Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ile holy man alikuja akavuruga ushauri ulionipa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapa tu kuna watu walishanikata maini[emoji23].

Ila isije kuwa kuna kutapika nikinywa[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga msosi mixa nyama nyama au michemsho flan kwanza kabla haujaanza kukata kiu na vyombo baridi barafu.
 
Kulewa inategema na kichwa cha mtu.

Me nikilewa Sana nasinzia kinyama, kwanza siongeagi sana.Macho yanalegea kichwa huo muda kinaniambia kalale kalale weee. Yan napataga sana usingizi.

Nina rafiki yangu akilewa ni aibu kwa company nzima. Napataga tabu za kumshtua 'hey stop it stop that.

Nikilewa kidogo napata vibe la kudance, nakuwa happy hatari, nakuwa story teller naongea [emoji23]

Yote kwa yote pombe ukijua kuicontrol mbona pambe tu. Ni nzuriiiiiiiii, me hainiendeshi, naweza kata 3 months sijaitia mdomoni.
Kumbe!
Basi mtu anaweza kunywa glass moja tu na akawa vizuri.

Kwahiyo unajiona kabisa kuwa umelewa?
Unakuwaje kuwaje !?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatuzingua huyu yani mi sikumuelewa kabisa yuko serious anaagiza maji afu anasema anatamani anywe. Sijui opportunity anayosubiria ni opportunity ya aina gani na itashukaje kutoka mbinguni. Nadhani anasubiri mbingu ifunguke sauti isikike kutoka mawinguni ikisema "piga vyombo mwanangu mpendwa niliyependezwa nawe"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulinichekesha ujue[emoji1787]
Halafu jamaa unakata kvant kama maji tu!
Inawezekana wanaweka tu maji mule wanatuzuga kuwa ni pombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raha ya pombe utoe ahadi ambazo hazitekelezeki au kujipa vyeo ambavyo huna ..kunywa pombe na kwenda kulala ni matuzi mabaya ya pombe na afya yako

Kunywa pombe kisha zikipanda kichwani ambia watu upo na ajira za kutosha lakini huoni vijana waaminifu wa kufanya nao kazi.Wape zoezi la kuandika barua na CV wakuletee kesho uwape kazi

Wakati huo wewe unakunywa ili upunguze stress za maisha ya jobless .[emoji23][emoji23]ambaye hanywi pombe anakosa vitu vitamu sana kwenye dunia ilijojaa chuki, husda na kuvunja moyo
Kwa mishale tunayokwepa hapa duniani usipotumia kilevi utakufa mapema
 
Kamata wine mda huu hapo room tia kwenye glass anza kunyonya mama..
Muda huu siwezi kutoka kwenda kununua mkuu,nitakabwa na vibaka njiani.

Halafu hata nikinunua nitafanya kimyakimya,,wakishaniona tu watajua mapepo yamenivamia.
Kwanza sijui hata naendaje kununua pombe[emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku ile holy man alikuja akavuruga ushauri ulionipa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapa tu kuna watu walishanikata maini[emoji23].

Ila isije kuwa kuna kutapika nikinywa[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan. wewe ukamsikiliza yule mr. Coffee

Kutapika kupo kama utakula wali ndio unywe pombe. Au ukimix... Kuna siku nilimix vitu mimi kesho yake asubuh niliamkia kutapika 😂 nilijutaa

Nilianzia serengeti lite nikaona kama imekuwa chungu sana nikaiacha. nikaenda kwenye redds nikaona kama silewi nikapiga tot ya grant's. Tukahama kiwanja tulikohamia ikaagizwa saint Anna ikaisha tukaagiza dompo 'hii dompo niliwashauri, dompo ukimix na ice inakuwa tamu sana.


Weee kilichotukuta kesho yake? Tuliumwa mning'inio wa hatari, fanta haisikii, coka haisikii, soup haisikii mwili umechoka Chakula hakipandi, tulikuja kupona jioni baada ya kushtua na desperados.

Yan hapo ndio utajua drink responsibly uwa wanamaanishaje 😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikilewa utanirudisha?
Halafu ikifika jioni pombe hazijaisha kichwani itakuwaje?
Huo msala ntakaopata nyumbani[emoji2],

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukilewa unatibiwa na maji mengi na msosi, utakaa sawa baada ya muda. At least ukifika tu home unasalimia then straight kulala. Ukinywa the right amount utapata usingizi mmoja mramu hujawahi ona
 
Yan. wewe ukamsikiliza yule mr. Coffee

Kutapika kupo kama utakula wali ndio unywe pombe. Au ukimix... Kuna siku nilimix vitu mimi kesho yake asubuh niliamkia kutapika [emoji23] nilijutaa

Nilianzia serengeti lite nikaona kama imekuwa chungu sana nikaiacha. nikaenda kwenye redds nikaona kama silewi nikapiga tot ya grant's. Tukahama kiwanja tulikohamia ikaagizwa saint Anna ikaisha tukaagiza dompo 'hii dompo niliwashauri, dompo ukimix na ice inakuwa tamu sana.


Weee kilichotukuta kesho yake? Tuliumwa mning'inio wa hatari, fanta haisikii, coka haisikii, soup haisikii mwili umechoka Chakula hakipandi, tulikuja kupona jioni baada ya kushtua na desperados.

Yan hapo ndio utajua drink responsibly uwa wanamaanishaje [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wewe unaongea kama Iso,
Anasema yaani mtu anajiita Holy Man na wewe saint Anne halafu mnashauriana kuhusu pombe,mtashauriana nini Cha maana hapo?
Eti piga vyombo wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilicheka sana.


Naogopa sana kutapika aisee,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom