Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Aiseee.Heineken ni nje
Mzigo wa Amsterdam huo pamoja na desperados.
Wewe basi unazijua.
Hadi zinapotokea[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee.Heineken ni nje
Mzigo wa Amsterdam huo pamoja na desperados.
Sasa ukiwa umelewa kwenye level kama hizi halafu dj apige "hakuna Mungu kama wewe" au "I know who I am"naona uzi umegeuka kuwa wa Saint Anne ,naomba mfungue uzi mwngne wa kumwelezea,leteni visa tu hapa tusonge mbele.
mimi kiukweli nikilewa naona kama bar nimejenga mim n wahudum nimewaajir mim.nawapelekesha mno
nikilewa namtindo wa kuongea kama nalalamika ivi [emoji3][emoji3][emoji3]
nikilewa nakuwa nachezesha ufunguo wa wa kufuli la getho (solex) nikijifanya nna gari.
nikilewa kichwa chini mda wote kina hamu
nikilewa alafu nikapigiwa simu napokea alafu naigiza kama mtu ambaye hajalewa.matokeo yake naulizwa vipi siku hizi unaimba kwaya??
nikianza kunywa nakuwa mstaraabu ila ukiona pombe imekolea nimeanza kuchana chana yale makaratas kwenye bia baas lolote linaweza kutokea.
nikilewa huwa naamini kesho ntapata mkwanja mrefu sana [emoji3][emoji3][emoji3]
nikilewa huwa naona wengine kama wana shida nying sana na mkomboz wao ni mimi
nikilewa kiwango cha kuchakata papuchi kinaongezeka na mara nyingi stoi wazungu
nikilewa hata nivae condom 3 mkuyenge haulali kabsa yan.
la mwisho nikilewa huwa najisemea kimoyo miyo leo ndo mwisho wangu wa kulewa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Saint Anne unataka kulewa?
Lewa mama
Hapa nasikia music kama mwangi Yaani sipo duniani lakini siachi kunywa beeeer
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila nahisi kuna raha yake kuwa katika hiyo hali.
Ila wewe utakuwa haujalewa,
Mbona unachat tu vizuri[emoji848],
Kumbe ukilewa akili inabaki vilevile tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unakua unalia kwanini mkuu? Kuna kitu unakua unakumbuka ama?😂 hizi pombe hazina adabu handsome mzima unaanza kupiga mayowe woii😂Mimi hua naanza kulia nikigida sana hasa nikipiga za kawaida then uniongezee k vant ntalia weee kama mtoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ukiwa umelewa kwenye level kama hizi halafu dj apige "hakuna Mungu kama wewe" au "I know who I am"
Unaufeel kabisa ukuu wa Mungu Baba Bwana na mwokozi wako katika maisha yako "jioni hii ya leo" (in wahubiri's voice)
View attachment 1874694
[emoji38] aiseeePombe hata ninywe mpaka asubuhi siwezi poteza akili
Walah najiona mimi[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ukiwa umelewa kwenye level kama hizi halafu dj apige "hakuna Mungu kama wewe" au "I know who I am"
Unaufeel kabisa ukuu wa Mungu Baba Bwana na mwokozi wako katika maisha yako "jioni hii ya leo" (in wahubiri's voice)
View attachment 1874694
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila nahisi kuna raha yake kuwa katika hiyo hali.
Ila wewe utakuwa haujalewa,
Mbona unachat tu vizuri[emoji848],
Kumbe ukilewa akili inabaki vilevile tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuseme ukweli hii beer haileweshiView attachment 1874696
Vibia kama hivi vinalewesh kiasi
Duh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1874696
Vibia kama hivi vinalewesh kiasi
[emoji38][emoji38][emoji38]Walah najiona mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Unapokula monde inategemea na mood ya mziki, ikipigwa gospel feeling zinaenda mbinguni kabisa.
Tuseme ukweli hii beer haileweshi
Yani unamshukuru Mungu kwa vingi ndaniya wakati huo... kakujaalia uwezo wa kununua na afya njema kias cha kuweza kunywa uufaidi uumbaji wake. Lazma feeling ziende mbinguni tuWalah najiona mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Unapokula monde inategemea na mood ya mziki, ikipigwa gospel feeling zinaenda mbinguni kabisa.
Wanywaji wanamtukuza Mungu kutoka moyoni hawana unafiki kabisa!! Wala hawana baya na mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseeee.
Kuna clip niliona, ilikuwa ni show za kilimanjaro zile au fiesta.
Wakaweka huo wimbo" hakuna MUNGU"
Wacha walevi waruke[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa. Nahisi ushawahi kuiona selfika 😂
Wanywaji wanamtukuza Mungu kutoka moyoni hawana unafiki kabisa!! Wala hawana baya na mtu
Hii hapa. Nahisi ushawahi kuiona selfika [emoji23] View attachment 1874708
Ni moshi tu unakuwa na flavor, unavuta mdomoni then unautoa nje kupitia mdomoni au puani. Sio sigara wala bangi hii
Ina'vibe lakee [emoji41]
Aaaah unafaa kwa matumizi ya weekend [emoji16][emoji16]Nahesabu kama ya 17 hivi