[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli pombe siyo chai.
Kuna mwingine akilewa eti anaanza kuwahadithia wenzie namna alivyopambana kimaisha na mkewe,
Halafu akifikiria anavyomcheat mkewe anaanza kuumia..anachukua simu anampigia mkewe anaanza kumwambia namna anavyompenda hadi analia[emoji1787]
Mkewe akiona simu inaita anajua tayari jamaa alishawaka pombe zimekolea[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimaye nimepiga selfie moja hapa tayari mama mtumishi
Lakini inakuja na masharti lukuki kama misaada wa mabeberu [emoji1787] [emoji1787]
Promise kwamba nikiipandisha hiyo hapa basi suala la mvinyo tutaliweka pending
Eeh hayo usionje utakuwa na likitambiEti mapombe,mabia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si unasikiaga tu fulani kapiga samba soti!!.. kajaribu nawewe ushuhudie hapa utakavyofika juu ya Dari.
NB: ukinywa usisahau kuvaa suruali usije piga samba soti ukatuachia radhi sie..[emoji23]
View attachment 1877565
Okay, twende jamvini kule[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Masharti lukuki dah[emoji1787]
Itabidi nikaitumie kama dhamana ya mkopo benki.. Nina imani ina qualities zote za good collateral [emoji6]
Naomba niione baba mtumishi[emoji2960]
Ukinipa full,,I promise mvinyo tutautupia pembeni.,nitaendelea kumsifu Bwana huku nikitazama picha ya Mtumishi Wake.
[emoji23]Eeh hayo usionje utakuwa na likitambi
Oooh pole Darling [emoji177][emoji25]
Nilipoteza mzazi siku chache zilizopita.
Umekuwa msumari sana kwangu.
Natafuta tu namna ya kupata usingizi usiku[emoji4],nafikiri kawine katanisaidia.
Naenda Sasa hiviOkay, twende jamvini kule
Ukini quote kule make sure hukai mbali within 2 minutes
[emoji4][emoji120]Oooh pole Darling [emoji177]
Tafuta wine hizi sweet kama altar or Mohan's hulewi unachangamka tu...na unasahau shida kwa muda
Nguvu utapata tu!
Siwezi piga hizo samba,nguvu zenyewe za kupiga nazitoa wapi???
Suruali ni mtihani kwangu,kwanza Sina
Usikunywe pombe dear
Wengine tumeanza toka primary school kuacha mpaka Kaburi liamue
MhNilishakaambia katest saint Anna ila hakaelewi. Kila siku kanaendelea kuomba ushauri [emoji23] sikaelewi, sijui kanataka kusikia kipi kipya?
Saint Anne au jaribu strawberry lips, sema ile ni tequila inaweza kukujutisha [emoji1787]
Zinahamia wapi?Wale KE wakishakunywa halafu zinahamia kwenye K raha sana. Huanza kubembeleza wagegedwe maana ugwadu wao hupanda na kuwa plus plus na huwa wanataka tu uendelee kuwapa utamu. [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nguvu utapata tu!
Suru huna!!! Haya nitajitahidi kuangalia pembeni nikishindwa yote kheri
Eti tangu tumboni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Ha ha ha umenichekesha sana mkuu. Tuko pamoja me nazani nilianza nikiwa tumboni nilivyozaliwa nikastop nilivyofika darasa LA tatu nikaanza kuonja onja mbege mpka nilipohitimu darasa LA saba secondary nikaanzana na bia mpka leo.
Ila kunakipindi napumzikaga miaka miwili, mmoja, miezi. ili mradi kutengeneza mazingira ya kumisiana.
Zinahamia wapi?
Sista K ndio nani?Kwa sista K
Sista K ndio nani?