Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Mean?
Kweli wa kishua
Hata Bolt haujui?
Haya tuseme kuna Uber huko?
Nisijerudi kwa miguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mean?
Huwaga lazma wapige chenji tu sababu unakuta kapiga wali marage wake safi kisha unamtungua na kitu cha uwele safi nyongo lazma ishtuke 😅😅😅Bado hujatapikiwa[emoji1787][emoji1787][emoji16]
Mbona utamchukia ghaflaa
Duuh[emoji849][emoji36][emoji15]Nimefuatilia sana maongezi yako nimegundua kwa hatua uliyofikia, sio swala la "if" tena, ni swala la "when".
Manake ni kwamba wewe lazima utakuja kunywa tuu ni swala la mda [emoji2]
Sasa acha nikushauri vizuri ili usije ukapata shida siku ukiamua kunywa na pia ili uenjoy na usipate matatizo.
1. Kabla ya kunywa, tambua kua pombe hua inaendana na chakula. Kuna vyakula haviendi na pombe so usije ukala pilau, wali maharage au ugali kwa mtindi halafu uende kuweka pombe utaadhirika! Pombe inapenda utangulize nyamanyama (zozote) na ndizi roast ivi ndio inakua mwake.
2. Kwavile wewe ndio utakua unaanza, ni bora uanze na vinywaji laini, vitamu na ambavyo havitakutesa baadae. Ushauri wangu:
- Alter wine. Hii wine ni nzuri, ina ladha tamu sana na sio kali. Pia kwenye chupa yake kuna Msalaba mkubwa ambao kimsingi unakuondolea kabisa dhambi. Mimina alter wine nusu glasi halafu jazia na coke baridi and enjoy.
- Amarula. Bonge moja la kinywaji tamu sana ina kaharufu kama ka chocolate na ipo kama chai ya maziwa. Hii unamimina kwenye glasi ya wine robo tatu kisha unajazia na maji kidogo usinywe dry itakukereketa.
- Kuna wine nyingine kama Robertson, Saint Anne nk hizi utakuja kujaribu baadae kadri utakavyokua unaendelea [emoji3]
- Usinywe bia. Bia nyingi hua ni chungu na zina ma hang over utaichukia pombe mapema.
3. USICHANGANYE POMBE! Katika maisha yako ya unywaji, kamwe usichanganye aina mbili za pombe. Yaani usinywe wine halafu baadae uweke beer and vice versa utapata tabu sana.
4. MAJI ni kitu muhimu sana kuwa karibu. Ukiona kama unalewa au hujielewi elewi we piga maji glasi moja unarudi kuwa normal.
Nikutakie mwanzo mwema.
Afu ukifika home huku zimehama, unaanza kujichungulia kama wana wamefanya yao..!![emoji16][emoji16][emoji16] blouse au chupi
IN ANY SUCCESSFULY DRINKING, THERE IS A PROMISE OF NOT TO DRINK AGAIN...!!!! Ukiona ahadi hiyo hujaiweka ujuwe hukuichapa ile yenyewe
OnaKweli wa kishua
Hata Bolt haujui?
Haya tuseme kuna Uber huko?
Nisijerudi kwa miguu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huwaga lazma wapige chenji tu sababu unakuta kapiga wali marage wake safi kisha unamtungua na kitu cha uwele safi nyongo lazma ishtuke [emoji28][emoji28][emoji28]
Njoo uonje na mimi tutakunywa wine moja inaitwa Grants nzuri sana hasa ukimix na coca![emoji848] Kumbe!
Ila mimi nilishajiahidi kutokuendelea.
Lengo ni kuonja tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Marage lazma yasambae mezani😅😅😅[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Eti wali maharage
Mzee wa fursa[emoji41][emoji41]Njoo uonje na mimi tutakunywa wine moja inaitwa Grants nzuri sana hasa ukimix na coca!
Ha ha haAfu ukifika home huku zimehama, unaanza kujichungulia kama wana wamefanya yao..!!
Ona
Nimekuelewa...ha haha
Nikawa najiuliza ni hizi Bolt nazozijua au zingine[emoji1787][emoji16][emoji16]
Zimejaa tele mrembo
Mie siku nafundishwa kunywa nilipigwa chupa la alcohol 42% na ginger ale ndio ilikuwa neutralizer!Mzee wa fursa[emoji41][emoji41]
Kwahiyo unashangaa umeachwa peke ako mezani[emoji16][emoji16]Ahahaaa ngoja niwatafute walevi wenzangu
Shida ni moja tu ile team wakianza kulewa kila mtu huondoka kimya kimya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
DuuuuhMie siku nafundishwa kunywa nilipigwa chupa la alcohol 42%
[emoji1]msamehe, jamaa anaamini kila mwanamke lazima aleweHa ha ha we jamaa nahisi anal sphincter muscles zako zimetanuka, zinahitaji ndonga!
Mi ni mwanaume ndio, ila sifiriii sawa? Endelea kutafuta bashaa mwingine humu akubashieee,
Usinitafutie ban nitakutukana mpaka ukimbie hii ID yako sawa?
Marekani ilihamia kijiweni kwa muda utasema 2 pac kadondoka hizo slang zake😅😅😅 kisha niliamka next day saa 5 asubuhi...Duuuuh
Walitaka kukuua hao[emoji848]
Kwani ushawahi kujipa hiyo ahadi shemela?Hahhaaaa nikajua ni mimi mwenyewe
[emoji16][emoji16][emoji16] fuvk fuvk kibaoMarekani ilihamia kijiweni kwa muda utasema 2 pac kadondoka hizo slang zake[emoji28][emoji28][emoji28]
Bwana weeh! Ilikuwa noma washkaj wanacheka tu 😅😅😅[emoji16][emoji16][emoji16] fuvk fuvk kibao