Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa unatibiwa na maji mengi na msosi, utakaa sawa baada ya muda. At least ukifika tu home unasalimia then straight kulala. Ukinywa the right amount utapata usingizi mmoja mramu hujawahi ona
Ulishaona unywaji wangu wa wa maji ulivyokuwa na wenge[emoji23][emoji23]
Siku nitakayokunywa I'm sure nitakamatwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Labda niwahi kulala..saa1 kamili huyo namtime yule dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wewe unaongea kama Iso,
Anasema yaani mtu anajiita Holy Man na wewe saint Anne halafu mnashauriana kuhusu pombe,mtashauriana nini Cha maana hapo?
Eti piga vyombo wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilicheka sana.


Naogopa sana kutapika aisee,

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah nilikuwa nishapiga vitu vyangu nini.... nimekumbuka haya maneno... unaona raha hizi bila pombe hupati creativity ya kuongea maneno kma haya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daah nilikuwa nishapiga vitu vyangu nini.... nimekumbuka haya maneno... unaona raha hizi bila pombe hupati creativity ya kuongea maneno kma haya [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilicheka Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti amekupa nini yule jamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni vile nilikuwa nashindwa kuangua kicheko Cha nguvu kama ambacho huwa naangua kwa mtu niliyemzoea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yan. wewe ukamsikiliza yule mr. Coffee

Kutapika kupo kama utakula wali ndio unywe pombe. Au ukimix... Kuna siku nilimix vitu mimi kesho yake asubuh niliamkia kutapika [emoji23] nilijutaa

Nilianzia serengeti lite nikaona kama imekuwa chungu sana nikaiacha. nikaenda kwenye redds nikaona kama silewi nikapiga tot ya grant's. Tukahama kiwanja tulikohamia ikaagizwa saint Anna ikaisha tukaagiza dompo 'hii dompo niliwashauri, dompo ukimix na ice inakuwa tamu sana.


Weee kilichotukuta kesho yake? Tuliumwa mning'inio wa hatari, fanta haisikii, coka haisikii, soup haisikii mwili umechoka Chakula hakipandi, tulikuja kupona jioni baada ya kushtua na desperados.

Yan hapo ndio utajua drink responsibly uwa wanamaanishaje [emoji23]
Hiyo mixa hatari raia wengine wangetapika utumbo na firigisi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani wewe unaongea kama Iso,
Anasema yaani mtu anajiita Holy Man na wewe saint Anne halafu mnashauriana kuhusu pombe,mtashauriana nini Cha maana hapo?
Eti piga vyombo wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nilicheka sana.


Naogopa sana kutapika aisee,

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan nyie mnatakiwa mpewe Smirnoff black ice ya kopo, kuja kushtukia kuwa ni pombe umeshachelewa sana. Utakuwa umeshakapiga kameisha kwa ule utamu wake....

Kutapika Kunaepukika, usimix pombe, usinywe pombe kama umetoka kula ubwabwa.
 
Yan nyie mnatakiwa mpewe Smirnoff black ice ya kopo, kuja kushtukia kuwa ni pombe umeshachelewa sana. Utakuwa umeshakapiga kameisha kwa ule utamu wake....

Kutapika Kunaepukika, usimix pombe, usinywe pombe kama umetoka kula ubwabwa.
Kumbe tutaanza na holy man.

Unampa kwenye chupa ya soda.


Kwahiyo chakula kizuri kula kabla ya kunywa pombe ni kipi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom