Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Unampa adhabu alafu kesho arudi!!!Nakama atafahamu hiyo ndo jaribio la kutaka kuolewa atafanya ila uko mbeleni utajuta lazma alipize
Hahhaaha akijua Utaisoma namba asee
 
Dah, hapo anaeza hisi labda ameingia kwenye kambi ya jeshi hahahah
 
Utaendelea kuishi kwenu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Naishi kwangu sio kwetu wala sio nyumba yakupanga,na nasukuma mkoko wa maana 2010 edition na pete ya uchumba ninayo....it not true that all men want woman who think cheap of themself and who want cheap things... na mungu kanipa kitu mule mule aman of my class ....kapyungu poyeeee am taken
 
Reactions: MC7
Faizaaaaa unaitwa hukuuuuuuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbuka maisha yanabadilika lakini. Leo unaweza endesha mkoko wa maana kesho ukataman ata baiskeli. Yamungu mengi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbuka maisha yanabadilika lakini. Leo unaweza endesha mkoko wa maana kesho ukataman ata baiskeli. Yamungu mengi
Ushasema ya mungu ....huyo mungu anaweza nipa mkoko wa 2016 pia ya mungu mengi
 
Reactions: MC7
Jiko la mkaa lililolowa si issue ila mkaa ulioloa ndo kasheshe mana hautowaka kabisa
 
Naanzaje kuwasha hilo jiko kwa mfano?? Hiyo ndoa inipite hapa [emoji117][emoji117] kwa kweli
 
Lkn Fikiria kama na dingiako angemtest maza kwa ivo,,,

Na wewe Mungu anakuona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…