ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Kwamba ashindwe hata kutikisa mkono mmoja na mabega?Enzi hizo tulikuwa tunateswa na zile kwaito. Watu wana steps amazing hadi kukariri shida.
Ila sasa amapiano itamshinda nani? Labda Saint Anne
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Inabidi uombewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ah wapi tutakucare balaa, taratibu unakunywa wala hatukupush.
Itakuwa kwnye saa 8 na dakika zakeMi saa 7 ikishanikuta basi tena
Amapiano aijaanza hata sielewi wanaimba nini[emoji28]
Atanishangaza sana.Si ajabu hajui [emoji23][emoji23]
Naam. Sasa zinashuka kama maji.
Tafuta something stronger hizo ushagraduate
Muulize anaenda chooni mara ngapi kwa saa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hatari sana.
Hivi tumbo halijai?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Hatari sana.
Hivi tumbo halijai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba ashindwe hata kutikisa mkono mmoja na mabega?
Sijui hata iko upande gani[emoji38]Sio mbaya Sana. Maisha bado yapo, na Dodoma ipo [emoji23] na kama sio Dom bado kuna mikoa mingine.
Usijeniambia hata chief asili hupajui
Siku hizi jiji limehamia bambalaga. Watapachoka tu[emoji23][emoji23]Atanishangaza sana.
[emoji38][emoji38][emoji38]Mi saa 7 ikishanikuta basi tena
Amapiano aijaanza hata sielewi wanaimba nini[emoji28]
Itakuwa kwnye saa 8 na dakika zake
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Enzi hizo tulikuwa tunateswa na zile kwaito. Watu wana steps amazing hadi kukariri shida.
Ila sasa amapiano itamshinda nani? Labda Saint Anne
Hapo magoli... piga vyombo[emoji6]Nahamia Jameson mkion kimya mjue tayari
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Si ajabu hajui [emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Muulize anaenda chooni mara ngapi kwa saa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bia siwezi kunywa aisee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Natafuta popcorn nacheua tu
Basi kichwa tu unakichezesha kwa kunyoosha na kufupisha shingo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku unageuka kushoto then kulia taratiiibuEti na mkishalewa wote hamna judge[emoji23][emoji23]