Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ohoo basi sitajaribu.Nahisi utaenda mbali zaidi ya kulewa
Halafu kila nikisema hili wazo watu huwa wanajitojeza kunipinga.
Wachache huwa wananiunga mkono.
Nahisi Mungu anatuma watu wanikataze[emoji23].
Sent using Jamii Forums mobile app