Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Ukimfanyia Hivi Demu Harudi Teena..!!!

Naona watu mnavyotengeneza kanuni na masharti kwenye mapenzi.
 
Um


Umewakomesha haha...huyo mwenyewe ukimpima kwa kumpa jembe alime robo eka hawezi.
Robo eka?? Wewe watu wanafuta eka kibao kwa siku bila kusuasua, sa sijui utaongea nini
 
Robo eka?? Wewe watu wanafuta eka kibao kwa siku bila kusuasua, sa sijui utaongea nini

Sijasema hawapo..nimesema anayekupa jaribio na yeye si ajabu ukimpa hata robo heka hataweza kulima
 
H
MCHUKUE DEMU UMPELEKE GHETTO HALAFU MPIME
KWA KUMPA JIKO LA MKAA ULIOLOWANA, AWASHE
MOTO MPAKA MANAILONI YOTE YAISHE HUKU
AKICHAMBUA MAHARAGE MAGUMU, AYACHEMSHE
YAIVE APIKE UGALI, MLE MSHIBE IKIFIKA SAA 12
KAMA ANAKAA GONGO LA MBOTO MPE NAULI 50O TU, KAMA AKIRUDI TENA KESHO MUOE KABISA HUYO
NI WIFE MATERIAL
aha ha ha! Hiyo ni acid test!
 
Hapana! ni uharibifu wa mazingira ilhali gesi inapatika kwa wingi nchini na kwa bei nafuu.
Basi kama ndio ivyo hata kula vegies ni uharibifu wa mimea
 
MCHUKUE DEMU UMPELEKE GHETTO HALAFU MPIME
KWA KUMPA JIKO LA MKAA ULIOLOWANA, AWASHE
MOTO MPAKA MANAILONI YOTE YAISHE HUKU
AKICHAMBUA MAHARAGE MAGUMU, AYACHEMSHE
YAIVE APIKE UGALI, MLE MSHIBE IKIFIKA SAA 12
KAMA ANAKAA GONGO LA MBOTO MPE NAULI 50O TU, KAMA AKIRUDI TENA KESHO MUOE KABISA HUYO
NI WIFE MATERIAL
Wife material siku hizi umpe shida ivo kama mtoto yatima tena yatima ambaye wazazi pia walikuwa fukara wa misaada ya tasaf
 
Back
Top Bottom