Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Status
Not open for further replies.
hii ni katika mazungumzo na msomi mmoja na alinitolea mfano wa nchi zinazokula sana kitimoto kama Ujerumani , China na nchi nyingi za Ulaya jinsi watu wake walivyo na upeo mkubwa wa akili na kufikiri. Na akanipa mfano wa nchi zisizokula nyama hiyo zilivyo na matatizo ya akili na upeo.


Katika wajanja na wewe umo! Mimi nimeuelewa msamiati wako na mwelekeo wa fikra zako. Ukiziti ku zero in, unakuja kwa nchi ya Tanzania ambako wengine wanakula wengine la! Then ukishuka zaidi, unakuja kwa kundi la watu fulani...Niendelee and niache? Aha naendelea. Ukizidi kuchambua, unatazama hata maamuzi ya wale ambao hawali KIMTO wanavyofanya, uwezo wao wa kufikri, maamuzi nk nk...Niendelea au niachie hapa? Nasubiri majibu...
 
Karibu sana zomba na Ritz. Najua huwa mnakula kwa kificho
DSC00212.JPG

Ngoja nisubirie ngumi zitakazoumuka hivi punde!
 
unahitaji kongozwa na roho kuelewa maandiko
kwa vile huelewi bora ukae kimya
Kimuingiacho mtu haimaniishi umle baba yako Yesu

alimaanisha vyakula tunavokula sio tija kwani sisi hatuishi
kwa sheria bali tunaishi kwa Iman zaidi. Amri kuu sisi wakristo ni moja tu,
Mpende bwana Mungu wako kwa Moyo wako wote,nguvu zako
na kwa akili yako yote na pia mpende jirani yako kama nafsi yako
mengine ni ziada tu, yafaa nini huli kitimoto lakini

unatenda maovu kama kubaka,kulawiti, kuchoma makanisa,kuuwa nk?
yafaa nini kutokula kitimoto huku unaita wengine makafiri kana kwamba wewe ni mwema kuliko wengine?
katika mahubiri yake Yesu hajawahi kusema watu wasile kitimoto.

Sheria nyingi unazosema ziliwekwa wakati ule waisraeli wakiwa jangwani,
,ila alituamuru kuzishika amri zake KUMI katika hizo kumi KITIMOTO HAKIPO
na Yesu alipokuja alitumbia amri kuu kuliko zote ni UPENDO
siwezi kuandika mengi soma biblia vizuri.

WALAJI WAKUBWA WA HII KITU NI WAISLAMU USHAHIDI NI WAKATI WA MFUNGO WARAMADHANI

Kwa hiyo Mungu aliyetoa amri ya kutokula Nguruwe nni Mwingine na aliyeruhusu kula Nguruwe ni mwingine tofauti?? Bado umbumbumbu haujakutoka.... Na huo upendo ni AMRI KUU KULIKO ZOTE. In maana kuna zingine!!!! hizo zingine unazijua wewe mgalatia usiye na akili? Ni nani aliyekuloga mpaka usiwe na akili ya kujua maandiko. Sasa katika amri iliyokuu ni UPENDO sasa na zile zingine ni zipi wewe!!! Halafu acha kudanganya kuwa kujua maandiko unahitaji roho mtakatifu.... Sasa hebu nieleze kwa kutumia biblia, nyama ya nguruwe ukiishika au kuila unakuwa mtakatifu? Uongo mwingine bwana.... Hilo andiko la "kiingiacho si najisi bali kimtokacho mtu" hivi kwa akili zako unataka kusema hapa kilikuwa kinaongelewa chakula tunachokula? Pole sana unayekosa kuwa na roho mtakatifu kwa sababu ya kuwa najisi muda wote maana unakula nyama ya nguruwe kila siku.
Mtu mpumbavu utamjua tu. Ni lini Yesu alitangaza kaja duniani kufuta sheria zote? Ni lini umesikia Yesu alikula Nguruwe? Wewe vipi hata nikikupa maandiko hutayasoma kwa sababu ya ulafi wa nyama ya nguruwe na wivu kwa dini ya kiislamu kwa sababu ni dini ya haki. Dini unayoifuata hata Yesu hajawahi kuitamka hata kwa kinywa chake. unafuata dini hewa!!! Maandiko yanasema tofauti na wewe unafuata kitu tofauti.....
Kwa kuwa mfungo wa mwezi wa ramadhani nguruwe huwa wanadoda unamaanisha waislamu wako wengi kiasi kwamba wanawazidi wakristo uwingi hivyo nguruwe huwa hawatoshi? Pumbavu... Hizo ni propaganda za kuupaka matope uislamu!!! Maana eti mnaita ni dini ya majini wakati majini ni viumbe visivyoonekana sasa ninyi huwa mnavionaje kwamba sisi tunavifuga. kama siyo propaganda ni nini? Mbona ninyi mnaabudu sanamu kila siku (msalaba) hatusemi wala kuwapakazia? mnakula mikate inayotengenezwa na "material" tata..... Mbona hatupigi propaganda? Ishia huko. Maandiko huyajui, mvivu wa kufikiri na dini unayoifuata ni ukafiri wala Yesu hakuwa dini hiyo na ndo maana mnakula nguruwe ambaye hakuwahi kumla. Yesu alikula SAMAKI na mkate tu!!!! Ninyi mnakula Nguruwe...lo!!!
 
Nutrition of Pork
The fat in pork is tran-fat free and mostly mono-and poly-unsaturated, so trimmed pork is suitable for even cholesterol-lowering or healthy heart diets. Pork has a high mineral content of Phosphorus, Selenium, Sodium, Zinc, Potassium and Copper. The two minerals which are present in good quantities are Iron and Magnesium, while Calcium and Mangnese are found in traces only. Pork is highly enriched with Vitamin B6, Vitamin B12, Thiamin, Niacin, Riboflavin and Pantothenic Acid. Some quantities of Vitamin A and Vitamin E are found in very small amounts. Calorific value of Pork is 458.0 per 100 gm.
Health Benefits of Pork
The vitamin B1 in pork is in high quantity. Vitamin B1 is vital for growth and repair of muscles and nerve tissues, useful for carbohydrates metabolism as well.
The presence of vitamin Riboflavin helps in maintaining skin and health problems. It repairs damaged tissues and extracts energy from food.
Vitamin B6 present in pork meat helps in metabolism of fats, proteins and carbohydrates and keeps proper functioning of the nervous system.
Pork meat help in producing red blood cells in the body.
Iron in pork enhances production of energy and iron from meat is easily absorbed by the body.
The meat helps keep bones in good shape and builds strong bones, teeth and keeps a check on the body energy levels.
Zinc present in pork boosts the immune system and improves body resistance against numerous diseases.
Pork is a good source of protein and amino acids as is vital for people interested in bodybuilding.
t is good for skin, eyes, nervous system, bones and mental performance. Intake of Pork also ensures better immunity to body due to presence of essential antioxidants.

Zomba wa JF likes this post !!
Doesn't he ??
 
MUNGU hakuumba vitu vyote viliwe, kwani alitoa vinavyoliwa na visivyo liwa,Angalieni sana nyakati za mwisho watu watapenda sana vile vitu vibaya vyenye sura mbaya.Mfno;Bata, NGURUWE, PWEZA,NGISI,KONOKONO, MBWA, PUNDA nk,.
 
Acha uongo wewe!!!! Qurani haijasema Wakrisot ni wa cha Mungu!!!!! Toa andiko sasa hivi.....
Nimeamini wewe ni kafiri tu!Kumbe hata furqan huisomi eeh!Kasome Q5:82! Au unataka pia sababu nuzul ya hiyo ayat, na muamad kaifundishaje, pia imeshuka wapi? Sema tu dogo mantahofu! Mie Mwana wa Mungu nitakufunulia!
 
Wewe Malyenge ambaye sio mvivu wa kufikiri mimi nataka uwe mwalimu wangu. Hapa nina swali. Tazama picha kisha nijibu maswali yangu matatu

1. Huyu marehemu wa kazi ya mikono ya binadamu, anapofika kwa allah, anahukumiwa tena au ndio mnampunguzia allah kazi?

2. Nani ana hakika kuwa walioshika mawe wao ni safi?

3. Haya mambo yalifanywa na Wayahudi pia, je unafikiri Yesu alituagiza 'sisi wavivu wa kufikiri' kufanya hivi?
 
Last edited by a moderator:
Nimeamini wewe ni kafiri tu!Kumbe hata furqan huisomi eeh!Kasome Q5:82! Au unataka pia sababu nuzul ya hiyo ayat, na muamad kaifundishaje, pia imeshuka wapi? Sema tu dogo mantahofu! Mie Mwana wa Mungu nitakufunulia!

Mwelezee huyo

5_82.png
 
Wayahudi wanosifiwa kwa ugunduzi hawali kitimoto. Je hapo unasemaje?

ila wachina wanakula kitimoto sana na hawaugui ovyo wana immunity kubwa sana dhidi ya maradhi pia bongo zao zinachemka!sasa hapo which is which?
 
astakafulah makafikili mnavyopenda kula hovyo, lakini yule mdudu jamani ni mtam balaaa acha makafili wafaidi

Dah we jamaa umenichekesha mpaka basi. Kuna watu unawatafuta hapa wazee wa kupanick!!!
 
twende kazi biblia hiyo inasema kitimoto haramu
bibli hiyo hiyo inatuambia alochokiumba Mungu usikiite najisi
Biblia hiyo hiyo inakataza kula ngamia lakini wenzetu wala

uharamu au unajisi utabaki kimtokacho mtu yaani matendo mabaya,mawazo mabaya,nk lakini sio tulacho
tuendelee kijikandamiza na kititmoto wanawane kitamu niaje acha tu
wasiotaka kula shauri yao

Kama mtu kaamua kufata mambo ya walawi 11 ajue si kitimoto tu iliyokatazwa pia na bata, ngamia, sungura, prawns,kambare, tasi n.k kwa hiyo suala la kushikia bango kitimoto tu ni unafiki
 
Mbona unatoka povu bila sababu. Sawa sisi hatuelewi Biblia mpaka tusomewe na Padre nyie si mnaielewa Quran vyema na ndio maana kila mmoja wenu anakurupka na tamko lake, wengine Ponda muhuni wengine Ponda ni mwislamu. Mimi sitaenda kwenye mapungufu yenu maana ni mengi ila nataka nikueleweshe juu ya Biblia.

Biblia ni GOMBO LA CHUO. Yaliyoandikwa humu si maneno yawezayo kutanguliwa na mkojo au kwa kitabu kuanguka chini. Biblia haisomwi kama ngonjera kiasi ukajitafutie kifungu kifaacho kumsuta jirani yako na kukibandika hapa. Mmekuwa mabingwa wa tafsiri za mienyeji bila kuzingatia Biblia imeandika tamaduni za watu wengine ambazo hazimzuii mtu kuwa Mkristo.

Umebandika Isaya 66:10 - 24, lakini mimi nataka nikuoneshe kuwa Biblia si kitabu cha kusoma kipuuzi, basi nakurudisha nyuma kidogo. Soma Isaya 66:3 "Yeye achinjaye ng'ombe ni kama yeye amwuaye mtu, na yeye atoaye dhabihu ya mwanakondoo ni kama yeye avunjaye shingo ya mbwa; na yeye atoaye matoleo ni kama yeye atoaye damu ya nguruwe, na yeye afukizaye uvumba ni kama yeye abarikiye sanamu. Naam, wamezichagua njia zao wenyewe na nafsi zao zinafurahia machukizo yao"

Kama anayechinja ng'ombe ni sawa na anayemuua mtu, bado wewe unajifanya unaijua Biblia? Mkuu, Biblia ni maandiko marefu ambayo kabla hujayasoma wapaswa kujua aliandikiwa nani na yupo katika mazingira na tamaduni zipi. Sisi si watumwa wa maandiko bali maana yake. Ndio maana hatuingii chooni kwa kuzingatia mguu wa kuanzia.

Aijuaye Quran vyema ni Sulman Rashid

Mvivu wa kufikiri ni wewe usiyejua kuwa Yesu hakutufundisha sisi juu ya Miili na matamanio ya dunia zaidi ya yale yaijazayo mioyo yetu. Agano la kale ni tamaduni za watu husika wa jamii hizo, ndio maana sisi sio wavaa kanzu kwa kuwa tunaamini kanzu ni vazi la mazingira yale na sisi hatulazimiki kuvaa ndio tuwe wakristo kama mnavyofanya nyinyi.

Jisomee Mathayo 15:10-20 acha kukurupuka wewe, sisi tunaongozwa na Injili na sio mafundisho ya Kiyahudi

Wewe bado unaendeleza umbumbumbu tu? Hiyo Isaya 66(3) umeielewa wewe? Hapo Mungu anakataza kuchinja hivyo vitu kwa ajili yake! Hivyo havihitaji maana njia za kumwabudu amekwishawafundisha wanadamu... Wewe kweli tutusa!! Tangu lini mtu mwenye govi akawa na roho mtakatifu wa kujua maandiko? Pole sana!!! Hapo Mungu anasema njia za machukizo za kumwabudu mfano kwa kuchinja wanyama hao ni kama kumwua mtu nk. kama inavyosema aya hiyo. Mungu aliweka utaratibu wa kumwabudu amabo si huo wa kuchinja ngo'mbe nk. Anasema hizo ni njia zao tu za kujifurahisha na nafsi zao. yeye amechagua njia zake za watu kumwabudu.... Umeelewa we kilaza wa maandiko? Soma 66(1) mpka 66(4). pole sana. Yaani unachukia mpaka dua za waislamu kuingia chooni kwa kutanguliza miguu? Lo! Jamaa anawivu sana mpaka kuingia chooni kwa dua jamaa anachukia??? Sasa ukisikia waislamu kuwa tohara ndo huko. Unakuwa safi muda wote na saa yoyote ukishika kitabu cha maandiko matakatifu unaelewa tu. Unakuwa mjuzi ndani ya ujuzi.
 
Wewe bado unaendeleza umbumbumbu tu? Hiyo Isaya 66(3) umeielewa wewe? Hapo Mungu anakataza kuchinja hivyo vitu kwa ajili yake! Hivyo havihitaji maana njia za kumwabudu amekwishawafundisha wanadamu... Wewe kweli tutusa!! Tangu lini mtu mwenye govi akawa na roho mtakatifu wa kujua maandiko? Pole sana!!! Hapo Mungu anasema njia za machukizo za kumwabudu mfano kwa kuchinja wanyama hao ni kama kumwua mtu nk. kama inavyosema aya hiyo. Mungu aliweka utaratibu wa kumwabudu amabo si huo wa kuchinja ngo'mbe nk. Anasema hizo ni njia zao tu za kujifurahisha na nafsi zao. yeye amechagua njia zake za watu kumwabudu.... Umeelewa we kilaza wa maandiko? Soma 66(1) mpka 66(4). pole sana. Yaani unachukia mpaka dua za waislamu kuingia chooni kwa kutanguliza miguu? Lo! Jamaa anawivu sana mpaka kuingia chooni kwa dua jamaa anachukia??? Sasa ukisikia waislamu kuwa tohara ndo huko. Unakuwa safi muda wote na saa yoyote ukishika kitabu cha maandiko matakatifu unaelewa tu. Unakuwa mjuzi ndani ya ujuzi.

Matusi ya nini sasa. Mimi nilikuwa nakuonesha kuwa yakupasa kuelewa kwanza maneno unayosoma kwenye Biblia yalisemwa kwa nani na ana tamaduni zipi. Km matusi hapa utakimbia kwa sababu dini yako haina hata haja ya kutukanwa kwani yenyewe tu ni kichekesho ukianzia na hicho cha kuingia chooni kwa kutanguliza mguu fulani-
Mungu aliweka utaratibu wa kumwabudu amabo si huo wa kuchinja ngo'mbe nk. Anasema hizo ni njia zao tu za kujifurahisha na nafsi zao. yeye amechagua njia zake za watu kumwabudu.... Umeelewa we kilaza wa maandiko?
Kilaza ni mimi au wewe unayechinja kondoo na mbuzi siku ya Iddi?
 
Kama mtu kaamua kufata mambo ya walawi 11 ajue si kitimoto tu iliyokatazwa pia na bata, ngamia, sungura, prawns,kambare, tasi n.k kwa hiyo suala la kushikia bango kitimoto tu ni unafiki

Kwani wewe hii thread umekuta wamebandika picha ya Ngamia, Sungura ama Kambare? kuweni waelewa ninyi!!!! Tunajadili NGURUWE kama mada inavyosema. Halafu msijidai kulegeza kamba baada ya kuona mmebanwa. Mtoa mada ameileta kwa madoido na matusi kwa waislamu na wasiokula nguruwe kwamba wanaokula wanakuwa na akili kushinda wasiokula. sasa mmeona tumewabana mnajifanya kuongeza mada.... Mwambie mtoa mada aifute au aseme wanyama wote haramu ni watamu na wanasababisha mtu kuwa na akili akila nyama zake!!!! Mmezidi sana kuchokoza waislamu. kama una mada ya Sungura au ngamia ilete lakini kwa sasa tunajadili nguruwe ndo ameonekana ni mtamu pia anasababisha watu wamlao kuwa na akili sana!!!!! Acheni kukimbia hoja!!!!! Mmejitahidi kuhalalisha maandiko lakini imeshindikana mnarukia kwenye sungura nguruwe pweza etc, kwani tulibandika picha ya ngamia humu kwenye hii thread? Si mmebandika ma picha ya nyama ya nguruwe kwenye masahani makubwamakubwa? Tena na nguruwe mmoja amewekwa kwenye oven kama bado alivyo utafikiri amelala? Sasa mambo ya Sungura yanakujaje hapa? Tujadili nguruwe!!!!!!
 
Matusi ya nini sasa. Mimi nilikuwa nakuonesha kuwa yakupasa kuelewa kwanza maneno unayosoma kwenye Biblia yalisemwa kwa nani na ana tamaduni zipi. Km matusi hapa utakimbia kwa sababu dini yako haina hata haja ya kutukanwa kwani yenyewe tu ni kichekesho ukianzia na hicho cha kuingia chooni kwa kutanguliza mguu fulani-

Kilaza ni mimi au wewe unayechinja kondoo na mbuzi siku ya Iddi?

Bora siku ya Idd kuna mnyama nachinja kwa mujibu wa maandiko (including biblia) wewe siku ya krismas huo mti wa mnaonunuaga siku hiyo ni andiko gani linasema mnunue? Na siku ya pasaka nani aliwaambia kuna kitu kinaitwa msalaba siku hiyo? mnaabudu masanamu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom