Ukikutwa umeidondosha Benzi chali unalipwa dola milioni mia

Ukikutwa umeidondosha Benzi chali unalipwa dola milioni mia

upload_2016-11-15_11-40-59.jpeg


nimekosea mkuu kugenerelize, rafiki yangu alinipa lift wiki iliyopita kwenye kitu hapo juu, kwakweli sikutaka safari iishe, aliniambia ni ya mume wake, kwakweli sisi tukijali designer handbags wenzetu mnajali vitu vya bararani.
 
Yamakagashi Mercedes Benz ni gari kwanza aina ubovu wa kusumbua sumbua,ina mapumziko sana,ina balance na ndio gari inayoongoza kwa kutulia bara barani hawa jamaa walitengeneza gari na ukikaa humo huji kutoka hata ukiishuwa utatafuta benz ya zamani ili kunusa mapumziko tena ni vile kodi ipo juu hapo ndio maana vitu vingi bei za kawaida huku,huko ni hatari sana..
 
Yamakagashi Mercedes Benz ni gari kwanza aina ubovu wa kusumbua sumbua,ina mapumziko sana,ina balance na ndio gari inayoongoza kwa kutulia bara barani hawa jamaa walitengeneza gari na ukikaa humo huji kutoka hata ukiishuwa utatafuta benz ya zamani ili kunusa mapumziko tena ni vile kodi ipo juu hapo ndio maana vitu vingi bei za kawaida huku,huko ni hatari sana..
Nafahamu mkuu ila hizi C class zilikuwa na hitilafu fulani ,nyingi zinawaka moto ,nimesha shuhudia mbili zikiwaka moto mpaka zikateketea na hakukuwa na ajali .
 
Yamakagashi swala la kuwaka moto ni swala la umeme wa gari na pia inategemeana na service unafanya wapi na pia wewe unazungumzia hayo C Class unaongelea kiujumla Mkuu Benz mimi na wewe hatuwezi kuwakosoa tuwaache tuu kuanzia 2007 mpaka 2016 wametoa gari benzi mkuu na hiyo Sport yao ya AMG...
 
Wana uhakika, chombo imepitia vipimo vya kutosha na imethibitishwa ipo stable.

Lakini cjui kama hiyo offer huku bongo ilisikia, huku mpaka ma excavator, magreda na madampa yanapiga miguu juu ,, ijekua kijibenzi
Hivi watz wanaonunua mpya ni wangapi!? Unaweza kuta zinanunuliwa na ikulu tu na matajiri wasiozidi hata 10.

Wengine wote tunanua mitumba ambayo haina hizo offer!
 
Yamakagashi swala la kuwaka moto ni swala la umeme wa gari na pia inategemeana na service unafanya wapi na pia wewe unazungumzia hayo C Class unaongelea kiujumla Mkuu Benz mimi na wewe hatuwezi kuwakosoa tuwaache tuu kuanzia 2007 mpaka 2016 wametoa gari benzi mkuu na hiyo Sport yao ya AMG...
Sawa Mkuu kila mtu ana namna ya kulichukulia jambo ,kwanini unasema Benz mimi na wewe hatuwezi kuwakosoa ? Ni nani alijua leo Samsung note 4 zinawaka moto ? Kuna makosa ya kiufundi yalifanyika kwenye hizi C class

Mercedes, a week off the dealer's lot, catches fire and explodes on I-205 (video)

Mercedes-Benz safety row as 250,000 fire-risk saloon cars get recall in US but not in Britain | Daily Mail Online

Mercedes-Benz recalling 5,800 vehicles over potential fires
 
Mr. Django Benz kuendesha Benz hatuzungumzii offer ni ubora hata uendeshe ya 2007 ambayo ni third generation maana sasa wana fifth generation bado unakua upo katika matoleo bora ya Benz, Benz na BMW zipo bei ya kawaida sana ni vile watu wamekariri gari za kununua ndio maana wengi wanaona ni hatari kumbe ni za kawaida tuu na pia hazina usumbufu kama gari nyingi zenye matatizo ya sensor katika umeme..
 
Yamakagashi ukiandika hivyo kifundi umekosoa nini hapo? maana kukosoa inatakiwa utoe sababu za moto kwa hizo gari na si kujua tuu gari zinaungua na kusema umekosoa hayo ni matoleo ya 3 sasa hivi wapo toleo la tano Mkuu mercedes ni shida sio SA tuu nimeona za Nchi nyingi namaanisha nachozungumza mkuu..
 
Yamakagashi ukiandika hivyo kifundi umekosoa nini hapo? maana kukosoa inatakiwa utoe sababu za moto kwa hizo gari na si kujua tuu gari zinaungua na kusema umekosoa hayo ni matoleo ya 3 sasa hivi wapo toleo la tano Mkuu mercedes ni shida sio SA tuu nimeona za Nchi nyingi namaanisha nachozungumza mkuu..
Kuna link nimekuwekea hapo zipitie

Kwa hiyo Mkuu kwa sababu wewe umeziona za nchi nyingi basi probability ni kwamba wengine hawajaziona ?
 
tmp-cam-228707459.jpg
tmp-cam--413430166.jpg

Yamakagashi nanunua gari scrap yard likiwa hivyo baada ya mwezi lipo bara barani sizungumzii kuyaona tuu, Mercedes nzuri ukishaitengeneza inaenda road worth kupata kibali cha kuwa bara barani na muda mwingine kama chasis imepinda kidogo gari hawatoi kibali benz iliyosimama hela cash haraka na unaweza kubadilisha na gari mbili magari mengine...
 
Nilipiga shimo na benz nipo speed 220, lakini sikuhama njia. Lakini ingekuwa toyota nafikiri ningekuwa marehemu siku nyingi.
 
Hiyo ilikuwa singida kwa mbele kidogo tu kijiji sikifahamu kwa jina.
Habari mkuu mimi nina mpango wa kuagiza benzi used kutoka nje. Je magari haya kitu gani husumbua zaidi... au ni changamoto zipi gari hizi zinayo mpaka watu wengi hawazpndelei
 
Katika ubora Wa watengenezaji Wa GARI za mercides Benz!
Waliwahi kuahidi katika moja ya matoleo yao kwamba; endapo kuna Mteja wao yeyote atayekutwa kapata ajali halafu GARI ikutwe Chali mataili juu;
Waliahidi kumlipa fidia Mteja dola za kimarekani million mia moja cash pamoja na kumpa gari nyingine Mpya!
Nini jeuri ya hawa jamaa kutoa offa ile; ili hali TOYOTA HATA GARANTII YA WIKI HAWATOI?
View attachment 404350
yah dat true mkuu..benz mpk ipinduke tair nne juu ni nadra sana kuziona cz benz inatabia ple unapoikimbiza speed sana zile tair zinakuwa km zinaweka tege iv na gar inashuka chini iv na inakuwa nzito na inakuwa stable sana...gar ambazo hazina longolongo
 
Back
Top Bottom