Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuacha ukidhamilia japo ni ngumu kama hujaweka dhamiraUsikunywe pombe dear
Wengine tumeanza toka primary school kuacha mpaka Kaburi liamue
Usikunywe pombe dear
Wengine tumeanza toka primary school kuacha mpaka Kaburi liamue
Dah[emoji23]
Mtumishi, mbona umejaribiwa kidogo tu na unawaza kuiacha imani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila aina ya pombe na tabia zake!
Mimi kinywaji changu ni KVANT sio kwamba naipenda sana noo sababu naimudu gharama yake!
Nikilewa kvant huwa natoa siri sana halafu nakuwa mmbea kinoma...
Kama uliniambia ishu ya siri ukanisisitiza nisiiseme!!!...nikinywa kvant nitaitoa tuu halafu hapohapo naanza kujutia...
Najiapia sitakunywa tena kvant!!
Lakini utasema nimeandikiwa fungu langu ni la kvant tuuu.kesho nitainywa.
Bia ni mpenzi wa kili..
Nitakunywa nitalewa vzr nitaongea point taeleweka..
Ila mwisho kvant lazma ihusike..
Imani siwezi kuiacha[emoji25]Mtumishi, mbona umejaribiwa kidogo tu na unawaza kuiacha imani?
Konyagi ya saizi ya kati ndio inasukari kwa mbali kam sprite. Angalizo ni konyagi saizi ya kati sio ile kubwa au ndogo. Nikutakie majaribio memaInabidi niwaulize Sasa wanywaji ni kilevi gani ninachoweza kunywa kitamu kitamu kinachoendana na soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biblia inasema " onjeni muone kuwa Bwana ni mwema"Imani siwezi kuiacha[emoji25]
Ni vile nataka nione tu namna watu wanavyolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahisi utaenda mbali zaidi ya kulewaISO M.CodD [emoji23]
Toa ushauri wako kwangu kuhusu pombe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja msingi wa imani yako ni kutokunywa pombe, ukinywa tayari umevunja sheria ya BwanaImani siwezi kuiacha[emoji25]
Ni vile nataka nione tu namna watu wanavyolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapa unakunywa kvant kwa mapenzi au sababu ya uwezo kiuchumi[emoji28][emoji28]Kila aina ya pombe na tabia zake!
Mimi kinywaji changu ni KVANT sio kwamba naipenda sana noo sababu naimudu gharama yake!
Nikilewa kvant huwa natoa siri sana halafu nakuwa mmbea kinoma...
Kama uliniambia ishu ya siri ukanisisitiza nisiiseme!!!...nikinywa kvant nitaitoa tuu halafu hapohapo naanza kujutia...
Najiapia sitakunywa tena kvant!!
Lakini utasema nimeandikiwa fungu langu ni la kvant tuuu.kesho nitainywa.
Bia ni mpenzi wa kili..
Nitakunywa nitalewa vzr nitaongea point taeleweka..
Ila mwisho kvant lazma ihusike..
Konyagi siwezi kunywa mkuu.Konyagi ya saizi ya kati ndio inasukari kwa mbali kam sprite. Angalizo ni konyagi saizi ya kati sio ile kubwa au ndogo. Nikutakie majaribio mema
Njoo tunywe pombeDah[emoji23]
Eti kaburi liamue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila mimi najaribu tu Mara moja,wala sitaendelea.
Kuna vitu nisije kufa sijavijaribu duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Plz huyo huyo binti ni binti Sayuni mkuuKonyagi ya saizi ya kati ndio inasukari kwa mbali kam sprite. Angalizo ni konyagi saizi ya kati sio ile kubwa au ndogo. Nikutakie majaribio mema
Aisee[emoji134]Biblia inasema " onjeni muone kuwa Bwana ni mwema"
Naye shetani anataka umuonje?
Hakika hutotoka.
Mimi nilishinda ulevi kwa muda mrefu.
Kuna kipindi nikapitia kipindi flani nikaonja...aaah ilikuwa kazi juu ya kazi kuacha
OkInabidi niwaulize Sasa wanywaji ni kilevi gani ninachoweza kunywa kitamu kitamu kinachoendana na soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa natamani kama wewe nikaishia kuiweza kulamba-lamba St. Anna pekee,Inabidi niwaulize Sasa wanywaji ni kilevi gani ninachoweza kunywa kitamu kitamu kinachoendana na soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanuni njema ni usinywe pombe ukiwa na stress au furaha sana[emoji85]
Nina stress sana brother..hadi nawaza kutumia pombe,labda itapunguza machungu yangu na kunipa usingizi.
Kulala usiku imekuwa mtihani sana kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app