Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli pombe siyo chai.


Kuna mwingine akilewa eti anaanza kuwahadithia wenzie namna alivyopambana kimaisha na mkewe,
Halafu akifikiria anavyomcheat mkewe anaanza kuumia..anachukua simu anampigia mkewe anaanza kumwambia namna anavyompenda hadi analia[emoji1787]

Mkewe akiona simu inaita anajua tayari jamaa alishawaka pombe zimekolea[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hatimaye nimepiga selfie moja hapa tayari mama mtumishi

Lakini inakuja na masharti lukuki kama misaada wa mabeberu [emoji1787] [emoji1787]

Promise kwamba nikiipandisha hiyo hapa basi suala la mvinyo tutaliweka pending
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Masharti lukuki dah[emoji1787]
Itabidi nikaitumie kama dhamana ya mkopo benki.. Nina imani ina qualities zote za good collateral [emoji6]


Naomba niione baba mtumishi[emoji2960]
Ukinipa full,,I promise mvinyo tutautupia pembeni.,nitaendelea kumsifu Bwana huku nikitazama picha ya Mtumishi Wake.
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Si unasikiaga tu fulani kapiga samba soti!!.. kajaribu nawewe ushuhudie hapa utakavyofika juu ya Dari.

NB: ukinywa usisahau kuvaa suruali usije piga samba soti ukatuachia radhi sie..[emoji23]

View attachment 1877565
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siwezi piga hizo samba[emoji23],nguvu zenyewe za kupiga nazitoa wapi???

Suruali ni mtihani kwangu,kwanza Sina[emoji23]
 
Wale KE wakishakunywa halafu zinahamia kwenye K raha sana. Huanza kubembeleza wagegedwe maana ugwadu wao hupanda na kuwa plus plus na huwa wanataka tu uendelee kuwapa utamu. 😜
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Masharti lukuki dah[emoji1787]
Itabidi nikaitumie kama dhamana ya mkopo benki.. Nina imani ina qualities zote za good collateral [emoji6]


Naomba niione baba mtumishi[emoji2960]
Ukinipa full,,I promise mvinyo tutautupia pembeni.,nitaendelea kumsifu Bwana huku nikitazama picha ya Mtumishi Wake.
Okay, twende jamvini kule

Ukini quote kule make sure hukai mbali within 2 minutes
 
[emoji25]
Nilipoteza mzazi siku chache zilizopita.
Umekuwa msumari sana kwangu.

Natafuta tu namna ya kupata usingizi usiku[emoji4],nafikiri kawine katanisaidia.
Oooh pole Darling [emoji177]

Tafuta wine hizi sweet kama altar or Mohan's hulewi unachangamka tu...na unasahau shida kwa muda
 
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Siwezi piga hizo samba
emoji23.png
,nguvu zenyewe za kupiga nazitoa wapi???

Suruali ni mtihani kwangu,kwanza Sina
emoji23.png
Nguvu utapata tu!

Suru huna!!! Haya nitajitahidi kuangalia pembeni nikishindwa yote kheri
 
marafiki zangu mimi walishanisoma

utaskia we bitcoin njoo kuna ndoo yako moja apa


natafakari najiambia kwani nini


uyoo nkilewa sasa nageuka boss

wape kama walivooo [emoji23][emoji23]

Kesho sina ata ya maji ya kunywa. ila unajitukana maisha yanazonga [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usikunywe pombe dear
Wengine tumeanza toka primary school kuacha mpaka Kaburi liamue


Ha ha ha umenichekesha sana mkuu. Tuko pamoja me nazani nilianza nikiwa tumboni nilivyozaliwa nikastop nilivyofika darasa LA tatu nikaanza kuonja onja mbege mpka nilipohitimu darasa LA saba secondary nikaanzana na bia mpka leo.

Ila kunakipindi napumzikaga miaka miwili, mmoja, miezi. ili mradi kutengeneza mazingira ya kumisiana.
 
Ha ha ha umenichekesha sana mkuu. Tuko pamoja me nazani nilianza nikiwa tumboni nilivyozaliwa nikastop nilivyofika darasa LA tatu nikaanza kuonja onja mbege mpka nilipohitimu darasa LA saba secondary nikaanzana na bia mpka leo.

Ila kunakipindi napumzikaga miaka miwili, mmoja, miezi. ili mradi kutengeneza mazingira ya kumisiana.
Eti tangu tumboni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]

Mazingira ya kumisiana[emoji23][emoji23][emoji23]

Huu uzi dah nimecheka Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom