Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Tatizo sio kutumia mkaa! Mtu akupe mkaa uwashe uliolowana! Si uchawi huo!!
 
Hayo pia ni kati ya maendeleo au ulikua hujui?
Alafu usifananishe Dudu na vitu vya ajabu
 
Um

Umewakomesha haha...huyo mwenyewe ukimpima kwa kumpa jembe alime robo eka hawezi.
 
Umeona eeh! Halafu Wanajiita mwanaume. Vichwa vya nyumba. Ni kweli kwa dizaini hii umaskini hautaisha. Badala ya kujibidisha na kuleta unafuu wa maisha bado una jiko la mkaa? Tupa kuleeee
Jiko la mkaa??? Mbona hata watu maarufu wengi tu wanapikia?
huyo zari Bosslady na alipikia kuni sembuse wewe pangu pakavu? Hahahah acheni maisha ya kuekti
 
Kwa sababu me ni MTU wa mazingira ntaishia kwenye kuwasha moto..hahaha ..siwezi kuchangia uharibifu wa misitu yetu..
Hahahahah Kwahiyo hautotumia kuni au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…