Ukimkopesha mtu laki tatu kushuka chini wewe tegemea umemsaidia wewe unazani atafanyia nini?

Ukimkopesha mtu laki tatu kushuka chini wewe tegemea umemsaidia wewe unazani atafanyia nini?

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Huwa nashangaaga sana taasisi, watu binafsi, kausha damu, kwanini umkopeshe mtu hiyo pesa alafu utegemee akulipe hebu vaa viatu vya mkopaji unamkopesha mtu elfu 50 alafu unakaa wiki mbili zikipita unategemea malipo?

Ni biashara gani atafanya apate faida akupe hiyo elfu hamsini muwe na huruma juzi kati nimekaa zangu sina salio ikaja sms kutoka mpawa kopa elfu kumi nimeiangalia sana ile meseji huku nikijiuliza hivi hata kama sina salio hiyi elfu kumi nafanya nayo nini

Kitachonishawishi niwalipe nikajikuta bora lawama kuliko fedhea nikakopa nakuja kucheki sio elfu kumi tena ni elfu nane niliyoipata nyingine riba nika apa kutokuja kulipa nb watoa mikopo kabla hamjatoa mikopo walau bebeni uhusika wa mkopeshwaji sio mnawakopesha tu matokeo yake mtu asipolipa mnaona watu viburi kumbe mahitaji yanazidi hela
 
Huwa nashangaaga sana taasisi, watu binafsi, kausha damu, kwanini umkopeshe mtu hiyo pesa alafu utegemee akulipe hebu vaa viatu vya mkopaji unamkopesha mtu buku 50 alafu unakaa wiki mbili zikipita unategemea malipo? Ni biashara gani atafanya apate faida akupe hiyo elfu hamsini muwe na huruma juzi kati nimekaa zangu sina salio ikaja sms kutoka mpawa kopa elfu kumi nimeiangalia sana ile meseji huku nikijiuliza hivi hata kama sina salio hiyi elfu kumi nafanya nayo nini kitachonishawishi niwalipe nikajikuta bora lawama kuliko fedhea nikakopa nakuja kucheki sio elfu kumi tena ni elfu nane niliyoipata nyingine riba nika apa kutokuja kulipa nb watoa mikopo kabla hamjatoa mikopo walau bebeni uhusika wa mkopeshwaji sio mnawakopesha tu matokeo yake mtu asipolipa mnaona watu viburi kumbe mahitaji yanazidi hela
Sasa kama 10,000 tu uushawadhulumu, je 300k ?
 
Huwa nashangaaga sana taasisi, watu binafsi, kausha damu, kwanini umkopeshe mtu hiyo pesa alafu utegemee akulipe hebu vaa viatu vya mkopaji unamkopesha mtu buku 50 alafu unakaa wiki mbili zikipita unategemea malipo? Ni biashara gani atafanya apate faida akupe hiyo elfu hamsini muwe na huruma juzi kati nimekaa zangu sina salio ikaja sms kutoka mpawa kopa elfu kumi nimeiangalia sana ile meseji huku nikijiuliza hivi hata kama sina salio hiyi elfu kumi nafanya nayo nini kitachonishawishi niwalipe nikajikuta bora lawama kuliko fedhea nikakopa nakuja kucheki sio elfu kumi tena ni elfu nane niliyoipata nyingine riba nika apa kutokuja kulipa nb watoa mikopo kabla hamjatoa mikopo walau bebeni uhusika wa mkopeshwaji sio mnawakopesha tu matokeo yake mtu asipolipa mnaona watu viburi kumbe mahitaji yanazidi hela
Mkuu kuwa mwaminifu kwenye vitu vidogo.
 
Mkuu kuwa mwaminifu kwenye vitu vidogo.
uaminifu unatoka wapi kwenye teni bro yani hom watoto njaa afu unanipa ten kunipima kama mwaminifu asee mbona inabidi ukija kunidai nikulambe na makofi mana majaribu haya
 
uaminifu unatoka wapi kwenye teni bro yani hom watoto njaa afu unanipa ten kunipima kama mwaminifu asee mbona inabidi ukija kunidai nikulambe na makofi mana majaribu haya
🤣🤣🤣🤣Usinifokee mkuu
 
Sasa kama 10,000 tu uushawadhulumu, je 300k ?
wajifunze kwamba mahitaji yaliizidi hela yao mi nataka kifurush cha mwezi buku 20 ili nikijiunga nijivute nikipata hela ndipo niwalipe matokeo yake wananijaribu sibora wangeniacha nijue mwenyewe naipataje 20 kuliko kunipa kitu nje ya lengo
 
Alafu unakuta mtu hana uzoefu na biashara, anakopa anaenda kufungua biashara , hela inapukutika yote huku ana rejesho weekly/monthly! Unaweza kutembea huku unaongea peke yako
 
Alafu unakuta mtu hana uzoefu na biashara, anakopa anaenda kufungua biashara , hela inapukutika yote huku ana rejesho weekly/monthly! Unaweza kutembea huku unaongea peke yako
hahaha
 
Nikiona mkopo wa tsh laki 3 kushuka lazima niluke nao ila kulipa lazima tusumbuane
 
Back
Top Bottom