Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Njoo tupombeke wote weekend hii ....twende zetu rud's farm kunduchi

Tupige mawine na vitimoto vya ukweli, maisha ni haya haya [emoji848]
Nitazimia kwa watu[emoji1787]

[emoji120][emoji120][emoji120]Asante kwa kampani.

Ngoja nikishajaribu nyumbani nione kama naweza.
 
Ukijilegeza imo
Inategemea asee...kwanza mi sili cha mtu

Na ukininunulia sitaki, sitaki vinywaji vya stranger mezan kwangu, coz mpakaa nafika hapo nimebugdet mfuko wangu...

Na shobo shobo mezani kwangu sitaki, maana walevi hawanaga adabu..

Sema inategemea unaenda viwanja vipi, vya kistarabu hawana huu ujinga!
 
Hao ni Malaya mkuu, haina haja hata ya kupindisha....

Sasa mtu na heshima zako utaanzaje kupiga/ kupigwa mafingers ya mndukuni?

Hao ni Malaya PROMAX...wameshajisusaa[emoji848]
 
Eeh kwa huko ushuani ushuani sawa
 
Mwana wako au??
 
Hao ni Malaya mkuu, haina haja hata ya kupindisha....

Sasa mtu na heshima zako utaanzaje kupiga/ kupigwa mafingers ya mndukuni?

Hao ni Malaya PROMAX...wameshajisusaa[emoji848]
[emoji23]yani usiku tunaona mambo mengi sana aiseee. Afu unakuta ni vibinti vidogo tuu. Ila napenda sana vimbwanga vya usiku japo kuna muda nakereka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni Malaya mkuu, haina haja hata ya kupindisha....

Sasa mtu na heshima zako utaanzaje kupiga/ kupigwa mafingers ya mndukuni?

Hao ni Malaya PROMAX...wameshajisusaa[emoji848]
Ww na heshima yako nipe namba dm na unadharau Heineken nakununulia unalewa nakukula na nakula 0755 yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…