Ukimaliza chuo ukakaa mtaani miaka mitano bila ajira, mifumo ya ajira serikalini inakutema


Wajukuu zangu zangu naomba mnisikilize ......

Mimi ni babu ambaye nilimaliza chuo kikuu zamani sana Nina uzoefu wa mifumo ya ajira kwa muda mrefu sana naombeni mnisikilize kuhusu hizo ajira zenu .......

1.kuwa na vigezo au kutokuwa na vigezo sio issue muhimu ni kuwa na connections

2.ajira zenyewe sasa kwa kipindi chenu ambacho kila mwaka Graduates zaidi ya milioni moja wanamaliza vyuo vikuu alafu mnapigania nafasi moja na bado una mawazo ya kuajiriwa .

3.mwisho kabisa nawakumbusha wapiga nia ajira sikumbuki ilikuwa sijui ni mwaka Gani wazee wenu tulifanya interview uwanja wa taifa majibu kutoka kumbe watu walishaweka ndugu zao sasa sijui kilitokea kuna mwamba akasanua Habari zilivyofika kwa wakubwa zikafutwa wenye kumbu mtanisaidia .


Nina mengi ya kuwaeleza wajukuu wangu ila kwa sasa babu yenu nimejiajiri na maisha yanaenda sio lazima uajiriwe
 

Hapo ndani ya miaka mitano unakuta tiyali ameshafanya interview kibao kila anapokwenda akimaliza interview wanamwambia tutakuita na bado a asubili kuitwa na miaka 5 imeshapita tiyali .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…