Ukilinganisha matumizi ya viongozi na mahitaji ya wananchi yanaweza kuwa sawa na zaidi

Ukilinganisha matumizi ya viongozi na mahitaji ya wananchi yanaweza kuwa sawa na zaidi

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Tumpate mtakwimu atuwekee orodha ya matumizi ya viongozi! (bajeti)

Huenda wanatumia 80% ukilinganisha na mahitaji ya wanamchi nchi nzima!

Maana haiwezekani hadi Leo miaka 60 ya Uhuru tuna umeme wa mgao, barabara mbovu, Hosp zetu hazina uhakika wa huduma!

Mfano; Ebu filkilia hapo ulipo sasa hivi uking'atwa na nyoka ni zahanati au Hosp gani ya uhakika kukupatia matibabu yanayohitaji uharaka ndani ya nusu saa eneo lililo karibu yako? Au utakata moto huku unajiona ?
Ukitathimin kuna uhakika wa matibabu hospital iliyokaribu yako?

Viongozi wakibadili vipaumbele vyao viwe vya wananchi maisha yangekuwa mepesi sana!

Tunakusanya sisi wanakula wao, tunataabika sisi!
 
Viongozi wana shida gani na hospitali au Zahanati zetu wakati wao wanatibiwa nje ya Nchi?
 
Tumpate mtakwimu atuwekee orodha ya matumizi ya viongozi! (bajeti)

Huenda wanatumia 80% ukilinganisha na mahitaji ya wanamchi nchi nzima!

Maana haiwezekani hadi Leo miaka 60 ya Uhuru tuna umeme wa mgao, barabara mbovu, Hosp zetu hazina uhakika wa huduma!

Mfano; Ebu filkilia hapo ulipo sasa hivi uking'atwa na nyoka ni zahanati au Hosp gani ya uhakika kukupatia matibabu yanayohitaji uharaka ndani ya saa nusu saa eneo lililo karibu yako? Au utakata moto huku unajiona?

Viongozi wakibadili vipaumbele vyao viwe vya wananchi maisha yangekuwa mepesi sana!

Tunakusanya sisi wanakula wao, tunataabika sisi!
"Any government is an organ of exploitation by nature."
By Mikhail Bhukanin
 
Viongozi wana shida gani na hospitali au Zahanati zetu wakati wao wanatibiwa nje ya Nchi?
Ndiyo maana hatuendelei! Nchi iko busy kukusanya maokoto lakini yanayokwenda kwenye maendeleo siyo mengi kama yanayotafunwa (CAG report)
 
Utumishi na sekta nyingine zinazolipwa mishara kwa mwezi na posho mbali mbali zinazidi kabisa pesa za maendeleo kwa mbali sana.

Huko kwenye maendeleo ndiko aliko mwananchi moja kwa moja.ukajenge barabara,ukapeleke umeme wa uhakika,ujenge miundombinu mingine au ukarabari iliyopo,nk.
 
Back
Top Bottom