Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Njoo tupombeke wote weekend hii ....twende zetu rud's farm kunduchi

Tupige mawine na vitimoto vya ukweli, maisha ni haya haya [emoji848]
Nitazimia kwa watu[emoji1787]

[emoji120][emoji120][emoji120]Asante kwa kampani.

Ngoja nikishajaribu nyumbani nione kama naweza.
 
Ukijilegeza imo
Inategemea asee...kwanza mi sili cha mtu

Na ukininunulia sitaki, sitaki vinywaji vya stranger mezan kwangu, coz mpakaa nafika hapo nimebugdet mfuko wangu...

Na shobo shobo mezani kwangu sitaki, maana walevi hawanaga adabu..

Sema inategemea unaenda viwanja vipi, vya kistarabu hawana huu ujinga!
 
[emoji28] kwamba ukilewa genye zinatoka zote !!! Hii nimeipenda, ila ni kweli aise raha ya pombe ni utafakari maisha yako huku uki enjoy. Mdada anatakiwa kuwa makini mnoooo yani.kuna mmoja alilewa na boyfriend wake akaanza kumpiga vidole bar na ile sehemu ina watu wengi ila wao hawaelewi kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ni Malaya mkuu, haina haja hata ya kupindisha....

Sasa mtu na heshima zako utaanzaje kupiga/ kupigwa mafingers ya mndukuni?

Hao ni Malaya PROMAX...wameshajisusaa[emoji848]
 
Inategemea asee...kwanza mi sili cha mtu

Na ukininunulia sitaki, sitaki vinywaji vya stranger mezan kwangu, coz mpakaa nafika hapo nimebugdet mfuko wangu...

Na shobo shobo mezani kwangu sitaki, maana walevi hawanaga adabu..

Sema inategemea unaenda viwanja vipi, vya kistarabu hawana huu ujinga!
Eeh kwa huko ushuani ushuani sawa
 
Wanawake mkilewa mna mambo ya hovyo[emoji38]. Kuna mmoja the first time kumuona ametok kazini akaunga bar ambayo nilikua na rafiki zangu tukakaa nae meza moja maana ni rafiki wa jamaa angu, yule dada akaanza vijistori kwamba yy hataki kabisa mambo ya wanaume na bla bla nyingiii
Alivolewa bana si akanifuata anataka tucheze, mi nikaw namtuliza nikastukia kanipiga na denda anasema nimuangalie kashaanza kulewa. Kufupisha stori ni kwamba mi nilikua namsubiri demu wangu akaja nikawa nae busy na yule dada aliliwa na mwana. Pombe zilivokata akajikuta kaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwana wako au??
 
Hao ni Malaya mkuu, haina haja hata ya kupindisha....

Sasa mtu na heshima zako utaanzaje kupiga/ kupigwa mafingers ya mndukuni?

Hao ni Malaya PROMAX...wameshajisusaa[emoji848]
[emoji23]yani usiku tunaona mambo mengi sana aiseee. Afu unakuta ni vibinti vidogo tuu. Ila napenda sana vimbwanga vya usiku japo kuna muda nakereka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni Malaya mkuu, haina haja hata ya kupindisha....

Sasa mtu na heshima zako utaanzaje kupiga/ kupigwa mafingers ya mndukuni?

Hao ni Malaya PROMAX...wameshajisusaa[emoji848]
Ww na heshima yako nipe namba dm na unadharau Heineken nakununulia unalewa nakukula na nakula 0755 yako
 
Back
Top Bottom