Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

ISO M.CodD [emoji23]
Toa ushauri wako kwangu kuhusu pombe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna faida nyingi mno ukiwa mtu wa kujichanganya huoni jamii za kichaga au ukienda chuga watu wanakula bia na wanasaka pesa namaisha yanaenda poa kabisa
 
Ohoo basi sitajaribu.

Halafu kila nikisema hili wazo watu huwa wanajitojeza kunipinga.
Wachache huwa wananiunga mkono.


Nahisi Mungu anatuma watu wanikataze[emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo itakuwa kama fungulia mbwa.
Mimi nilijikuta sio tu nakunywa japo ni wine lkn nilijikuta ni sukari ya warembo hadi niliposhtuka
 
Nilikuwa natamani kama wewe nikaishia kuiweza kulamba-lamba St. Anna pekee,
Ule utamu wake na the way inakufanya ujiskie baada ya kunywa sikujutia, na pia nikaishia hapo.!
Inakuwaje kuwaje eti?

Mimi huwa najiuliza sipati majibu,watu wanalewaje??
Yaani mtu anakunywa tu Yale maji hadi analewa[emoji848]
Huwa najiuliza sana inakuwaje kuwaje[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom