Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu
tujaribu mkuu
Hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu
naam!
MLA HULIWA.
wanawake nao kujirahisisha kumezidi
ndio baba ali!Yeah na muoshwa huoshwa!!!!
Vipi kama huna mke 0-na huamini katika hii institution ya kuoana- na mke wa mtu anajirahisisha?
Vipi kama huna mke -na huamini katika hii institution ya kuoana- na mke wa mtu anajirahisisha?
Yaani my thing is, the moral of the story here seems to be usile mke wa mtu kwa sababu ukila na wako ataliwa, which is wrong because man should do good for goodness' sake.
Naam kaka, hapana ubishi kwenye hiliYeah na muoshwa huoshwa!!!!
CERTAINLY,u r the one going wrong!
kama upo timamu na una afya yako nzuri UTAOA TU,no matter how long will it take.
.............and finally dear,by the time u get married,TUNAMLA MKEO INSTANTLY
...Cha muhimu mkeo akimegwa, na wewe tafuta mnyonge wako utafune mke wake. La sivyi utabaki ku promulgate misemo isiyo na mbele wala nyuma!!
Mkuu kuwa makini ukimega mwenye mali akijua atakushikisha ukuta.
CERTAINLY,u r the one going wrong!
kama upo timamu na una afya yako nzuri UTAOA TU,no matter how long will it take.
.............and finally dear,by the time u get married,TUNAMLA MKEO INSTANTLY
hili ni onyo tu wa wale wanaokaa na kufikira wake za watu ukweli halisi ni kwamba kama unapenda kula mke wa mwenzako basi ujue ipo siku ataliwa wa kwako hata ukioa na miaka 50.....kama uamini uliza walijaribu