Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Raha ya pombe utoe ahadi ambazo hazitekelezeki au kujipa vyeo ambavyo huna ..kunywa pombe na kwenda kulala ni matuzi mabaya ya pombe na afya yako

Kunywa pombe kisha zikipanda kichwani ambia watu upo na ajira za kutosha lakini huoni vijana waaminifu wa kufanya nao kazi.Wape zoezi la kuandika barua na CV wakuletee kesho uwape kazi

Wakati huo wewe unakunywa ili upunguze stress za maisha ya jobless .[emoji23][emoji23]ambaye hanywi pombe anakosa vitu vitamu sana kwenye dunia ilijojaa chuki, husda na kuvunja moyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]we mshenzi umenichekesha sana
 
Inakuwaje kuwaje eti?

Mimi huwa najiuliza sipati majibu,watu wanalewaje??
Yaani mtu anakunywa tu Yale maji hadi analewa[emoji848]
Huwa najiuliza sana inakuwaje kuwaje[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulewa inategema na kichwa cha mtu.

Me nikilewa Sana nasinzia kinyama, kwanza siongeagi sana.Macho yanalegea kichwa huo muda kinaniambia kalale kalale weee. Yan napataga sana usingizi.

Nina rafiki yangu akilewa ni aibu kwa company nzima. Napataga tabu za kumshtua 'hey stop it stop that.

Nikilewa kidogo napata vibe la kudance, nakuwa happy hatari, nakuwa story teller naongea 😂

Yote kwa yote pombe ukijua kuicontrol mbona pambe tu. Ni nzuriiiiiiiii, me hainiendeshi, naweza kata 3 months sijaitia mdomoni.
 
Mimi hua naanza kulia nikigida sana hasa nikipiga za kawaida then uniongezee k vant ntalia weee kama mtoto
[emoji28][emoji28][emoji28] unanikumbusha miaka ya 2004 nikiwa Chake-Pemba kuna Mangi mmoja alikula safari Moto kadhaa aliangua kilio kikubwa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Utakuja kuamka ujikute na Birthday suit halafu sehemu usiyoijua wahuni washasepa [emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kufanya yao. Shauri yako wahuni si watu.
Kwamba watakua na njaa ya vitumbua [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Pamoja na changamoto unazopitia mdogo wangu bado nakushauri usithubutu kujaribu

Naamini ukitumia haita kuondolea hizo stress bali itakupa break tu kwa muda na itakuongezea zaidi ya hizo uzipatazo

Ninaamini zitakwisha tu jitahudi kuvuta subira tuu
@Saint Anne mimi na huyu ndugu tumenawa mikono yetu, usiache kuscreenshot posts hizi for future...najua hatua uliyonayo kuonja ni kubwa sana, hadi uonje ndio utatulia.
 
Ikiwa weekend ndio imeanza mi nimeona ni share hii mada, maana mi nnapo kunywa pombe hasa pale nnapifikisha chupa ya 12 hua naanza kuchukua namba za simu za warembo wanaokatiza mbele ya macho yangu na nikifikisha chupa ya 18 hua nasogea kwenye viti virefu kaunta hapo sasa pombe baridi zinaanza kushuka huku zikisindikizwa na ala ya music laini nakamata pisi yoyote ambayo ipo bling bling nacheza nayo music huku nikimchombeza tuondoke wote tubadili kiwanja au tukalale mwisho mitego yote ikifeli namshawishi tukapige story kwenye gari kisha tutarudi akikubali tu kaisha.. ila kesho yake hua najuta kwanini nlikunywa kiasi kile mpaka nikafanya matukio kishujaa... share tabia yako baada ya kumoka View attachment 1874469
ambao tumeokoka tu comment wapi...??.😌😌😌
 
Nilishakaambia katest saint Anna ila hakaelewi. Kila siku kanaendelea kuomba ushauri [emoji23] sikaelewi, sijui kanataka kusikia kipi kipya?


Saint Anne au jaribu strawberry lips, sema ile ni tequila inaweza kukujutisha [emoji1787]

Anatuzingua huyu yani mi sikumuelewa kabisa yuko serious anaagiza maji afu anasema anatamani anywe. Sijui opportunity anayosubiria ni opportunity ya aina gani na itashukaje kutoka mbinguni. Nadhani anasubiri mbingu ifunguke sauti isikike kutoka mawinguni ikisema "piga vyombo mwanangu mpendwa niliyependezwa nawe"
 
Back
Top Bottom