Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hao nafanana nao..!! Yaani kuna watu ukiwaaga tu unaanza ona sita sita zinakuja mezani..!!! na wakati huo home mbali, na umekuja na ki-IST chako.. KUBAMIZWA NJIANI NJE NJE..!!Ahahaaa ngoja niwatafute walevi wenzangu
Shida ni moja tu ile team wakianza kulewa kila mtu huondoka kimya kimya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]