezea Au utamwambia ukweli?