Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Haoni team ya waliokuwa wanamwambia asijaribu washasepa... ila sisi tuko naye bega kw bega hatutaki kumpoteza [emoji23][emoji23]
 
Hizo ni take away
 
Zaidi ya masaa maNne anakula lecture? Akizingua ataikuta Smirnoff kwenye soda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labda nichanganyiwe bila kujua.

Ila kwa akili yangu kabisa sina nguvu ya kuagiza pombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…