Ukimkuta mwanamke si bikra usimuamini hata kidogo

Hata huyo uliembikiri anaweza akaliwa tu kama wewe ambae unakua na mwanamke tena umemkuta bikra na bado unapeleka mashine nje
 
Sasa utamjuaje kua ni bikra ama sio bimra kama hujaoa ukatembea nae.
Au unamaana ukioa kama sio bikra umuwachee.

Kumbuka maandiko yanasema kama uliwah kumtoa bikra 1 kat yao bas faham na wako atatolewa tu.
Tena sahau kupata mke bikra wakat ww ulikua kicheche na kuwafunua wake wa wenzako.
Hukutambua kua mungu ndo kapanga ndo.
Ukila mke wa mwenzako na wako ataliwa wala hio haina kificho.
Hayo ni malipo ya hapa hapa ulimwengun.
 
Unadhambi ww...
Unajisifia umekata utepe wa mtt wa mwezako.


Hahahahaha.

Kuna siku utazaa usije kumkata masikio akiwa maluuni.
 
Je wewe bikra yako kaitoa nani
 
huo ni ukweli mkuu mwanamke ambae kashatobolewa na mwingine ata mahari hastaili kupewa ni kama unachukuwa gunia la chawa tu
 
Bikra bidhaa adimu hiyo wala usidanganyike, hiyo ni enzi hizo mama akizaa unadanganywa kaletwa na ndege siku hizi subutuuuu
 
Hata ukimuoa na bikira iko siku atatamani aonje na kwingine aone radha yake!cha msingi pambana na hali yako tu
 
Sasa basi kutakuwa hamna ndoa kabisa
 
Duh! Huwatakii mema wanawake.
Kwamfano ukimkuta binti wa watu katulia hata tabu na mtuماشاء الله pia usimuamini kisa hana bikra? Acha uchochezi na upotoshaji dhidi ya wanawake, mwanamke kukusaliti ni kutaka yeye mwenyewe au kuwa ni tabia yake. Wengine tumeshaoa na hatukuwakuta nazo na tayari tuna watoto, je tuwaache kisa hatukuwakuta nazo?[emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Mkuu wengine walibakwa lakini nasikia kuna magonjwa hata hivyo kama vile UTI iliyokomaa inaweza ondoa bikra hata hivyo bikra wachache labda umtunze kwenu kama wamasai
 
Kua na akili ww.
Utatoaje siri ya ndani ya mkeo.
Mbona unawazalilisha wenzako.
Busara gan hizo unazotumia.
Kwa anaemjua jee amnyooshee kidole [emoji117] huko majiani sio.
Kaolewa hakua mzima.
Tumien akili na busara na sio maarifa.
Mnakosea.
Alaaaaaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…