Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Acheni masikhara 🤣🤣 kuna watu bia za TZ tunalewa chapTuseme ukweli hii beer haileweshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni masikhara 🤣🤣 kuna watu bia za TZ tunalewa chapTuseme ukweli hii beer haileweshi
Afu inakuwaje? Nilishawahi kusikia ila kuthibitisha bado.Tunachanganyaga na bangi boo
Afu inakuwaje? Nilishawahi kusikia ila kuthibitisha bado.
Kawaida tu.... Karibu chamani mpendwa 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kawaida tu.... Karibu chamani mpendwa [emoji23]
Nikinywa naendesha kistaarabu sana hasa kama nimepakia watu. Nakuwa model driver [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari sana.
Niliogopa nikawaza hapa huyu anaenda kutumwaga[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Hii hapa. Nahisi ushawahi kuiona selfika [emoji23] View attachment 1874708
Ni moshi tu unakuwa na flavor, unavuta mdomoni then unautoa nje kupitia mdomoni au puani. Sio sigara wala bangi hii
Ina'vibe lakee [emoji41]
Nikinywa naendesha kistaarabu sana hasa kama nimepakia watu. Nakuwa model driver [emoji23][emoji23][emoji23]
Ulienda mwendo mzuri.Nikinywa naendesha kistaarabu sana hasa kama nimepakia watu. Nakuwa model driver [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nimepanda honda ya mlevi sijui hata tumefikaje hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa ukiwa umelewa kwenye level kama hizi halafu dj apige "hakuna Mungu kama wewe" au "I know who I am"
Unaufeel kabisa ukuu wa Mungu Baba Bwana na mwokozi wako katika maisha yako "jioni hii ya leo" (in wahubiri's voice)
View attachment 1874694
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanywaji wanamtukuza Mungu kutoka moyoni hawana unafiki kabisa!! Wala hawana baya na mtu
Zinaitwa kudra za AllahNimepanda honda ya mlevi sijui hata tumefikaje hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jizazi [emoji44][emoji44][emoji44][emoji134][emoji134]Nahesabu kama ya 17 hivi
Close... ni malaika ya dodoma, enzi hizo inawaka.Haha upako unawashukia wana wa Israel...
Hapo ni wapi? Napaona kama club 7 ya Dodoma
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha upako unawashukia wana wa Israel...
Hapo ni wapi? Napaona kama club 7 ya Dodoma
Huwa hatuhesabu. Usitupanikishe.Jizazi [emoji44][emoji44][emoji44][emoji134][emoji134]
Zote hizo??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa hatuhesabu. Usitupanikishe.
[emoji6][emoji2956][emoji2956]