Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

naona uzi umegeuka kuwa wa Saint Anne ,naomba mfungue uzi mwngne wa kumwelezea,leteni visa tu hapa tusonge mbele.


mimi kiukweli nikilewa naona kama bar nimejenga mim n wahudum nimewaajir mim.nawapelekesha mno

nikilewa namtindo wa kuongea kama nalalamika ivi [emoji3][emoji3][emoji3]

nikilewa nakuwa nachezesha ufunguo wa wa kufuli la getho (solex) nikijifanya nna gari.

nikilewa kichwa chini mda wote kina hamu

nikilewa alafu nikapigiwa simu napokea alafu naigiza kama mtu ambaye hajalewa.matokeo yake naulizwa vipi siku hizi unaimba kwaya??

nikianza kunywa nakuwa mstaraabu ila ukiona pombe imekolea nimeanza kuchana chana yale makaratas kwenye bia baas lolote linaweza kutokea.


nikilewa huwa naamini kesho ntapata mkwanja mrefu sana [emoji3][emoji3][emoji3]

nikilewa huwa naona wengine kama wana shida nying sana na mkomboz wao ni mimi


nikilewa kiwango cha kuchakata papuchi kinaongezeka na mara nyingi stoi wazungu

nikilewa hata nivae condom 3 mkuyenge haulali kabsa yan.

la mwisho nikilewa huwa najisemea kimoyo miyo leo ndo mwisho wangu wa kulewa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa ukiwa umelewa kwenye level kama hizi halafu dj apige "hakuna Mungu kama wewe" au "I know who I am"

Unaufeel kabisa ukuu wa Mungu Baba Bwana na mwokozi wako katika maisha yako "jioni hii ya leo" (in wahubiri's voice)

 
Saint Anne unataka kulewa?

Lewa mama

Hapa nasikia music kama mwangi Yaani sipo duniani lakini siachi kunywa beeeer
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila nahisi kuna raha yake kuwa katika hiyo hali.

Ila wewe utakuwa haujalewa,
Mbona unachat tu vizuri[emoji848],
Kumbe ukilewa akili inabaki vilevile tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ukiwa umelewa kwenye level kama hizi halafu dj apige "hakuna Mungu kama wewe" au "I know who I am"

Unaufeel kabisa ukuu wa Mungu Baba Bwana na mwokozi wako katika maisha yako "jioni hii ya leo" (in wahubiri's voice)

View attachment 1874694
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aiseeee.

Kuna clip niliona, ilikuwa ni show za kilimanjaro zile au fiesta.
Wakaweka huo wimbo" hakuna MUNGU"
Wacha walevi waruke[emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ukiwa umelewa kwenye level kama hizi halafu dj apige "hakuna Mungu kama wewe" au "I know who I am"

Unaufeel kabisa ukuu wa Mungu Baba Bwana na mwokozi wako katika maisha yako "jioni hii ya leo" (in wahubiri's voice)

View attachment 1874694
Walah najiona mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Unapokula monde inategemea na mood ya mziki, ikipigwa gospel feeling zinaenda mbinguni kabisa.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila nahisi kuna raha yake kuwa katika hiyo hali.

Ila wewe utakuwa haujalewa,
Mbona unachat tu vizuri[emoji848],
Kumbe ukilewa akili inabaki vilevile tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

image-2021-07-31-01:02:34-165.jpg

Vibia kama hivi vinalewesh kiasi
 
Walah najiona mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Unapokula monde inategemea na mood ya mziki, ikipigwa gospel feeling zinaenda mbinguni kabisa.
Yani unamshukuru Mungu kwa vingi ndaniya wakati huo... kakujaalia uwezo wa kununua na afya njema kias cha kuweza kunywa uufaidi uumbaji wake. Lazma feeling ziende mbinguni tu
 
Back
Top Bottom