Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kula najitahidi ,japo ni mvivu.Unakula vizuri?
Ukijibu nitakishauri kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kula najitahidi ,japo ni mvivu.Unakula vizuri?
Ukijibu nitakishauri kitu
niko mwenge nakuja hapo chap.....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]utanionaMawasiliano park kuna watoto wanamwaga viuno
Kuja pm
Wanampotosha ili stress zimuueMtumishi, mbona umejaribiwa kidogo tu na unawaza kuiacha imani?
[emoji1787][emoji1787]Ukianza kulewa is chukua video hata ya ticktock
Niandikie mkuu nitaupata ujumbe.Kuja pm
Nilishakaambia katest saint Anna ila hakaelewi. Kila siku kanaendelea kuomba ushauri 😂 sikaelewi, sijui kanataka kusikia kipi kipya?Nilikuwa natamani kama wewe nikaishia kuiweza kulamba-lamba St. Anna pekee,
Ule utamu wake na the way inakufanya ujiskie baada ya kunywa sikujutia, na pia nikaishia hapo.!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Wanampotosha ili stress zimuue
Sio tu zimuue, akionja pombe lazima hatotosheka, kuna sauti itamwambia; " umewahi kuwa kicheche? Hebu jaribu kuwabadili uonje ladha tofauti" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanampotosha ili stress zimuue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishakaambia katest saint Anna ila hakaelewi. Kila siku kanaendelea kuomba ushauri [emoji23] sikaelewi, sijui kanataka kusikia kipi kipya?
Saint Anne au jaribu strawberry lips, sema ile ni tequila inaweza kukujutisha [emoji1787]
Mwalimu wa dhambi[emoji16][emoji16][emoji16]huyo ni mama mtumishi vibaya mfanyavyoNilishakaambia katest saint Anna ila hakaelewi. Kila siku kanaendelea kuomba ushauri [emoji23] sikaelewi, sijui kanataka kusikia kipi kipya?
Saint Anne au jaribu strawberry lips, sema ile ni tequila inaweza kukujutisha [emoji1787]
Ila wine nasikia ni Tamu mno.Mwalimu wa dhambi[emoji16][emoji16][emoji16]huyo ni mama mtumishi vibaya mfanyavyo
Basi nitakualika...nikununulie RobertsonIla wine nasikia ni Tamu mno.
Dunia isije inaisha wakati mimi tu sijajaribu japo wine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo tu moke vitu baridi vikishushiwa na nundu choma [emoji28][emoji28]Nipo sayari hii hii mkuu... Hadi mi mwenyewe najishangaa
Aise hii kituMwee[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza maza akija kuona haya mawazo yangu ya kutaka kujaribu pombe nahisi atazimia kwa presha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Atajua nimerogwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tokea nitembee na magoti kwenda nyumbani sina hamu na pombe mwaka wa tatu huu. Mpaka leo magoti yana alama za michubuko.
Mpendwa usijaribu mimi niliwahi kuchanganyiwa kwenye juice ni chungu zaidi ya kutapika na kuumwa sana kichwa hakuna zaidi huwa najiuliza walevi wako sawa kweli.Inabidi niwaulize Sasa wanywaji ni kilevi gani ninachoweza kunywa kitamu kitamu kinachoendana na soda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha huwa najuuliza msio kunywa pombe yan mnafananajeInabidi niwaulize Sasa wanywaji ni kilevi gani ninachoweza kunywa kitamu kitamu kinachoendana na soda.
Sent using Jamii Forums mobile app