Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Japokuwa haikuwa lazima kwangu kukujibu ila wacha tu niseme kuwa "KATIKA WATANZANIA WAWILI LAZIMA MMOJAWAPO ANA MATATIZO YA AKILI"
chambua na changanua ili uelewe.
 
Mwanamke akikupenda hata pangoni, hata porini atakufuata. Ndivyo walivyo. Kikubwa wanajali ulinzi, usalama. Ukiona wanakimbia hao ni money mongers
kweli kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…