sharrif abdul
Member
- Nov 13, 2016
- 48
- 29
mkuu hiz gar sio km watu hawazipendi..zinapendwa sana bt shida ni hiz gar ni very expensive kuziendesha yan..I mean ktk vifaa vyake so km unaela ya mawazo itakusumbua sana lkn ni nzur sana na ukiipata uliyotulia na ukawa mtunzaji we ni kuchange vitu vidogo vidogo like oil iv..so tbu ya hiz gar ni gharama tu ya kuzimilikiHabari mkuu mimi nina mpango wa kuagiza benzi used kutoka nje. Je magari haya kitu gani husumbua zaidi... au ni changamoto zipi gari hizi zinayo mpaka watu wengi hawazpndelei