Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 654
Huo ndo umbumbumbu wa waktisto!!!! Hawana uwezo wa kufikiri....Mungu alipoumba dunia aliweka utaratibu wa jinsi ya kuishi. Tatizo wakristo hawataki kufuata taratibu.... Wanarahisisha maisha kana kwamba dunia hii waliiumba wao. Mungu wa kweli ni yule anayeweka utaratibu wa namna ya kuishi. Sasa ona wewe ulivyorahisisha maisha eti kiingiacho si haramu bali kimtokacho... Huo ni ujinga milioni moja!!!! Kwa tafsiri ya andiko hilo ina maana hata ukimchinja baba yako mzazi unaweza ukamla na ikaonekana poa tu???? Hivi ninyi watu mna akili kweli??? Muwe mnakaa siku moja moja mnafikiri kwa undani. acheni uvivu wa kusali sala nyepesi nyepesi wakati Mungu ameweka sala ngumu na zinazoeleweka utaratibu wake. ninyi ni wavivu na aliyewapotosha ni Paulo!!!! Poleni sana.....
Basi mchinje mwano utualike tuje kula nyama yake kama kweli wewe una akili!!!!!!
pusi kasoro manyoya wewe! sasa ukichinja baba au mwanao hujui kuwa utakuwa umeua na utakuwa umekiuka amri ya tano!acha kuwa na akili kama kima, biblia inasomwa kwa akili na si kimbumbumbu kama mnavyokaririshwa juzuu halafu mnashindanishwa nani kakariri zaidi! kwa taarifa yako biblia ni neno halisi na kweli na jinsi ulivyosoma siku za nyuma ukisoma leo unapata concept zinazoendana na present time sio sawa na lile neno lenu mfu lililofariki toka enzi zileee haliendi na wakati na hata mungu wake hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu tu! huyo hawezi kuwa Mungu aliyeumba ulimwengu wote, mataifa, lugha na makabila yote na hivyo anapaswa kujua lugha na makabila yote! angalia sasa mungu wa qur'an yeye anajua kiarabu tu, ole wako uswali kwa lugha nyingine ujue imekula kwako hatakuelewa! huyo mnaemuabudu ni mungu wa kienyeji wa waarabu kama ambavyo mababu zetu walivokuwa wanaabudu miungu yao ya kienyeji mapangoni, milimani, chini miti mikubwa n.k