ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Nishaianzishiaga uzi hiyo Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice? achana nayo kabisa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishaianzishiaga uzi hiyo Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice? achana nayo kabisa!
Kujaribu mara moja haina shida, shida ukiwa na marafiki walevi lazima uwe addicted.Dah[emoji23]
Eti kaburi liamue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila mimi najaribu tu Mara moja,wala sitaendelea.
Kuna vitu nisije kufa sijavijaribu duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana sijataka hata kupinga [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa we unapiga K vant dry unategemea amarula uione chungu kweli? [emoji23]
Anakunywa kvant kama maji, ndani ya dakika tano anabugia nusu chupa.Sasa we unapiga K vant dry unategemea amarula uione chungu kweli? [emoji23]
Aisee[emoji1787]Nishaianzishiaga uzi hiyo Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice? achana nayo kabisa!
Go and try it.
Na wanywaji tuna roho nzuri sana. Tumempa kila aina ya msaada anaohitaji kuingia kwenye ulimwengu huu, na bili tunamlipia kabisa, na uhakika wa usafiri wa kurudi.Hahaha
Sijui ni ushauri wa rangi gani bado hajaupata mpaka anashindwa kufanya maamuzi.
Pombe tamu ukiinywa kwa kiasi [emoji7]
Nadhani sina marafiki walevi ndiyo maana sijawahi jaribu.Kujaribu mara moja haina shida, shida ukiwa na marafiki walevi lazima uwe addicted.
Ukitoka hapa usiulize tena mtu wala usimwambie mtu mipango yako, haitatimia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo mnavyotoa ushauri wenu Kuna watu wanakuja na mwingine wa kunikata maini najikuta nanyong'onyea sitamani tena kujaribu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akija Holy man hapa atachana mikeka yote hii, formation zote atavuruga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Go and try it.
It's a very very sweet beer, you won't regret wallaqh
Pombe kali ukilewa hata kama ulipewa namba za simu kesho yake huwezi kumbuka ulisave vpNikinywa pombe kali napoteza kumbukumbu, napenda sana beer, nikiwa sijanywa ni mpole sana na mstarabu. Nikilewa nakuwa mwongo sana na ahadi nyingi za uwongo afu naongea sana mpaka naboa. "Nimeacha" View attachment 1874664View attachment 1874665
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitoka hapa usiulize tena mtu wala usimwambie mtu mipango yako, haitatimia.
Tushakujaza upepo ukitola hapa kafanye kweli
Kana power kale kadudeDearrr
Usinywe Smirnoff zaidi ya chupa 2/3 kama ni first time
tamuu kama sukari ila unalewa chaap chaap sana
Usimmention sasa mwache huko barabarani anafuta visahani sahivi... akija kushtuka uko na smirnoff ice pembeni unapiga vyombo hatakuwa na la kuongea tenaAkija Holy man hapa atachana mikeka yote hii, formation zote atavuruga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nywea nyumbaniNadhani sina marafiki walevi ndiyo maana sijawahi jaribu.
Ila huku mtaani nitapata marafiki wa kila aina.
Kishuleshule nilikuwa na marafiki wa aina moja,wote ni kanisani tu na kwenye maombi.
Club nilikuwa sijui hata kunafananaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanyaji mlivyo na roho nzuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wanywaji tuna roho nzuri sana. Tumempa kila aina ya msaada anaohitaji kuingia kwenye ulimwengu huu, na bili tunamlipia kabisa, na uhakika wa usafiri wa kurudi.
Sijui anakwama wapi. Sielewi apewe nini tena.
Saint Anne mle kwenye gari si palikuwa na sweet wine na vikombe? Sikukuambia? Kwanini hukupiga?
niko mwenge nakuja hapo chap.....[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]utaniona
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Namuombea huu uzi asiuone. 😂Akija Holy man hapa atachana mikeka yote hii, formation zote atavuruga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app