Ukimfanyia hivi mke wako ni vigumu kukuchukia hata uwe huna pesa

Ukimfanyia hivi mke wako ni vigumu kukuchukia hata uwe huna pesa

fungi06

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2020
Posts
738
Reaction score
1,017
Ciao jf

Nimekua nikifwatilia mda mrefu wa nini wanawake wengi wa sasa kwa nini awadumu kwenye ndoa zao...jibu nililo pata litawashagaza wengi ila ni ukweli unao pingika wa kiwango kidogo

Rejea
Binadamu wa sasa wengi wetu ni modern man (nazani naeleweka maana ya modern man).. hivyo basi tunatumia mno akili kubwa kufanya kazi kubwa,, kuliko kutumia nguvu nyingi kwenye kazi kubwa kama babu zetu walivyo chanja vichaka kwa jembe ila now trekta moja heka mia kwa mda sahihi..huoni we develop?

Hivyo hivyo ndivyo tunavyo songa mbele kwa kurahisisha kila kitu ili maisha yawe bora

Turejee.

Wanaume wengi wa sasa kwenye ndoa wanasahau kitu kimoja...

"Kushirikiana"

Simaanishi kwamba kuchangishana ela yakusomesha watoto au mahitaji yote ya nyumbani kwa pamoja "no"

Ninamaanisha kimawazo, kifikra, na kimwili ikiwezekana

Wanaume wengi kwenye ndoa now wamekua wakijibebesha mizigo nakusahau kua wao wana waenzi wao ambao kwa namna moja au ingine wanaleta offspring image zao in future (wengi wataelewa ninacho maanisha hapa)
Ndio maana wengi vijana wanakuja hospital wana pressure, kisukari, etc ambayo kwa kujibebesha mizigo wakiogoopa kuongea vyema na wenzi wao..

Kama bado ujaingia kwenyd ndoa hakikisha kua
  • mnasikilizana kwa lugha yenu mnayo elewana; kuhisia, kimwili, na kiakili.
  • kama mnajenga nyumba hakikisha kua mnakaa pamoja kupanga mpangilio wa nyumba yenu kwa pamoja
Hapa niongelee kidogo wanaume wengi huwa tunajenga nyumba bila kuwapa taarifa wake zetu za kuishi na kuisi kua ata ukimwambia hawezi labda changia fedha ila tunatakiwa tukumbuke huyo huyo ndo anae ipamba nyumba na ndio wanao tumiaga mda mwingi kukaa nyumbani kwaio nyumba ikiwa boredom place usishangae ukisafiri na yeye asafiri safari yake maana nyumbani kunamboa

Mimi nilimshirikisha akanipa wazo ambalo now linafanya kazi mno ambalo alikuwepo akilini kwangu
Alitaka kuwe na chumba kama library cha vitabu, Pc (personal computer), now naona furaha maana nyumbani amekua na kitu anachopenda maana ni mpenzi wa vitabu pia watoto huwa husomea uko imagine haipo!!!!

Tuwe tunashirikiana akuna timu nzuri kama team ya familia
"Usipo kua loyal kwa familia yako akuna mtu atakua loyal kwako"

Shirikishaneni acheni uoga eti utapigwa juju aahwapi!

Atakupiga juju kama nyumba aipendi ili aende anapo papenda

Saidianeni sio mke wako ana mimba and bado ukiamka unataka ukute chai mezani uwai kazini
Mama mjamzito anaitaji mda wakupumzika mno mwandalie chai mfanyishe mazoezi mweke katika hali ya usafi awe bora kwani tsh ngapi kumboresha mke wako si ndo mwanamke ulie amua akuletee uzao wako

Tushirikiane na wake zetu

Warning; usiwekeze kwa mwanamke wekeza kwa mke

Nalog out
 
Mtoa mada una ukweli kiasi fulani lkn shida ni kwamba ushirika unaimarika kama wote mna nia na mtazamo sawa

Lkn kama wewe unawaza kujenga mwenzio anataka mnunue Gari tena ya kutembelea ili amkomeshe jirani maana anajiona sana kila anaporudi lazima apige horn
 
Hiiii naisoma hii thread alafu nacheka IIHIIIIIII BAGHOOSHAAA!!!!![emoji23][emoji23][emoji23].....mzee baba hayajakukuta wew,,sie tulifanya yote hayo pamoja na kuwachongea pete ya dhahabu lkn wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......their first priority is only money, not your comfort[emoji23][emoji23][emoji23]...stop imagine nonsense bro hayajakukuta wew uenda bado uko mapenzi ya honeymoon.....subr mapenz yaote kutu hayo, nakuhakikishia utarudi hapa ukilia lia kuomba ushaur kama wenzako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiiii naisoma hii thread alafu nacheka IIHIIIIIII BAGHOOSHAAA!!!!![emoji23][emoji23][emoji23].....mzee baba hayajakukuta wew,,sie tulifanya yote hayo pamoja na kuwachongea pete ya dhahabu lkn wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......their first priority is only money, not your comfort[emoji23][emoji23][emoji23]...stop imagine nonsense bro hayajakukuta wew uenda bado uko mapenzi ya honeymoon.....subr mapenz yaote kutu hayo, nakuhakikishia utarudi hapa ukilia lia kuomba ushaur kama wenzako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pwete iyo its normal mbona jaman
 
Mtoa mada una ukweli kiasi fulani lkn shida ni kwamba ushirika unaimarika kama wote mna nia na mtazamo sawa

Lkn kama wewe unawaza kujenga mwenzio anataka mnunue Gari tena ya kutembelea ili amkomeshe jirani maana anajiona sana kila anaporudi lazima apige horn
Absolute right! unajibana unajenga kila sent unayopata inapitiliza kwenye ujenzi yeye anafikiria kununua simu mpya ya Tecno. Iliwahi nitokea nahitaji mifuko 30 ya cemnet ili fundi ajenge fensi bei yake kama laki 4 narudi home nakuta wife kanunua seti ya masufuria ya kupikia.
 
Absolute right! unajibana unajenga kila sent unayopata inapitiliza kwenye ujenzi yeye anafikiria kununua simu mpya ya Tecno. Iliwahi nitokea nahitaji mifuko 30 ya cemnet ili fundi ajenge fensi bei yake kama laki 4 narudi home nakuta wife kanunua seti ya masufuria ya kupikia.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hiiii naisoma hii thread alafu nacheka IIHIIIIIII BAGHOOSHAAA!!!!![emoji23][emoji23][emoji23].....mzee baba hayajakukuta wew,,sie tulifanya yote hayo pamoja na kuwachongea pete ya dhahabu lkn wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]......their first priority is only money, not your comfort[emoji23][emoji23][emoji23]...stop imagine nonsense bro hayajakukuta wew uenda bado uko mapenzi ya honeymoon.....subr mapenz yaote kutu hayo, nakuhakikishia utarudi hapa ukilia lia kuomba ushaur kama wenzako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Protester hamkosekani
 
Absolute right! unajibana unajenga kila sent unayopata inapitiliza kwenye ujenzi yeye anafikiria kununua simu mpya ya Tecno. Iliwahi nitokea nahitaji mifuko 30 ya cemnet ili fundi ajenge fensi bei yake kama laki 4 narudi home nakuta wife kanunua seti ya masufuria ya kupikia.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Acha upuuzi ......wewe kama mwanaume jijenge wewe na maisha yako na watoto wako hao wanawake watakuyummisha na kukufelisha muda wao ukifika so fanya yako maliza kabisa ndio hao wanawake waje wenyewe na muda wao wa kuondoka ukifika wapanggse matako yao vumbi na kubeba mafurushi yao ya nywele bandia na kusepa. sasa wewe endelea kuishi gerezani kwa jina la mapenzi.
 
Absolute right! unajibana unajenga kila sent unayopata inapitiliza kwenye ujenzi yeye anafikiria kununua simu mpya ya Tecno. Iliwahi nitokea nahitaji mifuko 30 ya cemnet ili fundi ajenge fensi bei yake kama laki 4 narudi home nakuta wife kanunua seti ya masufuria ya kupikia.

[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom