platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,424
- 11,320
Itakuwa heri sana ankalNikuzawadie kamoja kageni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa heri sana ankalNikuzawadie kamoja kageni?
Kunywa kwenyewe Ni kwa nadra sana naweza maliza hata miaka minne pasipo kuonja pombeWakati mwingine ukiwa unapata kilaji, hakikisha mwenza yuko pembeni.
Ile pombe ina kijini chake ni kama jaladaLakini inaonyesha hata akiwa na hela akanywa pombe nyingine lazima anywe Kvant[emoji28]
😍 Naomba tulewe wote plizzz sababu ulivyolewa mara ya mwisho sikuwepo...,naomba hio moment irudiwee irudiwee😊😊😊Japo si mnywaji sana ila mara chache nilizolewa kidogo napandwa na genye hatari
Hahahah unaona kote tambarare tu😅 nakumbuka nilishawahi kumpa kitu bajajiUkilewa raha sana,unacheza tu, unaenda kwa DJ unamhonga bia anapiga nyimbo ulizoomba wewe,hapo hutoki, unashangaa tu saa tisa hii hapa!
Onyo ukilewa na huwezi endesha motokaa,bora uache,chukua boda,utakuja chukua motokaa yako kesho! Maana ukilewa,ukiwa unaendesha unaweza nyoosha tu,mbele kumbe kuna round about,guess what will happen!!
Nipo hapa babu[emoji4]
Akeshe nyumbani.Heri akeshe gesti sio?
[emoji120][emoji120]Tafuta wine moja tamu Kama jina lako,itakufaa Sana yaitwa hivyo hivyo St. Anna
Kwahiyo mnajali washkaji kuliko hata famila [emoji134]Kwan unadhani hua tunapenda basi,hua ni kampani tu,washikaji wanakusema,inabidi uliunge tu,ukifika miaka ya 45+ huko ndo unaacha sasa! Walau home saa mbili hivi upo hadi kesho
Washkaji wanaokoa jahazi ila si kwa kukesha nao hadi saa9 za usiku.Kila kitu kina wakati wake! Familia tumeshinda wote home,toka tumetoka kanisani! Tumekula cha mchana,tumepanga mipango ya week nzima! Kama kuna tatizo tushalitatua!
Halafu washikaji,ndiyo hua wanaokoa jahazi pindi mambo yanaenda mrama! Nakuambia kabisa! Kuna mwana alitumbulia na Magu,wadau walimweka mjini mwaka mzima! Pesa za kula hazikua shida!
Bado hiyo haitanizuia mimi kumzuia kurudi saa 9.Utakuja pata Mshikaji,akienda kula gambe,anarudi na plan za kufa mtu,unashangaa tu weekend,anakuambia twende site,unakuta matofali 2000 yapo pale,unashangaa! Next week unakuta mafundi wana set msingi, unashangaa huyu jamaa anatoa wapi pesa?? Kumbe kwenye ulevi huko,anakutana na watu,wanampa matofali ya mkopo anakua analipa kidogo kidogo ndani ya mwezi mmoja au miwili! ,saruji pia! Ulevi wa maendeleo huo! Wanaume tunamipango mingi sana,hasa tukikutana na ma legendary,town kitambo! Sasa wewe jifungie ndani! Utajenga baada yakustaafu!!
Mtu alewe kistaarabu,saa 3,4 unarudi nyumbani..[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
unakunywa Napoleon🙁 ...sitasahau hii napoleon ilitaka kunitoa uhai xmas 2015Nikilewaga huwa natongoza chochote kilicho mbele yangu..hata mbwa...hahhaa
Akirudi saa9 anapora uhuru wangu.Utakua unapora Uhuru wake,mwache tu! Na kwanza unadhani kila siku anatakua anarudi saa tisa?? Mara chache sana,yaana saa nne au tano kesharudi
😂😂😂😂Marudio bado sana😍 Naomba tulewe wote plizzz sababu ulivyolewa mara ya mwisho sikuwepo...,naomba hio moment irudiwee irudiwee😊😊😊