ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Haoni team ya waliokuwa wanamwambia asijaribu washasepa... ila sisi tuko naye bega kw bega hatutaki kumpoteza [emoji23][emoji23]Usidhani ni rahisi hivyo kujaza nzi kwenye meza yenye bia. Nakwambia hutoboi
Nina huyu sis wangu
Ijumaa kaninyweshaaaa, jumamosi nikaamka hoi. Jumamosi jioni call nyingine njoo sehemu flani nimeenda nikaleta uzungu wa kuagiza Kilimanjaro water.
Maji nikanywa na bia nikanywa vile vile. Dhamira niliyotoka nayo home ikavurugika.
Sasa nakwambia usikae meza moja na walevi kama we sio mtumiaji. Wako na convincing power Mona matata
Hizo ni take away[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja ipo siku nitajilipua nitajaribu.
Ila sijui naemdaje Bar kununua,msala mwingine [emoji1751]
Hivi zile chupa za wine zinaruhusiwa kuondoka nazo??au ni kama za soda ambazo lazima kurudisha[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaMagoli sana. Take care.
OhWine unabeba.
Au nunulia supermarket, tena huko bei ni chee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watarudi keshoHaoni team ya waliokuwa wanamwambia asijaribu washasepa... ila sisi tuko naye bega kw bega hatutaki kumpoteza [emoji23][emoji23]
Yeah, she's good. And so are you. Thanks for tonight.Hahaaa
Amekufurahisha eeh?
Hornet ni noma na nusu.
Sikuachi, nalivalia njuga hili swala. Serikali haiwezi kupoteza mapato kirahisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watarudi kesho
Watakuja kuvuruga kila kitu,upepo wote mlionijaza utapukutika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asome hapa na aelewe 😂Haoni team ya waliokuwa wanamwambia asijaribu washasepa... ila sisi tuko naye bega kw bega hatutaki kumpoteza [emoji23][emoji23]
Afu muda wote huu tulioninvest kwake uende bure, aagize soda? Asitutanie.Asome hapa na aelewe [emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sikuachi, nalivalia njuga hili swala. Serikali haiwezi kupoteza mapato kirahisi
Asome hapa na aelewe [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Afu muda wote huu tulioninvest kwake uende bure, aagize soda? Asitutanie.
Zaidi ya masaa maNne anakula lecture? Akizingua ataikuta Smirnoff kwenye sodaAfu muda wote huu tulioninvest kwake uende bure, aagize soda? Asitutanie.
Thanks too!Yeah, she's good. And so are you. Thanks for tonight.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zaidi ya masaa maNne anakula lecture? Akizingua ataikuta Smirnoff kwenye soda
Ana jambo lakeView attachment 1874772
Shetanii Ako na nguvu jamani
Wewe dada[emoji119][emoji119][emoji119]View attachment 1874772
Shetanii Ako na nguvu jamani