Ukikutana naye........UTAMUULIZA?

Ukikutana naye........UTAMUULIZA?

Aise hapa ni stress free usilete ya Jairo na Pinda na m.k.w.e.r e hapa
Sorry kamanda, kuna mtoro wa jukwaa la mastress alihamia huku ghafla, nikajikuta nimekuwa addiktedi na mastresi.......
 
Sorry kamanda, kuna mtoro wa jukwaa la mastress alihamia huku ghafla, nikajikuta nimekuwa addiktedi na mastresi.......

Ya kule yaache kule kule bana huku ni stress freee
yule jamaa nilimuonya na niliona alitaka hii topic ihamishiwe kule kwa wale wabishani wasioridhika na stress full
 
...........na ndio maana hatupati nafasi,kwanza angekuwa keishapigwa miaka mingi sana kabla yetu
 
Ya kule yaache kule kule bana huku ni stress freee
yule jamaa nilimuonya na niliona alitaka hii topic ihamishiwe kule kwa wale wabishani wasioridhika na stress full
Hahahaha...Ally wa Kitaa alitaka tuhamie jukwaa la dini, tuanze kujadili uwepo wa Mungu.....khaaa!
 
Hahahaha...Ally wa Kitaa alitaka tuhamie jukwaa la dini, tuanze kujadili uwepo wa Mungu.....khaaa!

Niliona mkuu na alitaka kuanza kuhoji kama kweli Mungu yupo na chanzo cha binadam na ahhh mambo ya dini ambayo ni full stress
Ndo maana nikamwambia akizidi kuuliza mambo hayo yule jamaa asiyeonekana yule ataihamisha mara moja topic yetu na kuipeleka kule kwenye stress
 
Hivi unamtaka wa kazi gani
We uliza kile unachotaka na kile unachoona kinafaa kuuliza mambo mengine anaweza kukugeuza kichwa kiangalie masaburi bure

Yote ninayouliza yanafaa kuulizwa. Kwa nini lakini wewe Mr. Rocky hutaki mimi nimuulize mambo mengine?
 
Yote ninayouliza yanafaa kuulizwa. Kwa nini lakini wewe Mr. Rocky hutaki mimi nimuulize mambo mengine?

Mkuu hili ni jukwa la MMU na kuna jukwa la mambo ya dini kule ambako ni full stress
Sasa tumeiweka humu hii iendane na maswala ya MMU yaani stress free
sasa ukiuliza yale mengine yule mtu asiyeonekana anaweza kukasirika ahaihamishia kule kwenye stress tukakosa uhondo
 
Tunaweza kuona pia watoto wangepata nafasi wangesema nini

[h=1]Letters to God from children[/h]
Dear God, Did you mean for the giraffe to look like that or was it an accident? Norma
Dear God, Instead of letting people die and having to make new ones, why don't You just keep the ones you have now? Jane
Dear God, Who draws the lines around the countries? Nan
Dear God, I went to this wedding and they kissed right in church. Is that okay? Neil
Dear God, Thank you for my baby brother, but what I prayed for was a puppy. Joyce
Dear God, It rained for our whole vacation and is my father mad! He said some things about you that people are not supposed to say, but I hope you will not hurt him anyway. Your friend (but I am not going to tell you who I am)
Dear God, Please send me a pony. I never asked for anything before. You can look it up. Bruce
Dear God, If we come back as something, please don't let me be Jennifer Horton, because I hate her. Denise
Dear God, I want to be just like my daddy when I get big, but not with so much hair all over. Sam
Dear God, I think the stapler is one of your greatest inventions. Ruth
Dear God, I think about you sometimes, even when I'm not praying. Elliott
Dear God, I bet it is very hard for you to love all the people in the world. There are only four people in our family and I can never do it. Nan
Dear God, Of all the people who worked for you, I like Noah and David the best. Rob
Dear God, My brother told me about being born, but it doesn't sound right.
Dear God, If you watch me in church Sunday, I'll show you my new shoes. Mickey
Dear God, We read Thomas Edison made light. But in Sunday School, we learned that you did it. So I bet he stole your idea. Sincerely, Donna
Dear God, I do not think anybody could be a better God. Well, I just want you to know that I am not just saying this because you
are God already. Charles
Dear God, I didn't think orange went with purple until I saw the sunset you made on Tuesday. That was cool! Eugene Dear God, Maybe Cain and Abel would not kill each other so much if they had their own rooms. It works with my brother. Larry
 
Mkuu hili ni jukwa la MMU na kuna jukwa la mambo ya dini kule ambako ni full stress
Sasa tumeiweka humu hii iendane na maswala ya MMU yaani stress free
sasa ukiuliza yale mengine yule mtu asiyeonekana anaweza kukasirika ahaihamishia kule kwenye stress tukakosa uhondo

Sasa ni yapi ambayo sipaswi kuuliza kwenye hii mada na ni vigezo gani vinavyotumika kuamua kama maswali yangu yanafaa au hayafai?
 
Sasa ni yapi ambayo sipaswi kuuliza kwenye hii mada na ni vigezo gani vinavyotumika kuamua kama maswali yangu yanafaa au hayafai?

yanayoingia kwenye masuala ya dini sana au yanayohoji uwepo wa Mungu mwenyewe au uwepo wa binadamu na uwezo wa Mungu
 
...mimi ningemuomba uchungu wa mapenzi aufanye kama wa jino tu. 'Likichagiza' unang'oa au unaua root canal...
You have just made my day LOL... Au ungemwomba aondoe hii kitu inaitwa mapenzi.....Tuwe tunazaliana kama mimea.
 
  • Thanks
Reactions: bht
yanayoingia kwenye masuala ya dini sana au yanayohoji uwepo wa Mungu mwenyewe au uwepo wa binadamu na uwezo wa Mungu

Ni kigezo gani kinatumika kuamua kuwa suala fulani linaingia sana kwenye dini?
 
Sasa ni yapi ambayo sipaswi kuuliza kwenye hii mada na ni vigezo gani vinavyotumika kuamua kama maswali yangu yanafaa au hayafai?
mbona mzito sana kuelewa?
nenda kwenye jukwaa la Maxshimba kule!!
kaulize kama mungu ana baba mkwe, sio hapa.
 
Back
Top Bottom