Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Nimefuatilia sana maongezi yako nimegundua kwa hatua uliyofikia, sio swala la "if" tena, ni swala la "when".

Manake ni kwamba wewe lazima utakuja kunywa tuu ni swala la mda [emoji2]

Sasa acha nikushauri vizuri ili usije ukapata shida siku ukiamua kunywa na pia ili uenjoy na usipate matatizo.

1. Kabla ya kunywa, tambua kua pombe hua inaendana na chakula. Kuna vyakula haviendi na pombe so usije ukala pilau, wali maharage au ugali kwa mtindi halafu uende kuweka pombe utaadhirika! Pombe inapenda utangulize nyamanyama (zozote) na ndizi roast ivi ndio inakua mwake.

2. Kwavile wewe ndio utakua unaanza, ni bora uanze na vinywaji laini, vitamu na ambavyo havitakutesa baadae. Ushauri wangu:

- Alter wine. Hii wine ni nzuri, ina ladha tamu sana na sio kali. Pia kwenye chupa yake kuna Msalaba mkubwa ambao kimsingi unakuondolea kabisa dhambi. Mimina alter wine nusu glasi halafu jazia na coke baridi and enjoy.

- Amarula. Bonge moja la kinywaji tamu sana ina kaharufu kama ka chocolate na ipo kama chai ya maziwa. Hii unamimina kwenye glasi ya wine robo tatu kisha unajazia na maji kidogo usinywe dry itakukereketa.

- Kuna wine nyingine kama Robertson, Saint Anne nk hizi utakuja kujaribu baadae kadri utakavyokua unaendelea [emoji3]

- Usinywe bia. Bia nyingi hua ni chungu na zina ma hang over utaichukia pombe mapema.

3. USICHANGANYE POMBE! Katika maisha yako ya unywaji, kamwe usichanganye aina mbili za pombe. Yaani usinywe wine halafu baadae uweke beer and vice versa utapata tabu sana.

4. MAJI ni kitu muhimu sana kuwa karibu. Ukiona kama unalewa au hujielewi elewi we piga maji glasi moja unarudi kuwa normal.

Nikutakie mwanzo mwema.
Mimi badala ya kutumia maji huwa naagiza mchemsho wa nyama na limao za kutosha.
 
Nikilewa nakuwa na busara kuna watu huninunulia pombe ili wapate madini toka kwangu nisipo kunywa sio mzungumzaji


SIMPLE BUT NOT CHEAP
 
Ongezea mchango.

Wadau wengi wamshanifundisha huko juu.
Hautolewa hata nilianza kunywa toka darasa la 5 A"

Nilikuwa nachopendea kunywa nikilewa naenda kulala bila bughuza wa kushtuka nilikuwa naipa pombe za wazazi wangu au naomba kidogo nimiminiwe

Hadi nikawa muandamizi

Hadi leo Alhamdulah, nna uwezo wa kumaliza Kvant au konyagi kubwa na nisisumbue,

Kreti la serengeti lite namaliza

Namshukuru sana MUNGU nikilewa sitapiki

Pombe nzuri sana naipenda mno ni kama mke wangu
 
Back
Top Bottom