Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Ukila nyama ya nguruwe (KITIMOTO) inakufanya uwe na akili zaidi

Status
Not open for further replies.
Nilimaaninisha hawali Kulingana na maadili ya dini yao ya kiyahudi (Judaism) kwa sababu hypothesis ilikuwa sehemu yenye walaji wengi wa ngurue ndio yenye watu wenye akili. Nami nilijiunga kujaribu kuchaigia hii ishu ya kutest hypotheasis bila hard data

Kama hujui kitu ni bora ufanya utafiti kwanza kabla kupost unashindwa hata ku "GOOGLE"
 
Na ndio hoja ilikuwa imelenga hapo. Ila wewe umekosea kidogo tu. wenzio walitaka kutoa takwimu za shule za kiislamu na zile za kikristo. matokeo ingeonekana za kikristo zinafanya vizuri kuliko za waislamu maana hawali nguruwe. Roho zenu zingekuwa kwatuuuuuu!!!! Lakini napenda niseme neno moja. Huwa mnasema waislamu hatuna akili maana hatusomi au huwa hatuna akili kwa sababu ya madrasa. sasa leo mnasema kuwa hatuna akili kwa kuwa hatuli nguruwe..... Sasa nawaomba mtoe neno moja tu kwamba waislamu hatuna akili kwa sababu fulani.... na siyo leo mnasema hili kesho hili mwisho wa siku mtaonekana ninyi ndo hamna akili maana hamsemi kitu chenye msimamo. ni propaganda zisizo na msingi. tangazeni katika vyombo vya habari kwamba waislamu hatuna akili kwa sababu hatuli nguruwe ama kwa sababu ya madrasa au sababu fulani. muwe na msimamo mmoja. Hivi watafiti gani huwa wanakuja na conclusions tofauti kwa the same research????

Juha WEWE!

Ukiambiwa Maharage yana protini hiyo haimaanishi mayai hayana. Ujinga wako una sababu nyingi. Hii ni moja wapo.

Kama kusema hili leo na kesho ukasema lile ni ujinga, basi hapo unapigia mstari ujinga wenu. Kuna wakati mnasema Ponda ni kiongozi wa Waislam anatetea dini. Ikifika kwenye madhambi yake watu wakasema Uislamu ni fujo, mnabadilika, oooh wale waliofanya vile ni wahuni tu, uislamu haufundishi vile
 
Ahaa! Sasa nimekuelewa, wewe sio kilaza ila kilaza ni yule imamu aliyekuwa anahubiri kuwa ukimtolea maskini sadaka basi unamtolea allah. Na nijuavyo mimi, kondoo yule wa kafara lenu akishachinjwa 1/3 kwa familia, 1/3 kwa marafiki na iliyobaki kwa maskini.

Basi tangu leo nimeelewa kuwa SADAKA si ile ya kuwatolea maskini. Natamani maduka ya Ubani, mayai viza, nazi mbovu, udi, marash muje, ubani maiti, sanda, macho ya bundi na kaniki yangeuza pia kitimoto

Wewe mbumbumbu kweli.... sasa badala ya kuhitimisha kwa kutumia dini yako ya kula nguruwe unahitimisha kwa dini ya wenye majini? Malizia kwa dini yako kwa sababu andiko hilo sikulitoa katika korani nimelitoa kwenye biblia. Ulichotakiwa kujua kitabu chetu cha majini kama kimeruhusu kutoa sadaka ama la... Unapoingilia maandiko ya wengine walioruhusiwa kuchinja kisha unakubaliana nao wakati dini yako imekataza unakuwa unapotoka. Sisi tumeruhusiwa kutoa sadaka ya kuchinja biblia imekataza sasa unapotuunga mkono sisi nani anaonekana mjinga? Ukiunga mkono watu wajinga (ujinga uliosababishwa na kutokula nyama ya nguruwe) nawe unakuwa mjinga (japokuwa unakula nyama ya nguruwe).
 
Juha WEWE!

Ukiambiwa Maharage yana protini hiyo haimaanishi mayai hayana. Ujinga wako una sababu nyingi. Hii ni moja wapo.

Kama kusema hili leo na kesho ukasema lile ni ujinga, basi hapo unapigia mstari ujinga wenu. Kuna wakati mnasema Ponda ni kiongozi wa Waislam anatetea dini. Ikifika kwenye madhambi yake watu wakasema Uislamu ni fujo, mnabadilika, oooh wale waliofanya vile ni wahuni tu, uislamu haufundishi vile

Kwani ponda naye ana akili??? Hana bwana tusimjadili...... Atakuwaje na akili wakati hali nyama ya nguruwe?
 
pusi kasoro manyoya wewe! sasa ukichinja baba au mwanao hujui kuwa utakuwa umeua na utakuwa umekiuka amri ya tano!acha kuwa na akili kama kima, biblia inasomwa kwa akili na si kimbumbumbu kama mnavyokaririshwa juzuu halafu mnashindanishwa nani kakariri zaidi! kwa taarifa yako biblia ni neno halisi na kweli na jinsi ulivyosoma siku za nyuma ukisoma leo unapata concept zinazoendana na present time sio sawa na lile neno lenu mfu lililofariki toka enzi zileee haliendi na wakati na hata mungu wake hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu tu! huyo hawezi kuwa Mungu aliyeumba ulimwengu wote, mataifa, lugha na makabila yote na hivyo anapaswa kujua lugha na makabila yote! angalia sasa mungu wa qur'an yeye anajua kiarabu tu, ole wako uswali kwa lugha nyingine ujue imekula kwako hatakuelewa! huyo mnaemuabudu ni mungu wa kienyeji wa waarabu kama ambavyo mababu zetu walivokuwa wanaabudu miungu yao ya kienyeji mapangoni, milimani, chini miti mikubwa n.k

Kumbe!!!! Sikujua kama Mungu wenu aliweka amri (wamba usiue nk). Kwa hiyo yule Mungu aliyekataza kula nyama ya Nguruwe ni tofauti na yule aliyekataza kuua?????
 
hii ni katika mazungumzo na msomi mmoja na alinitolea mfano wa nchi zinazokula sana kitimoto kama Ujerumani , China na nchi nyingi za Ulaya jinsi watu wake walivyo na upeo mkubwa wa akili na kufikiri. Na akanipa mfano wa nchi zisizokula nyama hiyo zilivyo na matatizo ya akili na upeo.
kupe mimi nimekuweka kwenye kundi la wachochezi na wanaohatarisha amani ya nchi
 
Last edited by a moderator:
Nimeamini wewe ni kafiri tu!Kumbe hata furqan huisomi eeh!Kasome Q5:82! Au unataka pia sababu nuzul ya hiyo ayat, na muamad kaifundishaje, pia imeshuka wapi? Sema tu dogo mantahofu! Mie Mwana wa Mungu nitakufunulia!

Kasome vizuri mimi "furqan siijui". Wala hicho kitabu sikijui. au ndo quran? Maana kwa kubeza dini za wengine hamjambo. Mnakojolea quran mtashindwa kuuita qurani kuwa ni mavi? Fafanua Furqan ndo qorani?
 
Kitu cha RUDY's FARM BAHARI BEACH kinanogaje?

Kaka wewe utakuwa ni mmoja ya member ninaokutanaga kule maana mie ni mfuasi mzuri sana wa mitaa ile. Kitu cha sausages na ile ya kuchoma.
 
Ahaa! Sasa nimekuelewa, wewe sio kilaza ila kilaza ni yule imamu aliyekuwa anahubiri kuwa ukimtolea maskini sadaka basi unamtolea allah. Na nijuavyo mimi, kondoo yule wa kafara lenu akishachinjwa 1/3 kwa familia, 1/3 kwa marafiki na iliyobaki kwa maskini.

Basi tangu leo nimeelewa kuwa SADAKA si ile ya kuwatolea maskini. Natamani maduka ya Ubani, mayai viza, nazi mbovu, udi, marash muje, ubani maiti, sanda, macho ya bundi na kaniki yangeuza pia kitimoto

Umeharibu mada katika uzi. Lengo la uzi huu ilikuwa ni kuthibitisha kuwa wasiokula (waislamu) nguruwe hawana akili kuliko wanaokula (wakristo). Sasa wewe umekubali kueleweshwa na mtu asiyekula nyama ya nguruwe? Unanipa ujiko? wenzio wameweka hii thread mpaka mwisho inatakaiwa ionekane waislamu hawana akili na wala hawana uwezo wa kumfundisha mkristo. Sasa hata kama umenikubali kwamba mimi ni mkali kwakunibeza, utakuwa umechafua mada!!!! Wenzio wakimdhalilisha mwislamu roho zao huwa kwaaaaa. Na ndiyo maana mwislamu hawezi kupata haki katika nchi hii mpaka wakristo waridhie.
 
dah ya ukweli hii msosi, kwakweli amabao hawali wanakosa raha duniani
 
astaghafulilah!!! unawachokoza eeeeeee?? mie nimechoshwa na maandamano yao! jana hubby wangu kaniletea yule mtekeee, mchanga, mtamujeeeeeeeeeee!! na hivi nilikuwa nimeimiss nilijiramba mwanzo mwisho!

mbona tunajazana mate mdomoni na kutenguana udhuu mtatufanya tuharibu bajeti wakati hatujapangilia kulamba... shwain.. na shida yake ukimla huyo lazima ushushie na ile kitu bariiiidiiiiiiiiiiiiii
 
Mtoa mada kwa taarifa yako kwa mujibu wa survey iliyofanyika dsm ninkuwa wakati wa mfungo wa ramadhani mauzo ya kiti moto hushuka

Kwa hiyo ni dhahiri kwamba ujanja walionao waislam dar unatokana na kitimoto!!
 
Juha ni mtu yeyote asiyeelewa maandiko. Isaya 66(1) mpaka 66(4) Mungu hapendi sadaka zetu kwa ajili yake!!! Ndo maana anasema mtu akichinja ng'ombe kama sadaka yakumtolea Mungu ni machukizo!!! Huelewi nini hapo wewe kilaza namba 100 duniani? Katika aya hiyo (kwa kuwa wewe ni kilaza) nakuelwesha kwamba kuchinja ng'ombe kwa ajili nyingine hakukukatazwa ILA ukichinja ng'ombe kwa ajili ya sadaka ndo machukizo na si kile kitendo cha kuchinja!!! Mmezoea kusomewa maandiko na askofu wapi na wapi utaelewa wewe? kwanza huna roho mtakatifu maana unakula nguruwe na nguruwe ni najsi. mtu mwenye najisi hawezi kuwa na roho mtakatifu which means hawezi kuwa mtakatifu!!! Na ndo maana Yesu hakula nguruwe alikula SAMAKI!!!!!!

Kaka unang'ang'ania Yesu hakula nguruwe sawa tufanye hakula coz Yesu alikuwa myahudi na wayahudi kwa kufuata sheria za Musa na agano la kale kwa ujumla wake au ile aya ya Kitabu cha Mambo ya Walawi hawakuruhusiwa kula nguruwe lakin kwa upande mwingine hata kama Yesu alikula Nguruwe we ulitaka iandikwe kwenye Injili kwamba Yesu akatoka Nazareti akafika Kapernaumu akala Nguruwe na wafuasi wake!!? Ndio unavyotaka?
kama ulikua hujui ndio ujue kwamba kama kila k2 alchofanya Yesu Kristu kingeandikwa basi Dunia ingejaa Vitabu vya maisha ya Yesu, kilichoandikwa kuhusu maisha ya Yesu ni yale tu yenye Spiritual significance kwa sisi wafuasi wake na cyo kuandika Ratiba ya Yesu ya kila siku kuanzia kulala kula na kuamka, kuoga na kwenda haja!
Na unavyong'ang'ania eti ooh Yesu alikula Mkate na Samaki tu nazid kutilia shaka upeo wako maana sawa kwenye Injili incidence za Yesu Kula zimetajwa mara 3 na kati ya hizo mbili ni za Mkate na Samaki kwa maana hiyo Yesu huyu alikula mara 3 tu katika maisha yake? Je unajuaje hyo milo mingine ambayo haikutajwa kama alikula Nguruwe au hakula? Nonsense!....kjana una UKIMWI (Ukosefu Wa KITIMOTO mwilini) unahitaji kilo kadhaa upanue upeo wako wa Mawazo.
Me nimesoma comment zako za nyuma nyngi tu, hujui chochote kuhusu Paulo mtume na kuenea kwa Ukristo karne ya 1 AD hebu go bak 2 school usi rely sana na unayockia kwenye mihadhara! Kama unataka battle ya Historia kuhusu hyo dini yenu na ukristo I ll be glad tu battle chochote hapa JF kwa manufaa ya Waislam wenzio na wkristo wenzangu, watu tuna elimu zetu both ya dini na hii elimu dunia hatubabaishwi na kashfa za mihadhra ya hao wasioujua ukristo, kuhusu mada ya Nguruwe cc hatubanwi na Agano la kale ambalo lilikuwa agano maalum kati ya Mungu na Wayahudi bali agano la Jipya na ni Mungu huyu huyu wa wayahudi alieweka agano la kale ndiye aliemuumbua Petro baada ya Petro kusema tangu azaliwe hajawahi kula kitu najisi na Mungu akamwambia hakuna kilicho najisi kati ya alivyoviumba yeye including Nguruwe of coz labda kama nguruwe aliumbwa na shetani, ukiniuliza kwanini Mungu alitengua mambo ya walawi nitakuuliza Je Talaka ni option ya Mungu tangu mwanzo? Utasema ndio kwa ujuha wako coz ipo kwny quran ambayo inaiclude pia sheria za Musa, Mungu aliweka talaka baada ya Ugumu wa mioyo ya wanadamu lakini hakukusudia iwepo rejea maneno ya Mungu kwenye story ya Uumbaji wa mwanaume na mwanamke! Sasa kama Mungu kumbe anabadilishaga agano sasa ugumu wa Kuelewa kwanini sisi tunakula Nguruwe wakati imekatazwa kwenye Mambo ya Walawi unatoka wapi!?
Think Big Kaka acha kumezameza, Kula KITIMOTO ufaulu maisha kama waseminari!
 
kitimoto.jpg

Kitu ya "mvurundo" hiyo ukiipatia na dona safi sana!
 
Kumbe!!!! Sikujua kama Mungu wenu aliweka amri (wamba usiue nk). Kwa hiyo yule Mungu aliyekataza kula nyama ya Nguruwe ni tofauti na yule aliyekataza kuua?????

Pole sana! wewe ulifikiri JEHOVAH ni sawa na yule allah aliyewaruhusu kuua na kujiua(kujitoa mhanga) halafu anakuahidi utapata mabikra 72 kule ahera! what a ridiculous doctrine!! one need to be an insane to believe this trash!
 
The Leviticus 11 says 4*"'There are some that only chew the cud or only have a divided hoof, but you must not eat them. The camel, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is ceremonially unclean for you. 5*The hyrax, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is unclean for you. 6*The rabbit, though it chews the cud, does not have a divided hoof; it is unclean for youSent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Nani kwa mujibu wa maandiko hayo kaambiwa na MMungu ASILE NGURUWE?Sio unakurupuka na kubandika tu."
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom