Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Status
Not open for further replies.
Cells za makalioni zikiwa kichwani mambo ndo yanakua hivi.

Sasa cells za hawa ziko wapi, fafanua;?

Tumeona akili za wale wachungaji wa kondoo waliopotea, si unajuwa wanafanya nini na watoto wadogo? Ile ni kwa ajili ya kula nguruwe? au sio?
 
Ina maana wenzetu ndo maana akili yao iko vile!!
 
Mtacite ata vitabu ila suala la ulaji wa kitimoto haliepukiki!
 
Nutrition of Pork
The fat in pork is tran-fat free and mostly mono-and poly-unsaturated, so trimmed pork is suitable for even cholesterol-lowering or healthy heart diets. Pork has a high mineral content of Phosphorus, Selenium, Sodium, Zinc, Potassium and Copper. The two minerals which are present in good quantities are Iron and Magnesium, while Calcium and Mangnese are found in traces only. Pork is highly enriched with Vitamin B6, Vitamin B12, Thiamin, Niacin, Riboflavin and Pantothenic Acid. Some quantities of Vitamin A and Vitamin E are found in very small amounts. Calorific value of Pork is 458.0 per 100 gm.
Health Benefits of Pork
The vitamin B1 in pork is in high quantity. Vitamin B1 is vital for growth and repair of muscles and nerve tissues, useful for carbohydrates metabolism as well.
The presence of vitamin Riboflavin helps in maintaining skin and health problems. It repairs damaged tissues and extracts energy from food.
Vitamin B6 present in pork meat helps in metabolism of fats, proteins and carbohydrates and keeps proper functioning of the nervous system.
Pork meat help in producing red blood cells in the body.
Iron in pork enhances production of energy and iron from meat is easily absorbed by the body.
The meat helps keep bones in good shape and builds strong bones, teeth and keeps a check on the body energy levels.
Zinc present in pork boosts the immune system and improves body resistance against numerous diseases.
Pork is a good source of protein and amino acids as is vital for people interested in bodybuilding.
t is good for skin, eyes, nervous system, bones and mental performance. Intake of Pork also ensures better immunity to body due to presence of essential antioxidants.
 
(innocent smile) ..(whistles at ceiling)....aahahahahahaha...
I just cant beliave things have got so awfull that they are now moving from worshiping God to worshiping a PIG.
Behold the power of bacon.
The devil is really in details .
 
Wayahudi wanosifiwa kwa ugunduzi hawali kitimoto. Je hapo unasemaje?
 


Kaaazi kweli kweli!
 
Hakuna nyama tamu duniani kama KITIMLILO bwana, weeeeeeeeeeee acha tu.
 
twende kazi biblia hiyo inasema kitimoto haramu
bibli hiyo hiyo inatuambia alochokiumba Mungu usikiite najisi
Biblia hiyo hiyo inakataza kula ngamia lakini wenzetu wala

uharamu au unajisi utabaki kimtokacho mtu yaani matendo mabaya,mawazo mabaya,nk lakini sio tulacho
tuendelee kijikandamiza na kititmoto wanawane kitamu niaje acha tu
wasiotaka kula shauri yao
 

Wewe mkuu unajisumbua tu na hawa wakristo. Huwa hawajui kwamba hawaelewi!!! siku zote hujiona wana akili kuliko waislamu au wayahudi lakini ukweli ni mambumbumbu duniani hakuna mfano. Maandiko yao yako mengi tu yanayokwenda kinyume na wanavyofanya kila siku. hata hii article uliyoitoa wataisoma kisha kuipuuza kana kwamba hawaelewi kilichoandikwa. Kwa kifupi wakristo karibu wote ni wavivu wa kufikiri. Jambo wanaloliweza ni kudharau uislamu eti kwa kuwa ni dini wanaiona wao ni ya kishamba. Huo ni wivu kwa kuwa dini yao ni ya uongo (wanayoifuata si ile aliyoitangaza mungu.
Hata ukiwabandikia bango kwenye kila mlango wa nyumba zao hawataelewa. Biblia yenyewe hawaijui mpaka mchungaji au padri awasomee. Sayansi wanayoijua wao ni matusi tu na dharau kwa waislamu kwamba hawakusoma, magaidi wauwaji kana kwamba Yesu alipokuja duniani alikuja kwa amani kumbe alileta madhara makubwa sana. Dunia haina amani kwa sababu ya ukristo!!! Watu wanakwenda motoni wengi sana kwa sababu ya ukristo.

Hata ukiwaandikia maandiko haya hawataelewa!!!!
Isaya 66
10 Furahini pamoja na Yerusalemu, shangilieni kwa ajili yake, ninyi nyote mmpendao; furahini pamoja naye kwa furaha, ninyi nyote mliao kwa ajili yake;
  1. 11 mpate kunyonya, na kushibishwa kwa maziwa ya faraja zake, mpate kukama, na kufurahiwa kwa wingi wa utukufu wake.
    12 Maana Bwana asema hivi, Tazama, nitamwelekezea amani kama mto, na utukufu wa mataifa kama kijito kifurikacho, nanyi mtapata kunyonya; mtabebwa; na juu ya magoti mtabembelezwa.
    13 Mfano wa mtu ambaye mama yake amfariji, ndivyo nitakavyowafariji ninyi; nanyi mtafarijiwa katika Yerusalemu.
    14 Nanyi mtaona, na mioyo yenu itafurahi, na mifupa yenu itasitawi kama majani mabichi; na mkono wa Bwana utajulikana, uwaelekeao watumishi wake, naye atawaonea adui zake ghadhabu.
    15 Maana Bwana atakuja na moto, na magari yake ya vita kama upepo wa kisulisuli; ili atoe malipo ya ghadhabu yake kwa moto uwakao, na maonyo yake kwa miali ya moto.
    16 Kwa maana Bwana atateta na wote wenye mwili, kwa moto na kwa upanga wake; nao watakaouawa na Bwana watakuwa wengi.
    17 Watu wale wajitakasao, na kujisafisha katika bustani, nyuma yake aliye katikati; wakila nyama ya nguruwe, na machukizo, na panya; watakoma pamoja, asema Bwana.
    18 Nami nayajua matendo yao na mawazo yao; wakati unakuja nitakapokusanya mataifa yote na lugha zote; nao watakuja, nao watauona utukufu wangu.
    19 Nami nitaweka ishara kati yao, nami nitawatuma hao waliookoka kwa mataifa, Tarshishi, na Puli, na Ludi, wavutao upinde, kwa Tubali na Yavani, visiwa vilivyo mbali; watu wasioisikia habari yangu, wala kuuona utukufu wangu; nao watahubiri utukufu wangu katika mataifa.
    20 Nao watawaleta ndugu zenu wote kutoka mataifa yote, kuwa sadaka kwa Bwana, juu ya farasi, na katika magari, na katika machela, na juu ya nyumbu, na juu ya wanyama wepesi, mpaka mlima wangu mtakatifu Yerusalemu, asema Bwana; kama vile wana wa Israeli waletavyo sadaka yao nyumbani kwa Bwana katika chombo safi.
    21 Na baadhi ya hao nitawatwaa kuwa makuhani na Walawi, asema Bwana.
    22 Kama vile mbingu mpya na nchi mpya, nitakazofanya, zitakavyokaa mbele zangu, asema Bwana, ndivyo uzao wenu na jina lenu litakavyokaa.
    23 Na itakuwa, mwezi mpya hata mwezi mpya, na sabato hata sabato, wanadamu wote watakuja kuabudu mbele zangu, asema Bwana.
    24 Nao watatoka nje na kuitazama mizoga ya watu walioniasi; maana funza wao hatakufa, wala moto wao hautazimika nao watakuwa chukizo machoni pa wote wenye mwili.
 
Alichoumba Mungu mwanadamu asikiite najisi. Kuleni kila kiuzwacho sokoni bila kuuliza uliza 1 Wakorintho 10:24-26
 
astakafulah makafikili mnavyopenda kula hovyo, lakini yule mdudu jamani ni mtam balaaa acha makafili wafaidi

nikweli wanaakili nyingi nakuunga mkono mkuu.KWASABABU AKILIZAO NYINGI NDIO MAANA WAKAIDHINISHA NDOA ZA JINSIA 1 NA WALE WASIO NA AKILI NA HALI SHWAHINI WAMEGOMA na akili zao zinazidi kupungua pole
 
Tumeona akili za wale wachungaji wa kondoo waliopotea, si unajuwa wanafanya nini na watoto wadogo? Ile ni kwa ajili ya kula nguruwe? au sio?

naye alikuwa akila nini! manake alimfanyia kitu mbaya mtoto Aisha binti asidiq wakati anachezea midoli! Ingekuwa zama hizi msingekuwa naye tena angenyea debe segerea!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…