Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Duuh[emoji849][emoji36][emoji15]
 
Ahahaaa ngoja niwatafute walevi wenzangu
Shida ni moja tu ile team wakianza kulewa kila mtu huondoka kimya kimya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo unashangaa umeachwa peke ako mezani[emoji16][emoji16]
 
Ha ha ha we jamaa nahisi anal sphincter muscles zako zimetanuka, zinahitaji ndonga!

Mi ni mwanaume ndio, ila sifiriii sawa? Endelea kutafuta bashaa mwingine humu akubashieee,

Usinitafutie ban nitakutukana mpaka ukimbie hii ID yako sawa?
[emoji1]msamehe, jamaa anaamini kila mwanamke lazima alewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…