duuuuuuuuh, ila bongo mbona wanazipinduadmkali upo sahihi mercedes benz huwezi kuikuta matairi manne juu hata BMW X 5 na 6 tangazo lipo Cape town, water front bm deller...
"Huwezi kuikuta matairi manne juu" ? Hata kama vitu vingine vina ubora wake sio vibaya tukijiongeza kidogo ,za kuambiwa changanya na zako ,dmkali upo sahihi mercedes benz huwezi kuikuta matairi manne juu hata BMW X 5 na 6 tangazo lipo Cape town, water front bm deller...
Hapo kweny magreda [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ss Mkuu linadondokaje greda na linavyotembea taratbu vileWana uhakika, chombo imepitia vipimo vya kutosha na imethibitishwa ipo stable.
Lakini cjui kama hiyo offer huku bongo ilisikia, huku mpaka ma excavator, magreda na madampa yanapiga miguu juu ,, ijekua kijibenzi
Mkuu hii ndio bongo bhana , hakuna linaloshindikana nduu,Hapo kweny magreda [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ss Mkuu linadondokaje greda na linavyotembea taratbu vile
"Huwezi kuikuta matairi manne juu" ? Hata kama vitu vingine vina ubora wake sio vibaya tukijiongeza kidogo ,za kuambiwa changanya na zako ,
Mimi nishaiona X 5 iko chali
"Huwezi kuikuta matairi manne juu" ? Hata kama vitu vingine vina ubora wake sio vibaya tukijiongeza kidogo ,za kuambiwa changanya na zako ,
Mimi nishaiona X 5 iko chali
mkuu hilo Tangazo ni la muda kwa mercedes benz na pia baada ya kuwa watengenezaji wengi na baadhi ya magari kupungua ubora wamebaki na baadhi tuu...ndio maana japan aliondolewa kibalu cha kutengeneza mercedes maana alikua anafyatua zisizo na ubora na pia wao wana chasesi namba ambazo wanajua zipo katika ubora... Africa ajali za magari madogo zipo Gauteng province sikumbuki kama nishawahi kuiona scrape mercedes iliyokalia..."Huwezi kuikuta matairi manne juu" ? Hata kama vitu vingine vina ubora wake sio vibaya tukijiongeza kidogo ,za kuambiwa changanya na zako ,
Mimi nishaiona X 5 iko chali
We Jamaa umefanya watu wanishangae kwa kicheko peke yangu[emoji23] [emoji23]Mkuu hii ndio bongo bhana , hakuna linaloshindikana nduu,
Ngoja nikupe mfano
Hiv ushawah kuona umeme umegoma kupita juu ya makaburi
Si kwelim
duuuuuuuuh, ila bongo mbona wanazipindua
Hahahaaa wabongo nuksi toka kwenye greda hadi makaburiMkuu hii ndio bongo bhana , hakuna linaloshindikana nduu,
Ngoja nikupe mfano
Hiv ushawah kuona umeme umegoma kupita juu ya makaburi
Maana yangu ni kwamba hakuna upuuzi unaoshindikana bongo,Hahahaaa wabongo nuksi toka kwenye greda hadi makaburi
hahaha huyu jamaaa kaulisha kande mbich huyu... hahaha et greda watu wanaypiga chiniHapo kweny magreda [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ss Mkuu linadondokaje greda na linavyotembea taratbu vile