Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Status
Not open for further replies.
twende kazi biblia hiyo inasema kitimoto haramu
bibli hiyo hiyo inatuambia alochokiumba Mungu usikiite najisi
Biblia hiyo hiyo inakataza kula ngamia lakini wenzetu wala

uharamu au unajisi utabaki kimtokacho mtu yaani matendo mabaya,mawazo mabaya,nk lakini sio tulacho
tuendelee kijikandamiza na kititmoto wanawane kitamu niaje acha tu
wasiotaka kula shauri yao

Huo ndo umbumbumbu wa waktisto!!!! Hawana uwezo wa kufikiri....Mungu alipoumba dunia aliweka utaratibu wa jinsi ya kuishi. Tatizo wakristo hawataki kufuata taratibu.... Wanarahisisha maisha kana kwamba dunia hii waliiumba wao. Mungu wa kweli ni yule anayeweka utaratibu wa namna ya kuishi. Sasa ona wewe ulivyorahisisha maisha eti kiingiacho si haramu bali kimtokacho... Huo ni ujinga milioni moja!!!! Kwa tafsiri ya andiko hilo ina maana hata ukimchinja baba yako mzazi unaweza ukamla na ikaonekana poa tu???? Hivi ninyi watu mna akili kweli??? Muwe mnakaa siku moja moja mnafikiri kwa undani. acheni uvivu wa kusali sala nyepesi nyepesi wakati Mungu ameweka sala ngumu na zinazoeleweka utaratibu wake. ninyi ni wavivu na aliyewapotosha ni Paulo!!!! Poleni sana.....
Basi mchinje mwano utualike tuje kula nyama yake kama kweli wewe una akili!!!!!!
 
13693_whole_roasted_suckling_pig_600.jpg

yaaaa inaonesha huyo mtuwako unae Mwita MSOMI angelikuambia yakua watu ote wanaokula nguruwe no kesho watageuka NGURUWE naona pia ungekubali wajinga ndio waliwao HONGERA........
 
hii ni katika mazungumzo na msomi mmoja na alinitolea mfano wa nchi zinazokula sana kitimoto kama Ujerumani , China na nchi nyingi za Ulaya jinsi watu wake walivyo na upeo mkubwa wa akili na kufikiri. Na akanipa mfano wa nchi zisizokula nyama hiyo zilivyo na matatizo ya akili na upeo.
Tanzania Bara wanakula zaidi kiti moto kuliko Zanzibar na huku Tanzania bara pia watu wasiokula sana kitimoto wanapatikana mikoa ya Pwani zaidi ngoja nifanye utafafiti uwezo wa kufikiri wa watu wa Pemba nikiwashindanisha na wale wa Dodoma na wale wa Mtwara nikiwashindanisha na wale wa Rukwa then nitakuunga mkono au kukupinga
 
Tafadhali mkuu hebu vitu vingine uwe unakaa navyo moyoni... tunaokula tunatosha sana ukiongeza walaji wengine nyama itapanda bei na hali itakua ngumu kwa sisi wadau wakubwa tusio na pesa ya kutosha, kumbuka Demand ikizidi supply price itaongezeka.. tunatosha sana na ikibidi wengine wapungue..
 
Alichoumba Mungu mwanadamu asikiite najisi. Kuleni kila kiuzwacho sokoni bila kuuliza uliza 1 Wakorintho 10:24-26

Wewe elimu yako ya biblia ni ndogo sana kama yai la kiroboto. Yaani andiko hilo tu ndo limekufanya uamini kwamba kila kitu alichoumba Mungu ni halali? Lo!!! Pole sana. Hivi kitu mpaka kinafika sokoni kuuzwa unataka kuniambia hakikufuata utaratibu? Hivi unaweza kwenda soko la kariakoo kununua nyama ya kenge utaikuta??? Sokoni ni sehemu isiyofuata sheria? Wewe mbombona ni mbumbumbu mzungu wa reli? Halafu hebu acha kutudanganya na andiko lako bwana hebu rudi mstari mmoja nyuma yaani 1Korintho 10:23. Umeona mstari unavyosema? Maana yake nini?
 
i declare today KITIMOTO-DAY..........HAPPY KITIMOTO DAY
 
.
There are other reasons grounded in biological facts that could be listed to show why pigs and swine should not be eaten. But a true Christian should only need one reason why not to eat this type of food because God prohibited it.
"And the swine, because it divides the hoof, yet does not chew the cud, it is unclean unto you: you shall not eat of their flesh, nor touch their dead carcase." - Leviticus 11:7,8; Deuteronomy 14:8
Those who say Christ abolished the law condemning pork are motivated by their stomach not Scripture. The problems with pork are biological, and Christ never changed the laws of biology.

If you read properly the same books and those particular chapters you will see that also Camels, ducks, rabbits etc are prohibited. Now tell us, what you guys prefer to slaughter during Eid-el-Haj?
 
pig & pork facts
the pig or swine is a very popular food item with most christians. Yet christians are unaware that the god they profess to believe in had condemned the eating of swine's flesh. The condemnation was based on some very sound biological principles. Here are some facts on pork that prove it to be a very unhealthy food to eat:
redball.gif
a pig is a real garbage gut. It will eat anything including urine, excrement, dirt, decaying animal flesh, maggots, or decaying vegetables. They will even eat the cancerous growths off other pigs or animals.

redball.gif
the meat and fat of a pig absorbs toxins like a sponge. Their meat can be 30 times more toxic than beef or venison.

redball.gif
when eating beef or venison, it takes 8 to 9 hours to digest the meat so what little toxins are in the meat are slowly put into our system and can be filtered by the liver. But when pork is eaten, it takes only 4 hours to digest the meat. We thus get a much higher level of toxins within a shorter time.

redball.gif
unlike other mammals, a pig does not sweat or perspire. Perspiration is a means by which toxins are removed from the body. Since a pig does not sweat, the toxins remain within its body and in the meat.

redball.gif
pigs and swine are so poisonous that you can hardly kill them with strychnine or other poisons.

redball.gif
farmers will often pen up pigs within a rattlesnake nest because the pigs will eat the snakes, and if bitten they will not be harmed by the venom.

redball.gif
when a pig is butchered, worms and insects take to its flesh sooner and faster than to other animal's flesh. In a few days the swine flesh is full of worms.

redball.gif
swine and pigs have over a dozen parasites within them, such as tapeworms, flukes, worms, and trichinae. There is no safe temperature at which pork can be cooked to ensure that all these parasites, their cysts,and eggs will be killed.

redball.gif
pig meat has twice as much fat as beef. A 3 oz t bone steak contains 8.5 grams of fat; a 3 oz pork chop contains 18 grams of fat. A 3 oz beef rib has 11.1 grams of fat; a 3 oz pork spare rib has 23.2 grams of fat.

redball.gif
cows have a complex digestive system, having four stomachs. It thus takes over 24 hours to digest their vegetarian diet causing its food to be purified of toxins. In contrast, the swine's one stomach takes only about 4 hours to digest its foul diet, turning its toxic food into flesh.

redball.gif
the swine carries about 30 diseases which can be easily passed to humans. This is why god commanded that we are not even to touch their carcase (leviticus 11:8).

redball.gif
the trichinae worm of the swine is microscopically small, and once ingested can lodge itself in our intestines, muscles, spinal cord or the brain. This results in the disease trichinosis. The symptoms are sometimes lacking, but when present they are mistaken for other diseases, such as typhoid, arthritis, rheumatism, gastritis, ms, meningitis, gall bladder trouble, or acute alcoholism.

redball.gif
the pig is so poisonous and filthy, that nature had to prepare him a sewer line or canal running down each leg with an outlet in the bottom of the foot. Out of this hole oozes pus and filth his body cannot pass into its system fast enough. Some of this pus gets into the meat of the pig.

there are other reasons grounded in biological facts that could be listed to show why pigs and swine should not be eaten. But a true christian should only need one reason why not to eat this type of food because god prohibited it.
"and the swine, because it divides the hoof, yet does not chew the cud, it is unclean unto you: You shall not eat of their flesh, nor touch their dead carcase." - leviticus 11:7,8; deuteronomy 14:8
those who say christ abolished the law condemning pork are motivated by their stomach not scripture. The problems with pork are biological, and christ never changed the laws of biology.




thank u so much...!!
Mimi hapo sina cha kuongeza
tabia hii ya kubadilisha vifungu vya maneno ya muumba kwa maslahi ya tumbo na utashi wa kibanadam yastahili kukekemewa sana
af pia ktk kuongezea huyu mdudu mchafu hua anapata siku zake za hedhi kama mwanamke wa kawaida
tuache ndugu zangu,,hata kama ni tamu lakini si kuna nyama zingne???
 
Kwenye biblia mambo ya Walawi 11:7 imeandikwa ". 7*And the pig, though it has a divided hoof, does not chew the cud; it is unclean for you. "


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
unahitaji kongozwa na roho kuelewa maandiko
kwa vile huelewi bora ukae kimya
Kimuingiacho mtu haimaniishi umle baba yako Yesu

alimaanisha vyakula tunavokula sio tija kwani sisi hatuishi
kwa sheria bali tunaishi kwa Iman zaidi. Amri kuu sisi wakristo ni moja tu,
Mpende bwana Mungu wako kwa Moyo wako wote,nguvu zako
na kwa akili yako yote na pia mpende jirani yako kama nafsi yako
mengine ni ziada tu, yafaa nini huli kitimoto lakini

unatenda maovu kama kubaka,kulawiti, kuchoma makanisa,kuuwa nk?
yafaa nini kutokula kitimoto huku unaita wengine makafiri kana kwamba wewe ni mwema kuliko wengine?
katika mahubiri yake Yesu hajawahi kusema watu wasile kitimoto.

Sheria nyingi unazosema ziliwekwa wakati ule waisraeli wakiwa jangwani,
,ila alituamuru kuzishika amri zake KUMI katika hizo kumi KITIMOTO HAKIPO
na Yesu alipokuja alitumbia amri kuu kuliko zote ni UPENDO
siwezi kuandika mengi soma biblia vizuri.

WALAJI WAKUBWA WA HII KITU NI WAISLAMU USHAHIDI NI WAKATI WA MFUNGO WARAMADHANI

Huo ndo umbumbumbu wa waktisto!!!! Hawana uwezo wa kufikiri....Mungu alipoumba dunia aliweka utaratibu wa jinsi ya kuishi. Tatizo wakristo hawataki kufuata taratibu.... Wanarahisisha maisha kana kwamba dunia hii waliiumba wao. Mungu wa kweli ni yule anayeweka utaratibu wa namna ya kuishi. Sasa ona wewe ulivyorahisisha maisha eti kiingiacho si haramu bali kimtokacho... Huo ni ujinga milioni moja!!!! Kwa tafsiri ya andiko hilo ina maana hata ukimchinja baba yako mzazi unaweza ukamla na ikaonekana poa tu???? Hivi ninyi watu mna akili kweli??? Muwe mnakaa siku moja moja mnafikiri kwa undani. acheni uvivu wa kusali sala nyepesi nyepesi wakati Mungu ameweka sala ngumu na zinazoeleweka utaratibu wake. ninyi ni wavivu na aliyewapotosha ni Paulo!!!! Poleni sana.....
Basi mchinje mwano utualike tuje kula nyama yake kama kweli wewe una akili!!!!!!
 
If you read properly the same books and those particular chapters you will see that also Camels, ducks, rabbits etc are prohibited. Now tell us, what you guys prefer to slaughter during Eid-el-Haj?
The Leviticus 11 says 4*"'There are some that only chew the cud or only have a divided hoof, but you must not eat them. The camel, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is ceremonially unclean for you. 5*The hyrax, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is unclean for you. 6*The rabbit, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is unclean for you


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hii thread na ile ya picha za jk akijenga nchi! Are my best threads ever!
 
If you read properly the same books and those particular chapters you will see that also Camels, ducks, rabbits etc are prohibited. Now tell us, what you guys prefer to slaughter during Eid-el-Haj?



LOOH,,LIONE MATE YA UCHU YAMDONDOKA NA HATAKI KABISA KUSKIA ANAHUBIRIWA VIFUNGU VINAVOKATAZA UOVU HUO
UONE AIBU SASA KILA KITU UMEWEKEWA WAZI KUA HURUHUSIWI KULA HUYO MDUDU MCHAFU
SASA POVU LA NIN??
:smile: :smile:
 
Wewe elimu yako ya biblia ni ndogo sana kama yai la kiroboto. Yaani andiko hilo tu ndo limekufanya uamini kwamba kila kitu alichoumba Mungu ni halali? Lo!!! Pole sana. Hivi kitu mpaka kinafika sokoni kuuzwa unataka kuniambia hakikufuata utaratibu? Hivi unaweza kwenda soko la kariakoo kununua nyama ya kenge utaikuta??? Sokoni ni sehemu isiyofuata sheria? Wewe mbombona ni mbumbumbu mzungu wa reli? Halafu hebu acha kutudanganya na andiko lako bwana hebu rudi mstari mmoja nyuma yaani 1Korintho 10:23. Umeona mstari unavyosema? Maana yake nini?

Jibu hoja acha matusi. Watu wenye akili ndogo utawajua tu. Badala ya kujibu hoja wanakimbilia matusi na jazba.
 
Kama kuna mwenye muda akafanye survey ni maeneo gani Dar yana vibanda vingi vya kitimoto: wanakoishi waKristo au waIslam then utaleta taarifa njema sana.

It is just my simple suggestion.
Mmmh, hili nalo neno mkuu. Halafu nasikia wakati wa mfungo wa ramadhani huwa biashara inadoda kabisa. Labda kunahitajika ufafanuzi hapa!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom