Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Kwa mfano, line moja unaiweka kwenye modem for internet access, nyingine unaitumia kwa ajili ya kupiga na kupokea simu...? MoneyHeist4Kwani kuna ulazima gani wa kumiliki laini nyingi za mtandao mmoja?
Hapo nawapongeza TCRA.
Wewe kweli hujaangalia matumizi kwa upana. Nyumbani simu ni muhimu iwepo kama kuna mawasiliano unataka utoe utafanyeje? Nyingine unaweka kwenye duka ili atakayekuwepo apokee oda. Sasa si zinaweza kuwa za mtandao mmoja? Umeme au maji si pia unaweka mita tofauti maeneo tofauti ila kwa jina LAKO.Kwani kuna ulazima gani wa kumiliki laini nyingi za mtandao mmoja?
Hapo nawapongeza TCRA.
[emoji38] [emoji38] Si hulka yangu kupaniki sina matusi mengineAsante.... tukana matusi mapya... hayo ya zamani gyashapitwa na wakati
Kwa sisi ambao tuna familia kwa mfano mimi nilisajili line ya zaid ktk mtandao mmoja kwasababu ya mwanangu atumie ktk tablet Sasa sijui hapo nitakua ktk wakosaji, kwa maana mwanangu hana kitambulisho cha NIDA na hajatimiza miaka 18.Kwani kuna ulazima gani wa kumiliki laini nyingi za mtandao mmoja?
Hapo nawapongeza TCRA.
Yeye amesema line zaidi ya moja akimaanisha mitandao mingine yani
Ttcl
Voda
Tigo
Halotel
Nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi ya kisenge hiiKwa sisi ambao tuna familia kwa mfano mimi nilisajili line ya zaid ktk mtandao mmoja kwasababu ya mwanangu atumie ktk tablet Sasa sijui hapo nitakua ktk wakosaji, kwa maana mwanangu hana kitambulisho cha NIDA na hajatimiza miaka 18.
Au moja ya kawaida kupiga simu na nyingine umeweka kwa modem ya internet sasa hii inakaajeKuna wengine tulipo pata kazi tu, kuna line ya offisi na ingine ya personal, hiyo ya offisi ni voda na huwa inajazwa vocha kila mwezi, na voda ambyao naitumia kama personal, sidhani kama watalitilia mkazo TCRA wataharibu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tabia gani kuwakumbusha.... Kwanza mida hi naenda voda shop kujipatia line ya tano kama nimehesabu vizuri. Sheria nyinginezo Ni UnreasonablyWakuu heshima kwenu, kuna wakati nlisikia kuna sheria TCRA inatulazimu kuwa na ulazima wa kumiliki line moja kwa kila mtandao na mwisho ni tareh 30 Juni, 2020, hii imekaaje? Tutafungiwa laini leo?
Hawa jamaa wanazingua sana.Nchi hii ina upumbavu mwingi sana, hata nikiwa na laini 5 za voda tatizo lao nini? Mimi si ndo najua matumizi yake?
Mpaka sasa nina line hizi
Voda-3
Airtel - 2
Tigo-2
Ttcl-1
Halotel-2
AiseeWakuu heshima kwenu, kuna wakati nlisikia kuna sheria TCRA inatulazimu kuwa na ulazima wa kumiliki line moja kwa kila mtandao na mwisho ni tareh 30 Juni, 2020, hii imekaaje? Tutafungiwa laini leo?
Kakudanganya nani? Mbona asilimia 15 ya bodi ya mikopo tunakatwa wote hata wale waliochukua hiyo mikopo na kuanza kuilipa kabla ya hiyo sheria?
ofsin inasajiliwa kwa jina la kampuni yako na hiyo ya kwako binafsi ndo inasajiliwa kwa nambako ya NIDA. Mfano kuna taasisi zinazofanya kazi ya uwakala wa kukusanya ushuru wa taasisi nyingine kwa kutumia mashine za ushuru, taasis hizo humiliki hadi line 100 ila kibali cha TCRA. So its possible ukawa hizo line zoted 2Kuna wengine tulipo pata kazi tu, kuna line ya offisi na ingine ya personal, hiyo ya offisi ni voda na huwa inajazwa vocha kila mwezi, na voda ambyao naitumia kama personal, sidhani kama watalitilia mkazo TCRA wataharibu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani TCRA Wamejaa Ma UTOPOLO tu sasa kumiliki laini zaidi ya moja kwa mtandao mmoja ni kosa? Hawajui kwamba kuna router ,modem zinatumia line? Kama napenda mtandao fulani kwa ajili ya kutumia both voice na net na natumia modem/wifi router nikatafute line ya mtandao mwingine?Wakuu heshima kwenu, kuna wakati nlisikia kuna sheria TCRA inatulazimu kuwa na ulazima wa kumiliki line moja kwa kila mtandao na mwisho ni tareh 30 Juni, 2020, hii imekaaje? Tutafungiwa laini leo?
Tafrani sana, wameacha kuwathibiti matapeli wanao watapeli watu zile msg za tuma kwenye namba hii, wanakomaa mwenye namba zaidi ya moja hawaoni watapunguza kodi ya mapoto, sijui kama wamefikiri nini.Au moja ya kawaida kupiga simu na nyingine umeweka kwa modem ya internet sasa hii inakaaje
Nchi hii ina upumbavu mwingi sana, hata nikiwa na laini 5 za voda tatizo lao nini? Mimi si ndo najua matumizi yake?
Mpaka sasa nina line hizi
Voda-3
Airtel - 2
Tigo-2
Ttcl-1
Halotel-2