Ukikutana naye........UTAMUULIZA?


Hilo nalo nalo......barikiwa.
 
Reactions: bht
Mi ningemwuliza Mungu kwa nini 2nazeeka na kuwa wa bibi na wababu? C ange2acha2 na ujana wetu 2endelee kufaidi dunia na bila kufa?
 
Hahahahah.........Dah...hayo maneno ya Mungu mi hoi.....Lakini Mamushka, tukiwa na raha tukamsahau, bado sia ana uwezo wa kutukumbusha bila kutuumiza?...........Yeye si ana nguvu zote? Hivi wewe mwanao akikusahau ucamchapa au unamuuliza kwa upole kwanini kakusahau?
 
Angekunasa kibao kwa kumsingizia uongo kwakuwa mimi ni baba yake baba yako.....Mi ni wa upande wa kiumeni

Hujambo Bombu mpenzi? Mwache Mungu aitwe Mungu, na aendelee kukaa hukohuko aliko.

Sijambo babu, ila hiyo mpenzi iondoe kwanza ili nikupe shikamoo. Bado naandika maswali ya kuuliza coz ninayo mengi sana
 
Sijambo babu, ila hiyo mpenzi iondoe kwanza ili nikupe shikamoo. Bado naandika maswali ya kuuliza coz ninayo mengi sana
Hivi kumbe hujui mjukuu ni mpenzi wa babu? Siliondoi mpenzi mjukuu wangu.

Haya fanya upesi na maswali yako, Mungu yuko busy, ataondoka muda si mrefu kurudi kwenye makazi yake......
 
Mi ningemwuliza Mungu kwa nini 2nazeeka na kuwa wa bibi na wababu? C ange2acha2 na ujana wetu 2endelee kufaidi dunia na bila kufa?
Hahahahaha hasa wewe uliyezaliwa mwaka 1986......... ndo kipindi chako cha kula raha.... hutaki kufa kabisaaaaa, sembuse kuzeeka LOL
 

Rafiki, inategemea mwanao amekusahau kwa namna ipi.....maana kama ndo ameamua kuhamia kwa jirani kabisa na wala hakumbuki hata kama kuna baba....hivi hapo utamuuliza kwa upole kweli????!! Lazima utakuwa mkali kidogo....najaribu kuwaza tu....mhhhh!!!
 

God's tests are the healing medicine of those who are nigh unto Him, His sword is the ardent desire of all them that love Him, His dart is the dearest wish of those heartsthat yearn after Him, His decree is the sloe hope of them that ave recognized His truth.....

kama vipi kafanye marudio ya katekisimu biggy....
 
Asprin unatafuta makwenzi kutoka kwa huyo unayemtaja taja
 
Mamushka haya maneno ya Busara ya Mungu huwezi yaandika kwa kikwetu nikupate zaidi...lol
Nakusalimu tu Mshiki!!
 
Reactions: bht
Hommie kuna ile amri ya "Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako" hivi kulitaja bure ndo inakuaje?
 
Katekisimu mamushka haina majibu kutoka kwa Mungu.........Katekisimu si kaandika binadamu? Mi nataka Mungu anijibu direct... kama alivyoongea na Musa na Nuhu anipe na mimi nafasi kidogo ya kumuuliza japo kaswali kamoja. Au nimwombe kitu kimoja......

Rafiki, inategemea mwanao amekusahau kwa namna ipi.....maana kama ndo ameamua kuhamia kwa jirani kabisa na wala hakumbuki hata kama kuna baba....hivi hapo utamuuliza kwa upole kweli????!! Lazima utakuwa mkali kidogo....najaribu kuwaza tu....mhhhh!!!
Sasa rafiki ukimuuliza kwa ukali si ndio atakuogopa na kutokomea moja kwa moja?........Kama unampenda mwanao utamwachaje atokomee moja kwa moja? Labda kama humpendi. Mi naamini Mungu anatupenda, kwanini anamwacha shetani atufanyie visa? Kwanini asimuue atuache tujinafasi?
 
Asprin unatafuta makwenzi kutoka kwa huyo unayemtaja taja
Hawezi kunipiga kwa kuwa ananipenda na ameniambia: Tafuteni nanyi mtapata..... Namtafuta, nataka nimpate anijubu maswali yangu......

Hommie kuna ile amri ya "Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako" hivi kulitaja bure ndo inakuaje?
Ewaaaa, siku ukifanikiwa kukutana naye jaribu kumuuliza. Au na wewe utaogopa kama mamushka?
 
mh...! hilo ndo litakuwa swali la kwanza kwa nini babu anamwita mjukuu wake mpenzi? Halafu mlolongo na mvua ya maswali itamwandama
 
mh...! hilo ndo litakuwa swali la kwanza kwa nini babu anamwita mjukuu wake mpenzi? Halafu mlolongo na mvua ya maswali itamwandama
Bombu mpenzi kuwa na amani.... sitakuita tena hivyo.....Samahani kama nimekukwaza.
 
Ila amesema usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako si unaikumbuka hii amri na amesisitiza kabisa
Huoni hapa unamtajja taja bure
 
Ila amesema usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako si unaikumbuka hii amri na amesisitiza kabisa
Huoni hapa unamtajja taja bure
Siamini kama nimelitaja bure. Nataka nimjue zaidi. Nimuulize maswali. Anisaidie.......

Kutaja bure ni kama hivi: Unamwona binti mrembo anapita kafungasha masaburi ya haja, guu kama chupa ya bia, sura kama Cleopatra......afu badala ya kuendelea na biashara yako we unapiga shingo feni afu unaibuka na "Mungu wangu, ningempata huyu demu, sitatumia kondom wallah) .......Sasa huku ndio kulitaja bure jina la Mungu..............Sawa eh?
 
Bombu mpenzi kuwa na amani.... sitakuita tena hivyo.....Samahani kama nimekukwaza.

Asante babu, na ubarikiwe na ukifanikiwa kumuuliza kheri, hope atakujibu yote kwa ufasaha na upendo mwingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…