Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Mbali kote kwanini, aje kutembea na umlishe ugali ndondo akirudi tena oa kabisa.
 
Tumewachoka siku haipiti bila kuongelewa mwanamke kwa nongwa.
Eti umpitishe kwenye mishida akiweza ndiyo mwanamke wa kuoa. Hivi nyie hamwoni hata aibu nani kakwambia mwanamke ni wakumpitisha kwenye mishida? Majiko ya gesi au umeme hamuyaoni? Mnapokuja na post za kujionyesha kuwa ninyi ni mahohehahe inamaama kuwa hamfai kuwa wanaume. Kama ww ni mwanaume halafu hauwezi ku provide wewe huna maana rudi kwa wazazi u kajipange.
Acheni kujivua nguo humu jamvini. Mmoja kaja na post eti kaombwa elfu 50 na mwanamke anakuja kulia lia humu ndani. Yaani nyie ni wa kuhurumia siku hizi.
Na huko tunapoenda uchumi utaongozwa na kina mama. Wakina mama leo wanajituma sana kwasababu wameona hiyo misuruali yenu ni ushuzi tu. Wakina mama wa tabaka la chini na kati wanaoweka matenga kichwani, wanafanya biashara , wanaokopa, waliokwenye vikundi ni wengi sana. Nyie bakini kuloweka mkaa eti kujaribu binti wa kuoa.!
Tatizo wanawake wa siku hizi hawampendi mtu wa hali ya chini na wanasahau kua kuwa tajiri au maskini n hali tu na inaweza kubadilika

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Nwaigwe[emoji108] [emoji106] [emoji106] kwanza nitoke kwetu tuna mijiko ya umeme kila kona na gesi eti nikajipikilishe kwa mwanaume mamkaa nakuchota maji kisimani ,ivi nyie alie wambia kwamba wake ni mahousemaid ni nani ? Low life men utawajua tuu mpaka mawazo ni low
Asante dadangu! Imagine hawa wanaume yaani wanafikiri kutufanya watu wa kunyanyasa ndiyo nafasi yetu. Zamani mkaa ulipikiwa kwa kuwa maendeleo hayakuwepo na bibi zetu walifanya. Ss kuna tech kibao watuwekee mpaka mashine za kufulia kurahisisha majukumu yetu.
Ikumbukwe hatukatai kufanya majukumu yetu kama kupika n.k lakini na wao wa provide
 
labda aweamefikisha miaka 50+ bila bahati ya kuolewa..
 
Mkaa hawatumii wanaogopa kuchafua mokono na mikucha yao mirefu kama ......
 
Tumewachoka siku haipiti bila kuongelewa mwanamke kwa nongwa.
Eti umpitishe kwenye mishida akiweza ndiyo mwanamke wa kuoa. Hivi nyie hamwoni hata aibu nani kakwambia mwanamke ni wakumpitisha kwenye mishida? Majiko ya gesi au umeme hamuyaoni? Mnapokuja na post za kujionyesha kuwa ninyi ni mahohehahe inamaama kuwa hamfai kuwa wanaume. Kama ww ni mwanaume halafu hauwezi ku provide wewe huna maana rudi kwa wazazi u kajipange.
Acheni kujivua nguo humu jamvini. Mmoja kaja na post eti kaombwa elfu 50 na mwanamke anakuja kulia lia humu ndani. Yaani nyie ni wa kuhurumia siku hizi.
Na huko tunapoenda uchumi utaongozwa na kina mama. Wakina mama leo wanajituma sana kwasababu wameona hiyo misuruali yenu ni ushuzi tu. Wakina mama wa tabaka la chini na kati wanaoweka matenga kichwani, wanafanya biashara , wanaokopa, waliokwenye vikundi ni wengi sana. Nyie bakini kuloweka mkaa eti kujaribu binti wa kuoa.!
Mbona pov[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Akiwa njiani kwenda Gongo la mboto njiani pale banana anakutana na njemba linampiga visenti demu analainika kisha jamaa anampandisha daladala haoooo wanaenda kitunda kumla mrembo.Badae anampandisha daladala kutoka kitunda mpaka banana then anapanda la goms anarudi kwao,akifika goms huyoooo anashuka zake kwao ulongoni
 
Back
Top Bottom