Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeee

Nyie siyo wanywaji tu[emoji119][emoji119][emoji119]mnaelekea kwenye ulevi.

Siku nikikaa na nyie si nitazimia[emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Ah wapi tutakucare balaa, taratibu unakunywa wala hatukupush.
 
Malaika sikuwahi ipenda. Ilikuwa inajaza sana.. Nilikuwa napita tu ila naishia chini, kule juu/ VIP sikuwahi kanyaga.

Kwangu palikuwa Rainbow na Platinumz
We utakuwa mpenzi wa kunywa na muziki but sio kudance.
 
Back
Top Bottom