Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
We naweenaombeni tujikite kwenye mada husika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We naweenaombeni tujikite kwenye mada husika.
AiseeZiko pombe ni nzuri unaweza ukanywa ama ukachanganyiwa kwenye juice ama mocktails na usijue kama umewekewa pombe.
Mfano kuna vermouth (martin bianco ama martin rosso)hizi ni sweet and sour, na hazina kale kaukali ka u spirit, ukionja utataka uongeze tena na tena na tena mwisho utalewa kabisa.
Mnanitajia nyingi hadi nachanganyikiwa[emoji1787].
Ila zikilewa zinafvck with a passion ambayo haielezeki... mtu anaifurahia dyudyu mpaka unamuonea wivu... plus unaogopa ukimkatiza starehe yake anaweza kukupiga ngumi.Duuuuhhhh
Hapo kwenye kutapika sasa...sooo unladylike...
Nimeelewa sana hapa 🤣🤣🤣🤣🤣 nina rafiki angu anaipuliza hatari. Moshi anautoa kwa poses mbali mbali hadi rahasheesha
Kumbe pombe ina addiction eeh!Haina shida
kama huna interest wala usijilazimishe kabisaa...
Js do drinks u enjoy the most...
or cocktails wanazomix liquor kiasi kwa mbali so u get sweet n sour flavours at once..
Sema tu ukishaanza muwa mnywaji unapata kiu ya pombe yako flani...its nice to unwind every now and then...
Cocktail achana nazo. Nyingi ni chunguMnanitajia nyingi hadi nachanganyikiwa[emoji1787].
Si ajabu sitajaribu hata moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!!!! Pamejaa balaa na hapo kapatanua.
nimefika....[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mbona sioni viuno au nimelewa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Na ukinikuta bar kwenye match za simba navyokunywa alvaro hutoamini. 😂mkuuu wangu umechambua sana vileo.....unaonekana ww ni mkemia mmoja hatari sana......[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kila pombe naona umeidadavua kwa marefu na mapana
itoshe kusema ukoo deep
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kumbe castle ni ya hapahapa nyumbani.Local ni made in Tz ' serengeti lite, castle, Kilimanjaro, nk
Imported za nje. Mfano Smirnoff, desperados nk
Tumpe ukatibu wenezi akishirikiana na Jack[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuuu wangu umechambua sana vileo.....unaonekana ww ni mkemia mmoja hatari sana......[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]kila pombe naona umeidadavua kwa marefu na mapana
itoshe kusema ukoo deep
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jiunge tu kuongea na Saint Anne
Vinginevyo hio mada husika endelea nayo[emoji1787][emoji28][emoji2096][emoji2096][emoji2096]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuna jambo letu mkuu tusamehe...lazma aje kutoa na yeye experience yake
[emoji1787][emoji1787]Hii tabia niliifanya nilikuwa kwenye kipart mtaani. Nikaanza kuchana karatasi kuna kaka akaniambia unajua maana yake? Nikamwambia sijui, niambie....
Akasema ukichana hivyo mbele ya mzungu au watu wanaoelewa watajua unamanisha 'you want someone for jigijigi ... Sikumbishia maana jamaa ni tour guide. Sasa sijui ni kweli au fix tu
Hapa sijaelewa mimi tu.Nimeelewa sana hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nina rafiki angu anaipuliza hatari. Moshi anautoa kwa poses mbali mbali hadi raha
Heineken ni njeKumbe castle ni ya hapahapa nyumbani.
Na ile mnaitajataja sana heinken sijui inatoka nje ama ni ya hapahapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
OhooCocktail achana nazo. Nyingi ni chungu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani nimejibana mahali